Viupele hivi vinaota mara kwa mara kwenye uume na vinauma vibaya mno, ni ugonjwa gani?

Viupele hivi vinaota mara kwa mara kwenye uume na vinauma vibaya mno, ni ugonjwa gani?

🤣🤣🤣🤣 Nimejuta kukuita nesi wa zamu🤣🤣🤣
peyronie-1-423229874.jpg
 
Mkuu samahani lakini hiyo ni ngozi ya uume au tako? Kama ni uume basi wanawake wapewe maua yao maana unakuta mtoto wa watu anajitahidi alambe ngozi kama hyo ili kuonesha upendo.
Nikirudi kwenye mada mkuu pole saana vipele hivyo huwa ni kawaida saana kikubwa jaribu kuwa msafi badili boksa kila baada ya siku moja kwa maana wanaume wanavaa boksa mpka wiki ndio wanabadili.
Lakini pia ni vyema ukawahi hospitalini
 
Yani hivi vinaota mara kwa mara kwenye uume na vinauma vibaya mno ,vinapoanza panaanza kuwasha kwanza halafu vikishatokezea kama vipele ila vinakuwa kama mtu kaungua na moto hv yaani ukiminya vinakuwa na maji yani vinauma kweli kweli.

Vinaweza kukaa kama miezi mwili ama mitatu vinarudi tena.

Kama kuna mdau alishawah kukutana na hii hali ama ana idea na hili tatizo msaada tafadhali.

isijekuwa ni sifilisi upili
 
Acrovir 500mg tb ¾ Qid 77//7
Erythromycin 500mg 7/7
Acrovir Creeem
Tumia Dawa hizo utapona Hao ni Virus's wanatokana na Kufanya Ngondo au kukutana na Maji maji yaliobeba hao Virus (🦠)
 
Back
Top Bottom