Viva Mwabukusi, mlipo tupo!

Viva Mwabukusi, mlipo tupo!

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Jemedali Mwabukusi amevunja ukimya. Yapo mengi yenye kutukwaza kwenye nchi na vyama hivi tulivyomo.

Kulikoni katiba mpya kutokuwa kipaumbele?

Kulikoni vyama kupewa ruzuku?

Kulikoni malipo ya kufuru kwa wabunge?

Kulikoni wagombea binafsi kuharamishwa?

Ajabu na kweli janja janja hIzi za CCM zimewanasa wengi.

Leo wenzetu tuliokuwa nao lugha zimebadilika. Udenda unawatoka macho kwenye maokoto na madaraka.

"Kulikoni Simba na Yanga kuendeshwa na michango ya wanachama lakini si vyama vya siasa?"

Viva Mwabukusi, Slaa, Lissu, Mdude na wa namna hiyo.

"Tanzania itakombolewa na wenye moyo."

Mlipo tupo.
 
Fungueni Chama mkisajili nawapa jina kiiteni Single Ajenda Party.

Si lazima kufungua vyama vipya. Hata uchaguzi huru ndani ya vyama huakisi matakwa ya wanachama na hata wananchi kwa ujumla. Au na uchaguzi huru vyamani nao hamtaki hadi kutupa majina ya vyama vya kuanzisha ndugu ?
 
Jemedali Mwabukusi amevunja ukimya. Yapo mengi yenye kutukwaza kwenye nchi na vyama hivi tulivyomo.

Kulikoni katiba mpya kutokuwa kipaumbele?

Kulikoni vyama kupewa ruzuku?

Kulikoni malipo ya kufuru kwa wabunge?

Kulikoni wagombea binafsi kuharamishwa?

Ajabu na kweli janja janja hIzi za CCM zimewanasa wengi.

Leo wenzetu tuliokuwa nao lugha zimebadilika. Udenda unawatoka macho kwenye maokoto na madaraka.

"Kulikoni Simba na Yanga kuendeshwa na michango ya wanachama lakini si vyama vya siasa?"

Viva Mwabukusi, Slaa, Lissu, Mdude na wa namna hiyo.

"Tanzania itakombolewa na wenye moyo."

Mlipo tupo.
Chama kipya Cha upinzani kinahitajika.
 
Si lazima kufungua vyama vipya. Hata uchaguzi huru ndani ya vyama huakisi matakwa ya wanachama na hata wananchi kwa ujumla. Au na uchaguzi huru vyamani nao hamtaki hadi kutupa majina ya vyama vya kuanzisha ndugu ?
Fanyeni mapinduzi ndani ya NCCR mumng'oe yule Mchaga.
 
Back
Top Bottom