imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Waanzishe Movement yao waanzishe Chama chao tunawatakia kila la kheri.Ukiona hivyo ujue Yuko njiani ..na Dr Slaa ataungana nae...wao wanaamini Wana "support" ya wale Viongozi zaidi ya 60 aliosema Dr Slaa...kumbe wanaenda according to the "big plan " ya "deep state"
Lakini wasitafute Kiki kwa kukijumlisha CHADEMA kwenye hayo malalamiko yao.