Viva Mwabukusi, mlipo tupo!

Viva Mwabukusi, mlipo tupo!

People's Power ✌️🤞✌️
_115176141_gettyimages-1228239935.jpg

CHADEMA DAIMA. NO HATE NO FEAR!
 
Zaidi ya Bandari, labda nyingine iwe kumkatia rufaa Mchungaji Mbarikiwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
....wa upepo bwana.....wahenga walinena "jiani usimtangulize mpumbavu atakutia shimoni..."

Mbarikiwa ni "psychotic"...

Sijui ni SCHIZOPHRENIFORM DISORDER?!!!!

Anaweza "kunusurika" baada ya rufaa [emoji1787][emoji1787]

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Tubanane hapa hapa. Unahitajika mtazamo au nguvu mpya.
Kiukweli, issue ya nusu mkate tuwe kama ilivyokuwa zenj SUK jambo Hilo nalipinga.

Ni kheri kuungana na Slaa na Mwabukusi kuliko coalition ya kugawana madaraka wakati wananchi hatuna sauti ya kutetea tabaka la chini.
 
Unahofu Slaa &co waliteka mjadala wa BANDARI Kisha wanatokomea kutuacha solemba!!

Hapana. Ninamaana hii timu ni timu ya ushindi. Ni timu yenye guts na itamwagika barabarani.

Hii ni tofauti na Ile inayolaumu watanzania kana kwamba wenyewe siyo watanzania.

"Viva Mwabukusi, Mdude, Lissu, Slaa na wa namna hiyo."

Kwa hakika mlipo tupo.
 
Mwabukusi angeanzisha Chama chake tu bila ya kukashifu upinzani.
 
Mwabukusi angeanzisha Chama chake tu bila ya kukashifu upinzani.

Kukosolewa si kukashifiwa. Yale yale ya kuita ukosolewaji ni matusi. Lugha zile zile za ma CCM, kina Chalamila na chawa wao.

Kumbe nini tofauti ya vyama hivi na CCM?
 
Mwabukusi angeanzisha Chama chake tu bila ya kukashifu upinzani.
Ukiona hivyo ujue Yuko njiani ..na Dr Slaa ataungana nae...wao wanaamini Wana "support" ya wale Viongozi zaidi ya 60 aliosema Dr Slaa...kumbe wanaenda according to the "big plan " ya "deep state"
 
Hapana. Ninamaana hii timu ni timu ya ushindi. Ni timu yenye guts na itamwagika barabarani.

Hii ni tofauti na Ile inayolaumu watanzania kana kwamba wenyewe siyo watanzania.

"Viva Mwabukusi, Mdude, Lissu, Slaa na wa namna hiyo."

Kwa hakika mlipo tupo.
Kama ni hivyo, pia Naunga mkono HOJA 🙏
 
Kukosolewa si kukashifiwa. Yale yale ya kuita ukosolewaji ni matusi. Lugha zile zile za ma CCM, kina Chalamila na chawa wao.

Kumbe nini tofauti ya vyama hivi na CCM?
Yeye haoni shida tulizozipitia katika kumkomboa Mtanzania haswa kwenye awamu ya tano tumepigwa tumesakwa tumeuwawa tumebambikiwa kesi tumefungwa na wengine hadi leo wako Majela.

Serikali ya mwendazake ilikuwa inatumia mabilioni kuifuta CHADEMA huku ikishirikiana na NCCR na ACTwazalendo leo hii Mwabukusi anatulaumu kwa mkupuo bila kufafanua.
 
Jemedali Mwabukusi amevunja ukimya. Yapo mengi yenye kutukwaza kwenye nchi na vyama hivi tulivyomo.

Kulikoni katiba mpya kutokuwa kipaumbele?

Kulikoni vyama kupewa ruzuku?

Kulikoni malipo ya kufuru kwa wabunge?

Kulikoni wagombea binafsi kuharamishwa?

Ajabu na kweli janja janja hIzi za CCM zimewanasa wengi.

Leo wenzetu tuliokuwa nao lugha zimebadilika. Udenda unawatoka macho kwenye maokoto na madaraka.

"Kulikoni Simba na Yanga kuendeshwa na michango ya wanachama lakini si vyama vya siasa?"

Viva Mwabukusi, Slaa, Lissu, Mdude na wa namna hiyo.

"Tanzania itakombolewa na wenye moyo."

Mlipo tupo.
Yani, nimecheka kijinga, kwamba mwambukusi , ndo top wa kuleta mabadiliko ndani ya nchi, hii, , mwambukusi na wenzake wa aina iyo katika kivuli cha sauti ya tz wanafail sana
 
Back
Top Bottom