Waanzishe Movement yao waanzishe Chama chao tunawatakia kila la kheri.Ukiona hivyo ujue Yuko njiani ..na Dr Slaa ataungana nae...wao wanaamini Wana "support" ya wale Viongozi zaidi ya 60 aliosema Dr Slaa...kumbe wanaenda according to the "big plan " ya "deep state"
Achana na Mwambukusi, kwa chadema bado ni mtu mdogo sana hata robo ya robo ,effect yake kwa chadema haiwezi kuwepoYeye haoni shida tulizozipitia katika kumkomboa Mtanzania haswa kwenye awamu ya tano tumepigwa tumesakwa tumeuwawa tumebambikiwa kesi tumefungwa na wengine hadi leo wako Majela.
Serikali ya mwendazake ilikuwa inatumia mabilioni kuifuta CHADEMA huku ikishirikiana na NCCR na ACTwazalendo leo hii Mwabukusi anatulaumu kwa mkupuo bila kufafanua.
Yeye haoni shida tulizozipitia katika kumkomboa Mtanzania haswa kwenye awamu ya tano tumepigwa tumesakwa tumeuwawa tumebambikiwa kesi tumefungwa na wengine hadi leo wako Majela.
Serikali ya mwendazake ilikuwa inatumia mabilioni kuifuta CHADEMA huku ikishirikiana na NCCR na ACTwazalendo leo hii Mwabukusi anatulaumu kwa mkupuo bila kufafanua.
Ukiona hivyo ujue Yuko njiani ..na Dr Slaa ataungana nae...wao wanaamini Wana "support" ya wale Viongozi zaidi ya 60 aliosema Dr Slaa...kumbe wanaenda according to the "big plan " ya "deep state"
Hizo ni tuhuma nzito alitakiwa kwanza afanye research lakini kwa upande wa CHADEMA.Tofautisha kukosolewa na kulaumiwa.
Hili la vyama vya siasa kupewa ruzuku ni matumizi mabaya ya kodi za wananchi.Jemedali Mwabukusi amevunja ukimya. Yapo mengi yenye kutukwaza kwenye nchi na vyama hivi tulivyomo.
Kulikoni katiba mpya kutokuwa kipaumbele?
Kulikoni vyama kupewa ruzuku?
Kulikoni malipo ya kufuru kwa wabunge?
Kulikoni wagombea binafsi kuharamishwa?
Ajabu na kweli janja janja hIzi za CCM zimewanasa wengi.
Leo wenzetu tuliokuwa nao lugha zimebadilika. Udenda unawatoka macho kwenye maokoto na madaraka.
"Kulikoni Simba na Yanga kuendeshwa na michango ya wanachama lakini si vyama vya siasa?"
Viva Mwabukusi, Slaa, Lissu, Mdude na wa namna hiyo.
"Tanzania itakombolewa na wenye moyo."
Mlipo tupo.
IlaNyerere alisema urais anaweza pewa hata Mkara. Pumzika kwa amani JKN.
Ruzuku ni muhimu kwa uhai wa Chama.
Nimeshangazwa amekataa asikatiwe rufaa kwa mujibu wa Wakili msomi Mwabukusi.Mbarikiwa ni "psychotic"...
Sijui ni SCHIZOPHRENIFORM DISORDER?!!!!