Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Personal Protective Equipments.PPE's ndio vinini
PPE's ndio vinini
Condom ikijumuika eti. Toothstick zatushinda ndio tuweze hayo, we mzeeePersonal Protective Equipments.
Metl ya Dewji family!Mojawapo ha changamoto kubwa zilizolefwa na baa la virusi vya korona Ni ukosefu au upungufu wa vifaa vya kujikinga binafsi. Glovu, kofia, barakoa, gauni Kinga no Ni baadhi tu ya vifaa hivi.
Mahitaji ya vifaa hivi duniani yameongezeka Sana. Katika Hali ya kufa kufaana me viwanda Gani Tanzania Vinatengeneza PPEs hizi na vinachukua hatua gani kutumia nafasi hii kufanya ugavi ndani na nje?
Mojawapo ha changamoto kubwa zilizolefwa na baa la virusi vya korona Ni ukosefu au upungufu wa vifaa vya kujikinga binafsi. Glovu, kofia, barakoa, gauni Kinga no Ni baadhi tu ya vifaa hivi.
Mahitaji ya vifaa hivi duniani yameongezeka Sana. Katika Hali ya kufa kufaana me viwanda Gani Tanzania Vinatengeneza PPEs hizi na vinachukua hatua gani kutumia nafasi hii kufanya ugavi ndani na nje?
tulia sisi ni dona kandriiShida kubwa watu huwa tunaishia kulaumu. Majukumu ya kutengeneza PPE ni ya kila mtu, hakuna mtu kazaliwa kwa kazi hiyo.
Jiwe kazaliwa kwa urais maendeleo hayana chamaShida kubwa watu huwa tunaishia kulaumu. Majukumu ya kutengeneza PPE ni ya kila mtu, hakuna mtu kazaliwa kwa kazi hiyo.
Condom ikijumuika eti .... Toothstick zatushinda ndio tuweze hayo...we mzeee
Hata Uzalendo tafsiri yake ni kumsifia Magufuli hata akiboronga ......Hili neno tooth-stick mlilitoa wapi? Neno sahihi ni toothpick.
Mchina simpendiiiiNajua kimoja cha wahindi wahindi wanatengeneza mask tu na walikuwa wanalalamika hawana raw materials.
Sidhani kama Serikali kmefanya jitihada zozote za kuongeza uzalishaji au kupush.
Hata kwneye kuzakisha sanitizers Walitakiwa wawaombe viwanda vya beers/spirit kama breweries wazalishe hizi ila wapo kimya.
Ninachokumbuka tu naibu waziri wa viwanda alisema kuwa hawatazuia ndege za china kuja kwa sababu china ni rafiki zao wa karibu sana. Kilichokuja kutokea China kafunga mipaka yake baada ya kuona case nyingi zinaletwa na hasa waafrica
Ni "vifaa vya kujikinga"Vifaa vya kujikinga binafsi = Vifaa vya kinga mwilini
PPEs = PPE (Personal Protective Equipment)
Siyo PPEs!
Sent using Jamii Forums mobile app
EquipmentPersonal Protective Equipments.