The hitman
JF-Expert Member
- Nov 30, 2017
- 3,673
- 2,288
Property ,Plant & Equipment - IAS 16 in accounting ( fixed assets) Or Personal Protective Equipment in health issuePPE's ndio vinini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Property ,Plant & Equipment - IAS 16 in accounting ( fixed assets) Or Personal Protective Equipment in health issuePPE's ndio vinini
Mkuu kwema? Bora umetoa post maana nilianza kupata hofu! Leo kitu kinaenda 22K ila nakumbuka wiki mbili tu zilizopita walikuwa 8K na wiki tatu zilizopita walikuwa chini ya elfu moja. Corona haina tajiri wala masikini.Mojawapo ha changamoto kubwa zilizolefwa na baa la virusi vya korona Ni ukosefu au upungufu wa vifaa vya kujikinga binafsi. Glovu, kofia, barakoa, gauni Kinga no Ni baadhi tu ya vifaa hivi.
Mahitaji ya vifaa hivi duniani yameongezeka Sana. Katika Hali ya kufa kufaana me viwanda Gani Tanzania Vinatengeneza PPEs hizi na vinachukua hatua gani kutumia nafasi hii kufanya ugavi ndani na nje?
Mwanakijiji huko uliko, najua unachukua tahadhari zote lakini nakusihi chukua tahadhari mara 2 zaidi ya wazungu. Maana kwa taarifa rasmi inaonesha huko US by proportion, waliopoteza maisha, wengi zaidi ni ngozi nyeusi.Mojawapo ha changamoto kubwa zilizoletwa na baa la virusi vya korona ni ukosefu au upungufu wa vifaa vya kujikinga binafsi. Glovu, kofia, barakoa, gauni kinga no ni baadhi tu ya vifaa hivi.
Mahitaji ya vifaa hivi duniani yameongezeka sana. Katika hali ya kufa kufaana me viwanda gani Tanzania vinatengeneza PPEs hizi na vinachukua hatua gani kutumia nafasi hii kufanya ugavi ndani na nje?
Vifaa vya kujikinga binafsi = Vifaa vya kinga mwilini
PPEs = PPE (Personal Protective Equipment)
Siyo PPEs!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mambo mengi yanachangia. Yawezekana hata namna wafanyakazi wanavyoenda kazini na kurudi majumbani kukawa na mipango maalum ambayo, mwisho wa yote huongeza gharama za uzalishaji.Mi nashangaa viwanda vinapandisha bei za bidhaa mf sukari sijui inahusiana vipi na korona!
Hio ni fursa iliyo nje njeMojawapo ha changamoto kubwa zilizoletwa na baa la virusi vya korona ni ukosefu au upungufu wa vifaa vya kujikinga binafsi. Glovu, kofia, barakoa, gauni kinga no ni baadhi tu ya vifaa hivi.
Mahitaji ya vifaa hivi duniani yameongezeka sana. Katika hali ya kufa kufaana me viwanda gani Tanzania vinatengeneza PPEs hizi na vinachukua hatua gani kutumia nafasi hii kufanya ugavi ndani na nje?
Material yanotoka wapi? =China.Hio ni fursa iliyo nje nje
Mnanichanganyia dawa sasa... Nilikuwa najua ya accounting standards nilipouliza nkapewa ya afya... In a we za kuwa kuna ya wale Wa kula kimasihara piaProperty ,Plant & Equipment - IAS 16 in accounting ( fixed assets) Or Personal Protective Equipment in health issue
Unawasilianaje na mtu asiye duniani sasa....
Pruritic Papula Eruption (PPE) mnaongelea hii au ...
Sisi hatuna uwezo au resources za kuzalisha hayo Material ?Material yanotoka wapi? =China.
Fanya tafiti mkuu me ninacho juwa material yana toka china!!!! Na machine na spear part za machine ingawaje na nchini nyingine pia ni ghali zaidi ya china!!Sisi hatuna uwezo au resources za kuzalisha hayo Material ?
Hizi ndizo nyuzi tulizotakiwa kujadili mapema tu, badala yake ulianza na uzi wa kumsifia Magufuli kwa mikakati yake ya kupambana na COVID-19. Tulikupinga kwa hoja, na kwa kweli sasa inaonekana serikali ndio inaanza kuzinduka. Na nyie waimba mapambio mnashituka kumekucha.Mojawapo ya changamoto kubwa zilizoletwa na baa la virusi vya Corona ni ukosefu au upungufu wa vifaa vya kujikinga binafsi. Glovu, kofia, barakoa, gauni kinga ni baadhi tu ya vifaa hivi.
Mahitaji ya vifaa hivi duniani yameongezeka sana. Katika hali ya kufa kufaana ni viwanda gani Tanzania vinatengeneza PPEs hizi na vinachukua hatua gani kutumia nafasi hii kufanya ugavi ndani na nje?
Hoja murua kabisa Mkuu, kipindi kama hiki miongoni mwa kazi za majeshi yetu kupitia vitengo vyake vya uzalishaji ikiwemo Magereza, Suma-JKT n.k zingalikuwa ni kujihusisha na uzalishaji wa vitu kama hivi.Mojawapo ya changamoto kubwa zilizoletwa na baa la virusi vya Corona ni ukosefu au upungufu wa vifaa vya kujikinga binafsi. Glovu, kofia, barakoa, gauni kinga ni baadhi tu ya vifaa hivi.
Mahitaji ya vifaa hivi duniani yameongezeka sana. Katika hali ya kufa kufaana ni viwanda gani Tanzania vinatengeneza PPEs hizi na vinachukua hatua gani kutumia nafasi hii kufanya ugavi ndani na nje?
kumbe umeliona hiliMi nashangaa viwanda vinapandisha bei za bidhaa mf sukari sijui inahusiana vipi na korona!