jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Ni kwaaababu wengi wanaishi kwenye close quarters. Ndo maana hapo Dar nasikitika sana kina Makonda walileta siasa.Mwanakijiji huko uliko, najua unachukua tahadhari zote lakini nakusihi chukua tahadhari mara 2 zaidi ya wazungu. Maana kwa taarifa rasmi inaonesha huko US by proportion, waliopoteza maisha, wengi zaidi ni ngozi nyeusi.