Viwanda Gani Tanzania Vinatengeneza vifaa vya kujikinga (PPEs) kama barakoa, glovu n.k?

Mwanakijiji huko uliko, najua unachukua tahadhari zote lakini nakusihi chukua tahadhari mara 2 zaidi ya wazungu. Maana kwa taarifa rasmi inaonesha huko US by proportion, waliopoteza maisha, wengi zaidi ni ngozi nyeusi.
Ni kwaaababu wengi wanaishi kwenye close quarters. Ndo maana hapo Dar nasikitika sana kina Makonda walileta siasa.
 
Ndugu
Ningefurahi sana ungejikita na post yako kuhusu kamari ya Magufuli juu ya namna anavyoshughulika na janga la corona. .
Je italipa?
 
Nchi nyingi zina zalisha home made masks kwa gharama nafuu. Huku kwetu hatujui hata uwezo wetu wa kuzalisha upoje. Shida sana!
 
Ni wakati wa wewe na Dr Slaa kuueleza umma wa Watanzania kuhusu uongo wa Tanzania ya Viwanda , nafasi mnayo maana mko karibu na Utukufu wa Dunia .

Nchi ambayo haiwezi kutengeneza hata pamba za kuoshea vidonda ( bali inaagiza kutoka Kenya ) itaweza Barakoa ? na nakuhakikishia kwamba siku Tanzania ikitengeneza barakoa , ndio siku mtu akivaa atakufa hapo hapo kwa kukosa hewa .
 

..wewe si ulikuwa unamsifia Jpm kuwa anacheza "BAHATI NASIBU" na covid19?

..nini kimekufanya ubadilishe mtizamo wako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…