Viwanda hivi vilikufa, vingine ni mali ya wawekezaji wasanii Marais muliopita tuwaambie nini?

Viwanda hivi vilikufa, vingine ni mali ya wawekezaji wasanii Marais muliopita tuwaambie nini?

Na wewe unapiga Ramli..!??
Kama una details ruonyeahe kiwanda gani kilijengwa mwaka gani... Huyo jamaa anaweza kuwa asilimia fulani ya ukweli maana nakumbuka reli zetu moja ya mkoloni na Nyerere alijenga moja na tukakuta reli ya uhuru huo ya Tazara
 
Huyo hajitambui. Walichokiacha wakoloni ni reli ya kati, Dar-Mwanza-Kigoma.
Sio kweli. Acha chuki. Wazungu waliacha Viwanda vingi Sana.
Tanganyika Packers, Maziwa Arusha na Dar es salaam, Philips Arusha, Moshi Tannaries, Emco Tanga, Tanganyika Tea Blenders, Tanganyika Coffee Curing, UFI (Ubungo Farm Implements), National Milling, Tanzania Breweries, General Tyre East Africa, Fibre Board Arusha list inaendelea.
 
Tanganyika Perker Mbeya
ZZK Mbeya
ISoap Mbeya- naona sasa inamilikiwa na Metl na haijafunguliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wangu WA majukwaani saizi ni muda wa kitembea na Pacha lako ili kupunguza stress za watu Tutahakikisha tunamjazia strategies za kuboresha maisha ya watanzania...





Saizi Maprinter tayari ndege ikitua Tu na dhana ya ujamaa itatumika ni Raha tupu kuanzia na serikali ya VIWANDA kufufua vyote Kwa fedha zetu wenyewe wenye viwanda vya stress watatujoin wenyewe..





Saizi ni kuchota hela (BOT/HAZINA) kila MTU alipwe laki 500000 Kwa mwezi fungua viwanda vyote vilivyokufa walipe Kodi na gawio KAZI imeisha pokea mishahara usifanye KAZI umetaka mwenyewe..



 
Na wewe unapiga Ramli..!??
Kama una details ruonyeahe kiwanda gani kilijengwa mwaka gani... Huyo jamaa anaweza kuwa asilimia fulani ya ukweli maana nakumbuka reli zetu moja ya mkoloni na Nyerere alijenga moja na tukakuta reli ya uhuru huo ya Tazara
Rais wangu WA majukwaani saizi ni muda wa kitembea na Pacha lako ili kupunguza stress za watu Tutahakikisha tunamjazia strategies za kuboresha maisha ya watanzania...





Saizi Maprinter tayari ndege ikitua Tu na dhana ya ujamaa itatumika ni Raha tupu kuanzia na serikali ya VIWANDA kufufua vyote Kwa fedha zetu wenyewe wenye viwanda vya stress watatujoin wenyewe..





Saizi ni kuchota hela (BOT/HAZINA) kila MTU alipwe laki 500000 Kwa mwezi fungua viwanda vyote vilivyokufa walipe Kodi na gawio KAZI imeisha pokea mishahara usifanye KAZI umetaka mwenyewe..



 
kibo match(viberiti) -moshi
motex_moshi

Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wangu WA majukwaani saizi ni muda wa kitembea na Pacha lako ili kupunguza stress za watu Tutahakikisha tunamjazia strategies za kuboresha maisha ya watanzania...





Saizi Maprinter tayari ndege ikitua Tu na dhana ya ujamaa itatumika ni Raha tupu kuanzia na serikali ya VIWANDA kufufua vyote Kwa fedha zetu wenyewe wenye viwanda vya stress watatujoin wenyewe..





Saizi ni kuchota hela (BOT/HAZINA) kila MTU alipwe laki 500000 Kwa mwezi fungua viwanda vyote vilivyokufa walipe Kodi na gawio KAZI imeisha pokea mishahara usifanye KAZI umetaka mwenyewe..



 
Mutex kiko Musoma na si Mwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
Rais wangu WA majukwaani saizi ni muda wa kitembea na Pacha lako ili kupunguza stress za watu Tutahakikisha tunamjazia strategies za kuboresha maisha ya watanzania...





Saizi Maprinter tayari ndege ikitua Tu na dhana ya ujamaa itatumika ni Raha tupu kuanzia na serikali ya VIWANDA kufufua vyote Kwa fedha zetu wenyewe wenye viwanda vya stress watatujoin wenyewe..





Saizi ni kuchota hela (BOT/HAZINA) kila MTU alipwe laki 500000 Kwa mwezi fungua viwanda vyote vilivyokufa walipe Kodi na gawio KAZI imeisha pokea mishahara usifanye KAZI umetaka mwenyewe..



 
Viwanda VILITAIFiSHWA NA AZIMIOLA ARuSHa kuanzia mwaka 1967 na kuendeleza. Vikawekwa Chini ya UMMA wa Watanzania. Wakaanza kuvibomoa, kuiba Mashine na Spare PArts zake. Mwisho Viwanda vikawa Godawuns. Mfano kile cha Sunguratex Gongo la mboto. Waliiba Hadi milango na na madirisha zikabaki kuta tuuu. Siasa Ujamaa na Kujitegemea Iliyolenga kuondoa Capitalism(Ubepari), Ukabaila, ubwenyenye, Ubwana, Ubeberu na mengineyo. East Africa Community ya 1977 ikafa, 1978-1979 Vita kuu na Uganda. Matokeo Viwanda na Mashamba makubwa ya Wazungu vikazidi kufa. Tukaingia kwenye mdororo wa Uchumi. Bidhaa muhimu zikapotea, ukazuka Ulanguzi na RTC na Maduka ya Ugawaji kwa foleni. 1979 Ukame na njaa Kali Hadi 1984.Sokoine akapambana Hadi akafa. Wazungu wakatutenga. Shilingi ikashuka. Mwinyi akatawala akaleta Ruksa ya kuleta bidhaa yoyote Tz. Hatimaye Mkapa akatawala akawaridhia Wazungu wakafufua Uchumi. Serikali ikajivua dhamana ya kutoa ruzuku Kwa Social Services tukaleta User fee angalau sh 300. Uchumi ukafufuka. Kikwete akayaendeleza ya Mkapa Uhisiano wa kimataifa Ukakua pamoja na Uwekezaji. Awamu ya 5 tunajenga Viwanda Vipya.
Nakupuuza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tanganyika Perker Mbeya
ZZK Mbeya
ISoap Mbeya- naona sasa inamilikiwa na Metl na haijafunguliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Na bora hata vilivyokufa
Viwanda vyenyewe vilikua regional imbalance angalia hapo hakuna kiwanda lindi, mtwara, wala songea inshort ukanda tu ndo ulitawala hapo
Kusini ilitengwa snaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwe na akili mbovu kijana. Kiwanda kuwa mbeya au Dar haimaanishi kiliajiri watu wa mikoa husika tu ...kiwanda kinajengwa mahali ambapo kuna malighafi za kutosha , Umeme na soko pia kupunguza gharama za usafirishaji.



-
 
Nimeweka list ya viwanda ninavyoweza kumbuka, ambavyo ilikuwa ni mkombozi wa ajira kwa TZ. Vingi viliajili zaidi ya watu 1000. Mbali na viwanda hivi, kuna mashirika ambayo sikuyaweka. Lakini hii ilikuwa enzi ya Mwalimu.

Marais waliofuata walifanya nini? ni halali leo hii vijana kukosa ajira. Zitoke wapi wakati marais waliofuataia walionesha upeo mdogo?
Viwanda:
1. Polytex –MOROGORO
2. Tanneries –MOROGORO
3. Leather industries –MOROGORO
4. Magunia –MOROGORO
5. Moro-Shoes –MOROGORO
6. Moproco –MOROGORO
7. Morogoro ceramic –MOROGORO
8. Mang’ura machine tools
9. Mutex -MWANZA
10. Mwatex -MWANZA
11. Nyanza glass –MWANZA
12. Tanneries -MWANZA
13. Urafiki –DAR ES SALAAM
14. UFI –DAR ES SALAAM
15. Sunguratexile –DAR ES SALAAM
16. Mbagala glass –DAR ES SALAAM
17. Tanganyika Parkers –DAR ES SALAAM
18. Swala (Baiskeli) –DAR ES SALAAM
19. National Panasonic –DAR ES SALAAM
20. Bora –DAR ES SALAAM
21. Sigara –DAR ES SALAAM
22. Twiga chemical –DAR ES SALAAM
23. Keko pharmacy –DAR ES SALAAM
24. National Milling –DAR ES SALAAM
25. Mbeya textile –MBEYA
26. KIZAKU –MBEYA
27. Magunia –KILIMANJARO
28. Kilimanjaro Machine tools –KILIMANJARO
29. Phillips –ARUSHA
30. General Tyre –ARUSHA
31 Scania – Kibaha PWANI
32. Korosho Kibaha PWANI
33. Ginneries –MWANZA, SHINYANGA, MOROGORO
34.
35.
ZZK (zana za kilimo) - Mbeya
Valmet (matrekta ) - Dar
 
Uko sahihi kabisa. Sera zote wakati ule wa kuruhusu kila bidhaa kuingia nchini, hasa bila kulipia kodi ndio ilikuwa kiama cha viwanda hivi. Kanga ya nje ilikuwa nzuri na bei nafuu kuliko ya viwanda vyetu. Ziliingia bila kulipa kodi sahihi.
Mpaka leo hii nguo mpya kutoka china ina bei nafuu kuliko ya hapa. Kisa ni kodi. Kontena ya nguo ni dola 150,000. Vipi kodi iwe mil 25 tu? Bidhaa kutoka nje hazitozwi kodi ili zishindane na za ndani.
Majembe, sururu, vingeweza kuzalishwa nchini kama utozaji kodi ungekuwa sahihi lakini mpaka leo. Ninavyosema kodi halisi hazitozwi. Tuna chuma chakavu kingi cha kutengeneza bidhaa hizo
Yule yule aliyekuwa anakwepa Kodi kubwa kubwa kabadili jina anajiita Ocean Silent. Na kweli ni silent. Supa silent.
Hakuna kiwanda kitafifuka bila kithibiti utozaji wa kodi kwa bidhaa ziingiazo nchini.
Kuna sehemu unatakiwa kubadilisha:

Kanga iliyotengenezwa Tanzania ilikuwa na ubora wa hali juu kuliko ya China na India na bei yake ilikuwa juu zaidi. Watu walilazimika kununua vitu vya China na India kwa sababu ya umaskini (walifuata za bei ndogo japo na ubora ulikuwa wa Chini).

Tairi za General tyre zilikuwa za ubora wa hali ya juu kuliko za China, India na Japan. Management ya kisiasa iliua kiwanda kutokana na uelewa mdogo wa wasimamizi.
 
Raisi Nyerere hakujenga viwanda vyovyote alivirisi kutoka kwa wazungu na vilikuwa vinaendelea kusimamiwa na wazungu, mpaka wazungu walivyoona maslahi yao inapungua wakasepa miaka ya 1970-1978. Ndio walivyopata wabongo Ndio kuanza kuiba mashine na mitambo. Ishu za viwanda ni sensitive issue na sio bongo tuu, waafrika hatuna asili ya kuendesha viwanda vyovyote tusikae kudanganyana ujinga apa
Umesema uwongo kabisa. Viwanda hivyo vilivyoorodheshwa vilijengwa na serikali ya Mwalimu Nyerere, na siyo vya kurithi. Taja angalao viwanda 10 tu tulivyovirithi kutoka kwa wazungu.

Tanganyika wakati wa ukoloni haikuwa na viwanda kwa sababu wakoloninkwenye upangilio wa uchumi lilikuwa ni eneo la mashamba, na Kenya ilikuwa ndiyo sehemu ya viwanda.
 
Alafu kuna mtu anasema hakuna kiongozi aliyefanya kazi kama JPM! Hivi kuna baadhi ya watu wanavichaa eh?
Na mwingine anasema eti haoni wa kumwachia kijiti akiondoka maana aliyoyafanya nimakubwa no!!
Watanzania tusiwe wajinga kwa cheap politics, hii ni nchi yetu sote na wote tunapita ila taifa la Tanzania litabaki so tujenge misingi imara kwa miaka mingi ijayo ya taifa letu kijiongoza.
Alichokifanya Magufuli katika sekta ya viwanda hakifiki hata 5% ya kile kilichofanyika wakati wa Mwalimu. Kwenye hiyo orodha bado vingi havipo. Kulikuwa na viwanda katika sekta zote.
 
Viliachwa na wakoloni hivyo
Wewe ni kichaa au hujaelemika?

Hakuna kiwanda hata kimoja katika hivyo kilichojengwa na wakoloni. Muwe mnasoma na kuelewa. Hii elimu ya kujua tu kusoma na kuandika inakufanya kuwa mjinga mwenye uwezo wa kusoma na kuandika.
 
Soma history vizuri utajua hakuna kiwanda kilichojengwa na Nyerere vyote vili taifishwa!!!.. Cabinet ya Nyerere ndio ilikuja kuua vyote
Hopeless kabisa. Una elimu ya kiwango gani? Maana wewe ni mbumbumbu hasa.

Karibia Viwanda hivyo vyote vilijengwa na serikali awamu ya kwanza.
 
Ndio umemaliza hiyo historia yako? POLE SANA KIJANA!
Hakuna anachojua. Mpuuzeni atakuwa wa hivyo hivyo milele. Uwendawazimu humpata mtu au kwa kuugua magonjwa ya akili au kuupenda na kuukumbatia upumbavu.
 
Ni kweli Viwanda alivyojenga Nyerere ni Vichache sana. Vingi vilijengwa na Wahindi na Wazungu. Alichofanywa Nyerere Chini ya Siasa ya Ukamaa na Kujitegemea ni kuviTAIFISHA(NATIONALISATiON). Yaani kuweka Chini ya Wazawa UMMA wa Watanzania. Tukashindwa kuendeleza Vikafa. Mfano wa Tanganyika Packers ya Kawe(Cow Way). Kiwanda kilisindika nyama ya kopo ikawa inauzwa Arabuni, Ulaya na USA. Mzungu wa kiwanda hiki alinunua Ngombe Usukumani, Tabora na Arusha. Alikuwa na Eneo maalum la kuwalisha kabla ya kuchinjwa. Nyumba za wafanyakazi na mengineyo. Kiwanda kilishamiri Biashara Safi. Hata Mimi nilikula nyama ya Kopo ya Kawe. WalivyoTaifisha tu Hadi Leo hakijawahi kufanya Kazi. Matokeo yake Eneo la Tanganyika Packers limekuwa Eneo la Mikuano ya Injili, Nyumba NHC zinajengwa pale, wauza Maua wanamiliki, stand ya Mabasi na shughuli nyingine. Kiwanda chetu cha Nyama tulikiua Sisi wenyewe Kisiasa. Tena wakati wakaanza kuzichakata. Wanasema ziliozea ndani pakanuka miezi 3. Mashine zake Sijui zilipelekwa wapi.
Balehe ya siku hizi nzuri sana ndio maana tunaakili na tunajua history vizuri,1970 Tanzania ilikua masikini wa kutupwa tulikua tumeua viwanda vyote!!!...mtu anayesema Nyerere alijenga viwanda nadhani hajui history vizuri (Nchi hii ni ya wakulima) wakati wa kupiga kura ya uhuru ilikua jumatatu siku ambayo watumishi wote wa serikali na viwandani walikua kazini!!
Soma history vizuri utajua hakuna kiwanda kilichojengwa na Nyerere vyote vili taifishwa!!!.. Cabinet ya Nyerere ndio ilikuja kuua vyote

Mfumo wa uchumi wa kimashariki (Kijamaa) kupitia Azimio la Arusha uliopora viwanda na Mali nyingi za matajiri na serikali kujimilikisha na kuviendesha.

Bahati mbaya viliendeshwa kwa kupangiwa bei na serikali bila kujali gharama za uzalishaji (Production cost) Vingi vilifeli mikononi mwa Nyerere mwenyewe! Na ilibidi vipewe ruzuku toka kwenye kodi.

Njaa ya miaka ya mwisho Sabini na Vita ya Uganda na Tz vilifirisi kabisa nchi. Nyerere akaenda kwa mabeberu kuomba mkopo
Walimpa masharti yafuatayo;

i. Kujiondoa serikali kuzalisha,kuagiza na kuingiza bidhaa. Iwe inakusanya Kodi tu.

ii.Kuwepo na soko huria. Bei za bidhaa zitokane na ushindani na mahitaji ya soko. (Serikali ijiondoe kupanga bei)

iii. Ashushe thamani ya shilingi

iv. Kuwepo uchangiaji katika huduma za kijamii baina ya serikali na wananchi ( Cost sharing) ili kuipunguzia mzigo serikali.

vi.Apunguze idadi ya watumishi wa umma na mishahara yao.

vii.Abinafsishe viwanda alivyopora na vile alivyopora.

Nyerere aliyakataa masharti huku akinukuliwa kwamba anayedhani Tz itayakubali masharti hayo ni mwendazimu akiwa ziarani Uingereza (Scotland?). Mwisho alienda Mara ya pili mezani IMF na WB wakasimama kwenye masharti yao.

Nchi ilikuwa taabani na Nyerere ikabidi ang'atuke kulinda msimamo na heshima yake.

Mwinyi akachukua nchi na kutekeleza masharti.
 
Mfumo wa uchumi wa kimashariki (Kijamaa) kupitia Azimio la Arusha uliopora viwanda na Mali nyingi za matajiri na serikali kujimilikisha na kuviendesha.

Bahati mbaya viliendeshwa kwa kupangiwa bei na serikali bila kujali gharama za uzalishaji (Production cost) Vingi vilifeli mikononi mwa Nyerere mwenyewe! Na ilibidi vipewe ruzuku toka kwenye kodi.

Njaa ya miaka ya mwisho Sabini na Vita ya Uganda na Tz vilifirisi kabisa nchi. Nyerere akaenda kwa mabeberu kuomba mkopo
Walimpa masharti yafuatayo;

i. Kujiondoa serikali kuzalisha,kuagiza na kuingiza bidhaa. Iwe inakusanya Kodi tu.

ii.Kuwepo na soko huria. Bei za bidhaa zitokane na ushindani na mahitaji ya soko. (Serikali ijiondoe kupanga bei)

iii. Ashushe thamani ya shilingi

iv. Kuwepo uchangiaji katika huduma za kijamii baina ya serikali na wananchi ( Cost sharing) ili kuipunguzia mzigo serikali.

vi.Apunguze idadi ya watumishi wa umma na mishahara yao.

vii.Abinafsishe viwanda alivyopora na vile alivyopora.

Nyerere aliyakataa masharti huku akinukuliwa kwamba anayedhani Tz itayakubali masharti hayo ni mwendazimu akiwa ziarani Uingereza (Scotland?). Mwisho alienda Mara ya pili mezani IMF na WB wakasimama kwenye masharti yao.

Nchi ilikuwa taabani na Nyerere ikabidi ang'atuke kulinda msimamo na heshima yake.

Mwinyi akachukua nchi na kutekeleza masharti.
Hata kama unamchukia Nyerere kwa sababu zako binafsi unazozijua wewe mwenyewe siyo vyema kusema Nyerere alipora viwanda. Kwa hiyo una maana katika Tanzania yote hii unayoijua wewe (whether ni kijana wa sasa au ni kijana wa zamani) hakuna viwanda vilivyojengwa baada ya Tanganyika kupata uhuru mwaka 1961 na baadae kuwa Tanzania 1964? Hebu taja viwanda vyote vilivyojengwa wakati wa ukoloni (Germany & British colonial rule) na mimi nitakuletea list yote ya viwanda vilivyojengwa baada ya Tanganyika kupata uhuru wake. Speak with data or evidence otherwise ni porojo za mitandaoni tu.
 
Hata kama unamchukia Nyerere kwa sababu zako binafsi unazozijua wewe mwenyewe siyo vyema kusema Nyerere alipora viwanda. Kwa hiyo una maana katika Tanzania yote hii unayoijua wewe (whether ni kijana wa sasa au ni kijana wa zamani) hakuna viwanda vilivyojengwa baada ya Tanganyika kupata uhuru mwaka 1961 na baadae kuwa Tanzania 1964? Hebu taja viwanda vyote vilivyojengwa wakati wa ukoloni (Germany & British colonial rule) na mimi nitakuletea list yote ya viwanda vilivyojengwa baada ya Tanganyika kupata uhuru wake. Speak with data or evidence otherwise ni porojo za mitandaoni tu.

Soma vizuri mkuu, sikutaja Nyerere kuwa alipora Mali.


Ni mfumo wa uchumi ambao tuliu-adopt miaka michache baada ya Uhuru. Ujamaa (Socialism) ambao ni nadharia ya kisiasa na kiuchumi ambayo inatete/sisitiza njia za uzalishaji Mali,usambazaji wake na uuzaji/ubadilishanaji wake umilikiwe na jamii ama serikali kwa niaba ya wananchi/jamii nzima.(Collective ownership of Property)

Ni kinyume na ubepali (Capitalism) tuliokuwa nao kipindi Cha ukoloni na muda mfupi baada ya Uhuru ambao unasisitiza umilikaji mali binafsi.(Private ownership of property)

Ndicho kilichofanyika, viwanda,Mali,majengo vilichukuliwa/porwa toka watu binafsi na kuwa mali ya umma/Taifa (Utaifishaji- nationalization)

N:B angali majengo/nyumba nyingi za NHC zina majina ya walizozijenga vivyo hivyo kwenye viwanda.


Hata serikali ya Nyerere pia ilijenga viwanda. Issue ilikuwa namna ya uendeshaji chini ya mfumo wa kisiasa tuliokuwa nao. Ambao haukutoa nafasi viwanda kuwa endelevu ( Sustainable)
 
Back
Top Bottom