Tumbo likiharibika safarini weka bandeji na plasta kwenye kundu hapo utakuwa umewasaidia abiria wenzako kutokunusa harufu ya kinyesi.
Mambo ya pampasi waachiwe wagonjwa mahututi sio abiria.
Tunaviomba viwanda vizalishe pampasi za watu wazima maalumu kwa wenye matatizo ya tumbo tuwapo safarini, wagonjwa na watu wazima sana (wazee) ila ka asilimia kumi kaingie ktk akaunti yangu.