Viwanda tengenezeni pampasi za watu wazima maalumu tukiwa safarini, wagonjwa na wazee

Yaani unafungulia bomba kama uko kwa choo vile roho hiyo sina
 
Tumbo likiharibika safarini weka bandeji na plasta kwenye kundu hapo utakuwa umewasaidia abiria wenzako kutokunusa harufu ya kinyesi.
Mambo ya pampasi waachiwe wagonjwa mahututi sio abiria.
 
nawaza hapa mtoa mada🤣🤣🤣 hali iliokukuta safarini mpaka umeamua kuanzishia uzi🤣🤣🤣🤣


😃😃😃😃unaambiwa ni mambo yasio simulika wala kusikilizika.
 
Tunaviomba viwanda vizalishe pampasi za watu wazima maalumu kwa wenye matatizo ya tumbo tuwapo safarini, wagonjwa na watu wazima sana (wazee) ila ka asilimia kumi kaingie ktk akaunti yangu.

Asante.
Hamna madukani?
 
Uzi huu ukijifanya mchangiaji mjuaji utaambiwa hauna marinda.
Subirini.
Labda kwa wenye uelewa finyu,lakini kwa waliokumbwa na mazingira ya kuwahudumia wazee na wagonjwa, hawatakuwa na shaka na mchangiaji yeyote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…