Synod
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 4,143
- 4,180
Exactly.Na Sensa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Exactly.Na Sensa
Kuna siku mtamuenzi mpwayungu village kama mtetezi wa walimuMpwayungu njoo uone walimu tunavyoteseka huku
Na anayewaonea ni mwajiri wao. Hata hao wabunge wanaosemwa kukemea hili wanakuweko kwenye vikao vya bajeti vya Halmashauri, wanaona ugumu ulipoWatumishi wanaonewa sana
Hiyo reply ni sarcasmKuna siku mtamuenzi mpwayungu village kama mtetezi wa walimu
Msimamizi wa shughuli za mwenge ni Local government authorities. (LGA)Waje na TPDF wachangishe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbn uku hawaji...???
Magereza na uhamiaji wameenda?Waje na TPDF wachangishe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbn uku hawaji...???
Noted.Msimamizi wa shughuli za mwenge ni Local government authorities. (LGA)
TPDF sio sehem ya LGA kama ilivyo kwa taasisi nyingine zote za serikali. Mbona hujasema kuhusu TRA, LATRA, TPA, TARI, TANESCO na nyingine? Hawa nao habar za mwenge hawazijui
Jaribu kufuatilia vitu kabla ya kusema
Wewe unasema hivi kwa sababu haumo kwenye "Line of Command".Mimi nasubilia mtu aje kunidai pesa ya mwenge aone.....ili suala linahitaji mtu wa kafara
Ina maana dakika hii umeisha nifahamu na kazi yangu 😅😅😅...hii ni Jf ,ujuaji utakuponzaWewe unasema hivi kwa sababu haumo kwenye "Line of Command".
Ungekuwa kwenye ile line, wala hata usingeweza kubwabwaja hivi. Fuatilia watu walioko kwenye hii line utakuta wanatoa bila kupenda, including baadhi ya wafanyabiashara; Namaanisha wafanyabiashara na sio wachuuzi.
Kama haupo kwenye huo mnyororo, relax, no body will bother you.
Unazingua Wewe achana na Mambo ya MwengeHili la mwenge litafakarisha sana. Iringa kila mtumishi kaagizwa kutoa mchango kama ifuatavyo.
1. Watendaji kata 30,000/=
2. Waratibu Elimu 30,000/=
3.Watendaji wa mitaa 15,000/=
Pia watendaji wa mitaa wanatakiwa kuchangisha fedha mitaani huku kila mmoja akipewa malengo ya kiasi cha kuchangisha
4. Maafisa Ugani kata (Kilimo na mifugo) 15,000/=
5. Maafisa maendeleo 15,000/=
6. Waalimu 5000/=.
7. Wafanyabiara wakubwa na wenye viwanda. Hawa wanaandikiwa barua rasmi na mkurugenzi au ofisi ya mkuu ya Wilaya au Mkoa na hutakiwa kutoa kiasi cha kuanzia laki moja(100,000/=) na kuendelea. Huu km sio wizi na unyang'anyi ni nini?
Kinachoshangaza ni ongezeko kubwa la mchango ambapo mwaka jana watumishi walichangia kati ya elfu 3,000 na elfu 5000. Nini kimesababisha mwaka huu michango kuwa 15,000 na elfu 30,000? Maswali ya kujiuliza
1. Je, serikali haitambua huu uonezi unaofanywa na Wakuu wa Wilaya?
2. Ni sheria gani inasema wananchi na watumishi wachangie mwenye kwa nguvu?
3. Wabunge wako wapi kuikemea serikali?
Kwa kifupi Mwenge sasa ni kero kubwa kwa wananchi wa kawaida,wafanyabiashara na watumishi.Wengi hawataki hata kuusikia.
Nb:Hii michango sio ombi ni lazima,ikitokea unasita sita kutoa unaambiwa litakalokukuta shauri ako.
Nawasilisha.
Kweli kabisaHamjui haki zenu.
Inafikirisha sana,sijui wamewawaziaje?Mbona wengine ni pesa kubwa ila walimu ni buku tano tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Bado una vingi vya kujifunzaIna maana dakika hii umeisha nifahamu na kazi yangu 😅😅😅...hii ndiyo Jf
Hawawezi maana mwenge ndio tambiko/uchawi unaotumika kufunga akili za watanzania. Ndio maana kila mwaka hupitishwa kila kata nchi nzima ili ku renew (kuhuisha) tambiko.Imetosha sasa. Mwenge upelekwe makumbusho ya taifa.
We ndiyo unavyovingi vya kujifunza maana huelewi unachozungumzaBado una vingi vya kujifunza