Viwango vya Michango ya Mwenge kwa Watumishi

Viwango vya Michango ya Mwenge kwa Watumishi

Waje na TPDF wachangishe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbn uku hawaji...???
 
Waje na TPDF wachangishe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbn uku hawaji...???
Msimamizi wa shughuli za mwenge ni Local government authorities. (LGA)

TPDF sio sehem ya LGA kama ilivyo kwa taasisi nyingine zote za serikali. Mbona hujasema kuhusu TRA, LATRA, TPA, TARI, TANESCO na nyingine? Hawa nao habar za mwenge hawazijui

Jaribu kufuatilia vitu kabla ya kusema, hata hao TPDF wana michango yao isiyogusa kabisa taasisi nyingine.
 
Msimamizi wa shughuli za mwenge ni Local government authorities. (LGA)

TPDF sio sehem ya LGA kama ilivyo kwa taasisi nyingine zote za serikali. Mbona hujasema kuhusu TRA, LATRA, TPA, TARI, TANESCO na nyingine? Hawa nao habar za mwenge hawazijui

Jaribu kufuatilia vitu kabla ya kusema
Noted.
 
Mimi nasubilia mtu aje kunidai pesa ya mwenge aone.....ili suala linahitaji mtu wa kafara
 
Mimi nasubilia mtu aje kunidai pesa ya mwenge aone.....ili suala linahitaji mtu wa kafara
Wewe unasema hivi kwa sababu haumo kwenye "Line of Command".

Ungekuwa kwenye ile line, wala hata usingeweza kubwabwaja hivi. Fuatilia watu walioko kwenye hii line utakuta wanatoa bila kupenda, including baadhi ya wafanyabiashara; Namaanisha wafanyabiashara na sio wachuuzi.

Kama haupo kwenye huo mnyororo, relax, no body will bother you.
 
Wewe unasema hivi kwa sababu haumo kwenye "Line of Command".

Ungekuwa kwenye ile line, wala hata usingeweza kubwabwaja hivi. Fuatilia watu walioko kwenye hii line utakuta wanatoa bila kupenda, including baadhi ya wafanyabiashara; Namaanisha wafanyabiashara na sio wachuuzi.

Kama haupo kwenye huo mnyororo, relax, no body will bother you.
Ina maana dakika hii umeisha nifahamu na kazi yangu 😅😅😅...hii ni Jf ,ujuaji utakuponza
 
Hili la mwenge litafakarisha sana. Iringa kila mtumishi kaagizwa kutoa mchango kama ifuatavyo.
1. Watendaji kata 30,000/=
2. Waratibu Elimu 30,000/=
3.Watendaji wa mitaa 15,000/=

Pia watendaji wa mitaa wanatakiwa kuchangisha fedha mitaani huku kila mmoja akipewa malengo ya kiasi cha kuchangisha

4. Maafisa Ugani kata (Kilimo na mifugo) 15,000/=
5. Maafisa maendeleo 15,000/=
6. Waalimu 5000/=.
7. Wafanyabiara wakubwa na wenye viwanda. Hawa wanaandikiwa barua rasmi na mkurugenzi au ofisi ya mkuu ya Wilaya au Mkoa na hutakiwa kutoa kiasi cha kuanzia laki moja(100,000/=) na kuendelea. Huu km sio wizi na unyang'anyi ni nini?

Kinachoshangaza ni ongezeko kubwa la mchango ambapo mwaka jana watumishi walichangia kati ya elfu 3,000 na elfu 5000. Nini kimesababisha mwaka huu michango kuwa 15,000 na elfu 30,000? Maswali ya kujiuliza

1. Je, serikali haitambua huu uonezi unaofanywa na Wakuu wa Wilaya?

2. Ni sheria gani inasema wananchi na watumishi wachangie mwenye kwa nguvu?
3. Wabunge wako wapi kuikemea serikali?

Kwa kifupi Mwenge sasa ni kero kubwa kwa wananchi wa kawaida,wafanyabiashara na watumishi.Wengi hawataki hata kuusikia.

Nb:Hii michango sio ombi ni lazima,ikitokea unasita sita kutoa unaambiwa litakalokukuta shauri ako.

Nawasilisha.
Unazingua Wewe achana na Mambo ya Mwenge
Wewe ni Adui mkubwa wa Taifa Letu
 
Imetosha sasa. Mwenge upelekwe makumbusho ya taifa.
Hawawezi maana mwenge ndio tambiko/uchawi unaotumika kufunga akili za watanzania. Ndio maana kila mwaka hupitishwa kila kata nchi nzima ili ku renew (kuhuisha) tambiko.

Mwenge ni ushetani tu.
 
Back
Top Bottom