Viwango vya Michango ya Mwenge kwa Watumishi

Viwango vya Michango ya Mwenge kwa Watumishi

Kwani huu Mwenge upo wizara gani? Hiyo wizara haina bajeti? Mwenge unajulikana na gharama zake zinajulikana, kama Serikali inaona umuhimu wake kwa nini Wizara husika isiutengee bajeti?
 
Panya gani wa kumfunga paka kengele?
Sio rahisi, kama ilivyo muungano.

Ukienda kwenye national website unakuta mwenge unaorodheshwa kama alama ya taifa. Sasa haya mambo ya alama haya ni kama zindiko hili, nchi imezindikwa hapo, na mazindiko yanahuishwa kila mwaka.

Unadhani atatokea nani aondoe hilo zindiko? Labda tumpate Mlokole kabisa kabisa
 
Akija mtu home/ofisini kwangu kunidai pesa ya mwenge ni lazima nizae naye ili iwe fundisho kwa wengine.
 
Hili la mwenge litafakarisha sana. Iringa kila mtumishi kaagizwa kutoa mchango kama ifuatavyo.
1. Watendaji kata 30,000/=
2. Waratibu Elimu 30,000/=
3.Watendaji wa mitaa 15,000/=

Pia watendaji wa mitaa wanatakiwa kuchangisha fedha mitaani huku kila mmoja akipewa malengo ya kiasi cha kuchangisha

4. Maafisa Ugani kata (Kilimo na mifugo) 15,000/=
5. Maafisa maendeleo 15,000/=
6. Waalimu 5000/=.
7. Wafanyabiara wakubwa na wenye viwanda. Hawa wanaandikiwa barua rasmi na mkurugenzi au ofisi ya mkuu ya Wilaya au Mkoa na hutakiwa kutoa kiasi cha kuanzia laki moja(100,000/=) na kuendelea. Huu km sio wizi na unyang'anyi ni nini?

Kinachoshangaza ni ongezeko kubwa la mchango ambapo mwaka jana watumishi walichangia kati ya elfu 3,000 na elfu 5000. Nini kimesababisha mwaka huu michango kuwa 15,000 na elfu 30,000? Maswali ya kujiuliza

1. Je, serikali haitambua huu uonezi unaofanywa na Wakuu wa Wilaya?

2. Ni sheria gani inasema wananchi na watumishi wachangie mwenye kwa nguvu?
3. Wabunge wako wapi kuikemea serikali?

Kwa kifupi Mwenge sasa ni kero kubwa kwa wananchi wa kawaida,wafanyabiashara na watumishi.Wengi hawataki hata kuusikia.

Nb:Hii michango sio ombi ni lazima,ikitokea unasita sita kutoa unaambiwa litakalokukuta shauri ako.

Nawasilisha.
CCM Chama Cha Majizi
Mwenge ni uchawi,
 
Ukiwa mtumishi wa umma Tanzania kuna mambo matatu unatakiwa kuwa nayo makini; maana yanaweza kukuletea matatizo makubwa.
1. Mwenge
2. Mitihani
3. Uchaguzi
Matukio yote yanayoihusu CCM ni hatari kwa mtumishi. Siku hizi wana mikutano yao ya taathimini mtumishi ngaza ya kata usipohudhuria wanakuazimia. Ovyo sana hawa watu.
 
Wewe unasema hivi kwa sababu haumo kwenye "Line of Command".

Ungekuwa kwenye ile line, wala hata usingeweza kubwabwaja hivi. Fuatilia watu walioko kwenye hii line utakuta wanatoa bila kupenda, including baadhi ya wafanyabiashara; Namaanisha wafanyabiashara na sio wachuuzi.

Kama haupo kwenye huo mnyororo, relax, no body will bother you.
Kabisa hajui alisemalo
 
Hili la mwenge litafakarisha sana. Iringa kila mtumishi kaagizwa kutoa mchango kama ifuatavyo.
1. Watendaji kata 30,000/=
2. Waratibu Elimu 30,000/=
3.Watendaji wa mitaa 15,000/=

Pia watendaji wa mitaa wanatakiwa kuchangisha fedha mitaani huku kila mmoja akipewa malengo ya kiasi cha kuchangisha

4. Maafisa Ugani kata (Kilimo na mifugo) 15,000/=
5. Maafisa maendeleo 15,000/=
6. Waalimu 5000/=.
7. Wafanyabiara wakubwa na wenye viwanda. Hawa wanaandikiwa barua rasmi na mkurugenzi au ofisi ya mkuu ya Wilaya au Mkoa na hutakiwa kutoa kiasi cha kuanzia laki moja(100,000/=) na kuendelea. Huu km sio wizi na unyang'anyi ni nini?
Hao watendaji wanakwenda kuzitafuta kwenye rushwa, ukitaka kujionea nenda kwenye ofisi zao kipindi hiki
 
Uu mwenge zaidi ya kuchochea ngono amna cha ajabu
 
Ukiwa mtumishi wa umma Tanzania kuna mambo matatu unatakiwa kuwa nayo makini; maana yanaweza kukuletea matatizo makubwa.
1. Mwenge
2. Mitihani
3. Uchaguzi
4.Msafara wa viongozi
 
Hili la mwenge litafakarisha sana. Iringa kila mtumishi kaagizwa kutoa mchango kama ifuatavyo.
1. Watendaji kata 30,000/=
2. Waratibu Elimu 30,000/=
3.Watendaji wa mitaa 15,000/=

Pia watendaji wa mitaa wanatakiwa kuchangisha fedha mitaani huku kila mmoja akipewa malengo ya kiasi cha kuchangisha

4. Maafisa Ugani kata (Kilimo na mifugo) 15,000/=
5. Maafisa maendeleo 15,000/=
6. Waalimu 5000/=.
7. Wafanyabiara wakubwa na wenye viwanda. Hawa wanaandikiwa barua rasmi na mkurugenzi au ofisi ya mkuu ya Wilaya au Mkoa na hutakiwa kutoa kiasi cha kuanzia laki moja(100,000/=) na kuendelea. Huu km sio wizi na unyang'anyi ni nini?

Kinachoshangaza ni ongezeko kubwa la mchango ambapo mwaka jana watumishi walichangia kati ya elfu 3,000 na elfu 5000. Nini kimesababisha mwaka huu michango kuwa 15,000 na elfu 30,000? Maswali ya kujiuliza

1. Je, serikali haitambua huu uonezi unaofanywa na Wakuu wa Wilaya?

2. Ni sheria gani inasema wananchi na watumishi wachangie mwenye kwa nguvu?
3. Wabunge wako wapi kuikemea serikali?

Kwa kifupi Mwenge sasa ni kero kubwa kwa wananchi wa kawaida,wafanyabiashara na watumishi.Wengi hawataki hata kuusikia.

Nb:Hii michango sio ombi ni lazima,ikitokea unasita sita kutoa unaambiwa litakalokukuta shauri ako.

Nawasilisha.
Halafu zinatumika kwa ajili ya nini hasa? Mwenge uko chini ya taasisi gani isiyouwekea bajeti?
 
Mtu anaingia ofisini kwa siku moja anaiba walau elfu 50 hadi laki moja kwa siku moja hawezi kuchangia, mwalimu mwenye mshahara wa laki tatu bila hata chembe ya ya rushwa, wala marupurupu anadaiwa mchango wa mwenge
 
Kuna uhusiano gani wa mwenge na matumizi ya condom?
Maana ulipo mwenge na condom zinapatikana mpya ila asubuhi yake zinaonekana zikiwa na oil
 
Back
Top Bottom