castieltsar
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 1,528
- 2,723
Dahhhhh baada ya miaka 20+ kazini ndo unafika laki TisaF1 ni daraja. Mtu anapanda baada ya kufanya kazi miaka kadhaa.
Yaani wale wa kwenye 419,000 wanenda kwenye 530,000 na wale wa 530,000 wanaenda kwenye 716,000 huku wale wa 716,000 ndio wanaenda kwenye 940,000.
Hii Tsh 940,000 ndio daraja la F1.
Kama huwa unasikia kuoandishwa madaraja ya watumishi ndio haya. Na kila mtumishi ana haki ya kupanda kila baada ya miaka 4.
kwahyo ulitaka tufe au? mnazungumzia mishahara ila mnajua idadi ya hao wanaopokea.. mmebahatika hapo mlipo shukuruni Mungu, watu tunasugua na 150k na hatufi and is the least we can getNdio ujue utumishi wa kibongo ni utumwa , yani mtu analipwa mshahara wa house girl, lakini ana nyodoooooo, na kwa wanaume unakuta hadi anamchepuko na anahonga vile vile , watanzania kwakweli ni ma genious how on earth unaishi kwa laki tatu for God sake
Pole mkuu sijasema ufe ndiomaana nikasema nyie ni Genious 150K bado upo tu loh. Wakati mbunge analipwa zaidi ya 15 M kwa mwezi bado analalamika anataka alipwe Dolakwahyo ulitaka tufe au? mnazungumzia mishahara ila mnajua idadi ya hao wanaopokea.. mmebahatika hapo mlipo shukuruni Mungu, watu tunasugua na 150k na hatufi and is the least we can get
Waalimu binafsi sina huruma nao kabisa ni mamluki waliokubali kutumika kuhalalisha udikiteta nchini
Maghorofa?Duh.Mkuu
Mkuu,Kuna kada za afya nao wafahamu Wana Manisha ya kawaida Sana,pia kuna walimu wanamiliki maghrofa mjini ndugu yangu,Manisha mazuri ya mtumishi WA kawaida hayatokani na kiasi cha mshahara,Bali mipango e.g investment n.k
F1 ni daraja linalofuata baada ya daraja D kama sikosei!Hao F1 ndio walimu wa hesabu au?
Waheshimu sana walimu wako yaani utoke D1 hadi F1 E imepotelea wapi ?F1 ni daraja linalofuata baada ya daraja D kama sikosei!
OOH! Hahahaa thanks ni kweli hapo niliteleza, Alphabatical order toka D tunaingia E daa! Zamani nyingi sana toka nisomehayo aisee! Hata hivyo sijawadharau hapo nimewapandisha cheo kwa mserereko!Waheshimu sana walimu wako yaani utoke D1 hadi F1 E imepotelea wapi ?
Halafu unategemea utaendesha kuna walimu
Nenda mashuleni uone magari na pia wengi wamejenga. Tatizo sio mshahara ..tatizo ni unajiongezaje nje ya mshahara?Halafu unategemea utaendesha gari siku 1?
Hiyo ni kwa watumishi wote serikalini.Dahhhhh baada ya miaka 20+ kazini ndo unafika laki Tisa
Hesabu nje ya mshahara ndo muhimuNenda mashuleni uone magari na pia wengi wamejenga. Tatizo sio mshahara ..tatizo ni unajiongezaje nje ya mshahara?
Vijana wengi wanapenda kupata kazi sehemu zenye ofisi nzuri apige selfie na aishi maisha ya kuiga. Walimu wengi wanaishi maisha real na sio wavaa vipusa..nadhani hii inachangiwa na mazingifa ya kazi wanarukaruka na madogo muda mwingi wanasahau kupigilia mavazi. Ambapo kwa watu wasiojua life wanahisi ukivaa vizuri ukawa na iphone na crown basi umetoboa. In reality walimu wana muda wa kutafuta oesa nje ya kazi na waliofanya hivo wametoboa sana. Kazi unayofabya ina mchango kidogo katika hali yako ya maisha. Unaweza kulipwa 5m na ukaimalizia kwenye bata. Wakati kuna mtu analipwa 500k na anazifanyia mambo ya maana.
Walimu tatizo lao majungu tu..wasioendekeza majungu wanatoboa sanaaa
Juha. Kama wewe ni mwalimu nawahurumia hao watoto unaowafundishaMawazo ya kipiglet! Kinachoangalia ni pato halisi mtu analorudi nalo nyumbani . Wengine mishahara inaonekana midogo lakini nyuma ya pazia wamefungasha posho zisizo na idadi na hivyo mwisho wa siku mwalimu na hiyo inayoonekana mshahara mkubwa , inakuwa kama kaambulia machicha !!!
Kama ulianza na elimu ya ngazi ya cheti.Dahhhhh baada ya miaka 20+ kazini ndo unafika laki Tisa
Sasa unataka ulipwe hela nyingi unazalisha nini, wewe fundisha, kazi laini sana hiyo watu tunapambana na sumu huku na mishahara bado kiduchu.Viwango Vya Mshahara Wa Walimu 2021/2022 | Teachers Salary Scale Range
New Government Salary Scales: Approved
B1 = Basic 419,000
TGTS B1 = 419,000/- and TGTS C1 = 530,000/- TGTS D1 = 716,000/- and TGTS E1 = 940,000/- TGTS F1 = 1,235,000/- and TGTS G1 = 1,600,000/- TGTS H1 = 2,091,000/- and TGTS I = 2,810,000/-
C1 = Basic 530,000
Cwt = 8,390. Pension = 20,950. Income = 46,090. Insur = 12,570 Take home = 331,000
D1= Basic 716,000
Cwt = 10,600. Pension = 26,500. Income = 58,300. Insurance = 15,900 Take home = 418,700
E1 = Basic 940,000
Cwt = 14,320. Pension = 35,800. Income = 78,760. Insurance = 21,400 Take home = 565,640
F1 = Basic 1,235,000
Cwt = 18,800. Pension = 47,000. Income = 103,400. Insurance = 28,200 Take home = 742,600
Kazi ni kwako ndugu mwalimu
Cwt = 24,700. Pension = 61,750. Income = 135,850. Insurance = 37,050 Take home = 975,650.
Sasa unataka ulipwe hela nyingi unazalisha nini, wewe fundisha, kazi laini sana hiyo watu tunapambana na sumu huku na mishahara bado kiduchu.
Wewe una likizo ndefu mbili kila mwaka bado mid term unakula bata afu unataka limshahara likubwa, soma
Nurse certificate anaenza Kaz 320k unafikili take home itakua ngapTake home 331,000 . Hapa lazima ujiongeze.
Kabisa mkuu Yan mwali umlinganishe na nesi ualimu Ni kazi ya Bata Sana waache kulialiaLabda kada zingine kuna raha.Mtu ni mwalimu anafunga shule mara 4 kwa mwaka,ana likizo na anatoka kazini saa 8.30 mchana na hana Kazi ya pressure,hiyo ni Kazi nzuri Sana.