Mtu na nusu
JF-Expert Member
- Jan 9, 2020
- 680
- 1,306
Kuna mi mtu itapinga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali ina masrai na hivi vyama inavikopa hela ujueHakika.
Pia vyama vya wafanyakazi kukata mishahara kwa lazima ni tatizo jingine kubwa sana.
Yuko sahihi.Rekebisha hapo E1 Ni 751000
Ila hao ccm inawapenda kufa. Ccm inaweza ipoteze maisha ikiwakosa walimuTake home 331,000 . Hapa lazima ujiongeze.
Acha uongo,afya TGHS hakuna scale chini ya laki 4Nurse certificate anaenza Kaz 320k unafikili take home itakua ngap
Serikali inalipa kutokana na elimj haijalishi unafundisha ngazi ipi.Na vip walimu wa shule za msingi! Mishahara yao ukoje au wapo sawa na sekondari
Biashara yenye faida ya laki 1 kwa mwezi ni milioni 3,.....mtaji wake si chini ya milioni 30, hongereni sana wapambanajiUnakuta wenzako wanasubiri mishahara wewe wala hauwazi kabisa!!kwa siku unaingiza faida ya 80000/= hadi 100000/= tena unawashangaa wanavohaha!!!
Usisahau kuna pisi kali inataka chake nayao!Hujanunua Maji, Umeme, Na Kuyaendesha Maisha Yako
Mkuu kazi yako ya kufundisha ni blessing...kuna kazi mbovu tena zinahatarisha afya na mishahara haieleweki tena humu humu serikalini.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji119][emoji119][emoji119]unapambana na sumu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hao F1 ndio walimu wa hesabu au?
Ndio ndio, tutaendesha tu hata ndotoni[emoji1787]Halafu unategemea utaendesha gari siku 1?
Kwanza edit hapo, mimi sio Mwalimu.Mkuu kazi yako ya kufundisha ni blessing...kuna kazi mbovu tena zinahatarisha afya na mishahara haieleweki tena humu humu serikalini.
Ugumu wa maisha ndo unaona kila kazi ya serikali ni mbaya. We unalipwa 330, 000 na kielimu chako cha Certificate unaona mshahara mdogo?
Kazi nyingine unayo ya kukulipa huo mshahara, tulia na kuwa mvumilivu hadi upate suluhisho lako la mshahara
Kwahiyo ilitakiwa iweje kama hakuna fursa ??Ualimu ni kazi sana,kikipato sio poa,unavyoongea na kugeneralize mambo ya walimu sio sawa. Usigeneralize walimu wapo taNzania nzima, kunasehemu ndani vijijini ambako hata wewe huwezi ishi na hakuna fursa.
Jambo la Msingi ni kuacha kazi ili uineshe huo u-genius wa kuzalisha kipato kikubwa kuliko hicho unacholipwa.Ndio ujue utumishi wa kibongo ni utumwa , yani mtu analipwa mshahara wa house girl, lakini ana nyodoooooo, na kwa wanaume unakuta hadi anamchepuko na anahonga vile vile , watanzania kwakweli ni ma genious how on earth unaishi kwa laki tatu for God sake
Master Degree unatakiwa kutengeneza kazi na siyo kujisifia umekimbilia shirika la umma.Kwanza edit hapo, mimi sio Mwalimu.
Mimi kiwango changu cha elimu ni Master degree.
Huo mshahara sijawahi kupokea, mshahara wa kwanza ulikuwa TGS D baada ya hapo nikachomoka kwenda shirika la umma nakula pesa ndefu.
Ila jamani mzee nilimpenda sana sbb yakutuaminisha ..na kweli tulijiamini na pia tumeweza kuhojiTanzania Ni Tajiri
Tuchape Kazi Ndugu Zangu
Bwana Bure Hayupo
Tembeeni Kifua Mbele
mbona askar hawalalamikiViwango Vya Mshahara Wa Walimu 2021/2022 | Teachers Salary Scale Range
New Government Salary Scales: Approved
B1 = Basic 419,000
TGTS B1 = 419,000/- and TGTS C1 = 530,000/- TGTS D1 = 716,000/- and TGTS E1 = 940,000/- TGTS F1 = 1,235,000/- and TGTS G1 = 1,600,000/- TGTS H1 = 2,091,000/- and TGTS I = 2,810,000/-
C1 = Basic 530,000
Cwt = 8,390. Pension = 20,950. Income = 46,090. Insur = 12,570 Take home = 331,000
D1= Basic 716,000
Cwt = 10,600. Pension = 26,500. Income = 58,300. Insurance = 15,900 Take home = 418,700
E1 = Basic 940,000
Cwt = 14,320. Pension = 35,800. Income = 78,760. Insurance = 21,400 Take home = 565,640
F1 = Basic 1,235,000
Cwt = 18,800. Pension = 47,000. Income = 103,400. Insurance = 28,200 Take home = 742,600
Kazi ni kwako ndugu mwalimu
Cwt = 24,700. Pension = 61,750. Income = 135,850. Insurance = 37,050 Take home = 975,650.
Dini Inasema Imani Inahamisha MlimaIla jamani mzee nilimpenda sana sbb yakutuaminisha ..na kweli tulijiamini na pia tumeweza kuhoji