Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

Alafu kwa mshahara uwo mtu
Anasomesha watoto Private school
Anamiliki gar
Wiki end anataka atoke out
Anamiliki Simu
Anamaitaji ya nyumbani
Anamkopo bank
Anamfanyakazi wa ndani
Anamichango ya harusi misiba na vikindi
Nk.

Kwa mwendo huu Wabongo hatuwezi fanikiwa ebu tujifunze kuishi kulingana na vipato vyetu iyo mishahara ni mikubwa sana endapo utaishi kulingana na kipato chako ila ukifake maisha kama watanzania wengi tulivyozoea kufake life iyo pesa utaiona ndogo
 
Sijaandika kwa dharau, ila Walimu wanajiliza liza bila sababu mpaka wanakera.

Kuna kada wakikuonesha mishahara yao mpaka unawahurumia, lakino hawalalamiki kama walimu.

Kuna watumishi wa mahakama tena wana Diploma kabisa lakini wanalipwa TGS B.
Diploma Ni TGS C, hao watumishi wa mahakama Wana hela magumashi nyingi Sana buku 5,10,15 za kutafuta mafaili wanazipiga Sana.
 
For sure hakuna mtumishi wa serikali anayetegemea mshahara tu anaeishi vizuri kumzidi mwalimu
 
Hakuna nurse anayeanza na huu mshahara,ww utakua unaongelea wahudumu wa afya ambao wanasoma certificate ya mwaka mmoja ndo wana take home laki 2 na 80 hvi ila basic laki 3+
Hakuna mtumishi wa Afya wa ngazi ya cheti mwenye mshahara chini ya Tsh 432,000. Take home Tsh 380,000 ( bila Makato ya chama Cha wafanyakazi, au Tsh 370,000 Kama yakiwepo).
 
Nilikuwa Napenda sana kuwa mwl. Tena niwe nafundisha vitoto vidogovidogo vile!

Ualimu ni wito walimu walishapiga sana kelele kuhusu maslahi yao,lakini hakuna anayejali! Enzi za JK walikuwa wanaanzisha mpaka migomo, lakini hola!

Pigeni tu kazi walimu wetu, taifa linawategemea japo wanajifanyaga wanawachukulia poa, wakati mwingine wanawapeleka vishule vya huko ndani ndani ambako hata wao hawawezi kuishi,basi hata wawafikirie kuwapeni posho ya mazingira magumu hakuna[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]

Pigeni kazi tu na kwa kuwa mna muda mwingi wa ziada, jiongezeni mtafute namna ya kufanya ili kujiongezea vipato kulingana na mazingira mnayoishi!
Kuwa mwalimu wa vitoto vidogo mbona rahisi tu. Kama una wito anzisha kituo cha Chekechea hapo mtaani kwako hukosi wateja
 
Viwango Vya Mshahara Wa Walimu 2021/2022 | Teachers Salary Scale Range
New Government Salary Scales: Approved

  • TGTS B1 = 419,000/- and TGTS C1 = 530,000/-​
  • TGTS D1 = 716,000/- and TGTS E1 = 940,000/-​
  • TGTS F1 = 1,235,000/- and TGTS G1 = 1,600,000/-​
  • TGTS H1 = 2,091,000/- and TGTS I = 2,810,000/-​
B1 = Basic 419,000
  • Cwt = 8,390.​
  • Pension = 20,950.​
  • Income = 46,090.​
  • Insur = 12,570​
  • Take home = 331,000​
C1 = Basic 530,000
  • Cwt = 10,600.​
  • Pension = 26,500.​
  • Income = 58,300.​
  • Insurance = 15,900​
  • Take home = 418,700​
D1= Basic 716,000
  • Cwt = 14,320.​
  • Pension = 35,800.​
  • Income = 78,760.​
  • Insurance = 21,400​
  • Take home = 565,640​
E1 = Basic 940,000
  • Cwt = 18,800.​
  • Pension = 47,000.​
  • Income = 103,400.​
  • Insurance = 28,200​
  • Take home = 742,600​
F1 = Basic 1,235,000
  • Cwt = 24,700.​
  • Pension = 61,750.​
  • Income = 135,850.​
  • Insurance = 37,050​
  • Take home = 975,650.
Kazi ni kwako ndugu mwalimu
Mwingine huyu hapa analia Lia 👇

Screenshot_20220506-163715.png


20220506_163703.jpg
 
Back
Top Bottom