Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisa Mkuu... Ni miujiza.Kuna muda ukifikiria mshahara unaopata na unavyoishi unaona kama maigizo, ukifikiria kwa makini sana unaona ni maigizo kweli.
Health attendants je?Hakuna mtumishi wa Afya wa ngazi ya cheti mwenye mshahara chini ya Tsh 432,000. Take home Tsh 380,000 ( bila Makato ya chama Cha wafanyakazi, au Tsh 370,000 Kama yakiwepo).
Ndio hao wasaidizi wa AfyaH
Health attendants je?
Mimi kusema kweli mshahara ninaopata ni mdogo na huwa naufagia ndani ya siku 10 muda mwingine siku 4. Hii ni sinema tosha.Sahihi kabisa Mkuu... Ni miujiza.
Kaka unavijua viwango vya mshahara kweli! Maana hizo scale zako sijui ni za wapi. Anyway, kushindanisha viwango vya mshahara ni upuuzi.Hata kama ni hivyo:
TGS E ni Tsh 751,000.
Hapo umesoma sheria miaka 4 na mwaka 1 tena school of law.
Mwalimu ( Arts ) kasoma miguu juu miaka 3 tu, anakunja Tsh 716,000 Gross.
Na Mwalimu ( sayansi ) anaanza na TGTS D3 Ambayo 750,000 sawa tu na hiyo TGS E.
Narudia walimu hawana mishahara midogo
Tatizo muda wa kufanya hivyo majukumu yanabana,nawaombea mema ma teacher wote Mwenyezi Mungu awafanyie wepesi katika kutekeleza majukumu yao!Kuwa mwalimu wa vitoto vidogo mbona rahisi tu. Kama una wito anzisha kituo cha Chekechea hapo mtaani kwako hukosi wateja
Kama hiyo ndo mishahara mnayolipwa wasomi wa Tz mbona hakuna hata anayegusa mshahara wangu wa ulinzi, alafu mnatudharauHapo mwalimu anazidiwa kidogo na kada za Afya na Engineering.
Lakini taaluma nyingine zote kama Acccountancy, sociology, Mchumi, Maafisa Maendeleo, Kilimo, HR, Afisa Utumishi, WEO/VEO, sheria wote kwa walimu wanasubiri.
Mishahara ya walimu siyo midogo.
Walimu wanachojua ni kujiliza liza kama mbweha tu.
Fanya yako Mkuu. Sidhani kama hata Kuna mashindanoKama hiyo ndo mishahara mnayolipwa wasomi wa Tz mbona hakuna hata anayegusa mshahara wangu wa ulinzi, alafu mnatudharau
Umeleta ya nini hapa kiongozi si ungeishia NMB ATM machine ukasepa kwa Mangi ukaclear madeni ili uanze upya kukopa. Au visheti na ubuyu havijauzika leoFanya yako Mkuu. Sidhani kama hata Kuna mashindano
Kwani ulitaka walipwaje!??hebu weka mshahara wa fani nyingine kama.wahasibu,human resources, uone ,hats polis magereza uhamiaji uoneViwango Vya Mshahara Wa Walimu 2021/2022 | Teachers Salary Scale Range
New Government Salary Scales: Approved
B1 = Basic 419,000
TGTS B1 = 419,000/- and TGTS C1 = 530,000/- TGTS D1 = 716,000/- and TGTS E1 = 940,000/- TGTS F1 = 1,235,000/- and TGTS G1 = 1,600,000/- TGTS H1 = 2,091,000/- and TGTS I = 2,810,000/-
C1 = Basic 530,000
Cwt = 8,390. Pension = 20,950. Income = 46,090. Insur = 12,570 Take home = 331,000
D1= Basic 716,000
Cwt = 10,600. Pension = 26,500. Income = 58,300. Insurance = 15,900 Take home = 418,700
E1 = Basic 940,000
Cwt = 14,320. Pension = 35,800. Income = 78,760. Insurance = 21,400 Take home = 565,640
F1 = Basic 1,235,000
Cwt = 18,800. Pension = 47,000. Income = 103,400. Insurance = 28,200 Take home = 742,600
Kazi ni kwako ndugu mwalimu
Cwt = 24,700. Pension = 61,750. Income = 135,850. Insurance = 37,050 Take home = 975,650.
Mimi ukinipa huo mshahara tena na benk Nina access ya kukopa nakuwa tajiri after five years ila mpumbavu hawezi elewaIla walimu nawaoneaga huruma sana [emoji22]
Mimi ndio nimeleta huu UZI?Umeleta ya nini hapa kiongozi si ungeishia NMB ATM machine ukasepa kwa Mangi ukaclear madeni ili uanze upya kukopa. Au visheti na ubuyu havijauzika leoimi
Kodi ya chumba siyo nyumba.Hujatoa kodi ya nyumba na usafiri wa kila siku kwenda kazini.