Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

Kuna muda ukifikiria mshahara unaopata na unavyoishi unaona kama maigizo, ukifikiria kwa makini sana unaona ni maigizo kweli.
 
H
Hakuna mtumishi wa Afya wa ngazi ya cheti mwenye mshahara chini ya Tsh 432,000. Take home Tsh 380,000 ( bila Makato ya chama Cha wafanyakazi, au Tsh 370,000 Kama yakiwepo).
Health attendants je?
 
Sahihi kabisa Mkuu... Ni miujiza.
Mimi kusema kweli mshahara ninaopata ni mdogo na huwa naufagia ndani ya siku 10 muda mwingine siku 4. Hii ni sinema tosha.
Naishi kwa madili mengine halali palepale kazini.
Ni kwa vile tu ni kazi ambayo hainibani ndio maana navumilia.
 
Hata kama ni hivyo:

TGS E ni Tsh 751,000.

Hapo umesoma sheria miaka 4 na mwaka 1 tena school of law.

Mwalimu ( Arts ) kasoma miguu juu miaka 3 tu, anakunja Tsh 716,000 Gross.

Na Mwalimu ( sayansi ) anaanza na TGTS D3 Ambayo 750,000 sawa tu na hiyo TGS E.

Narudia walimu hawana mishahara midogo
Kaka unavijua viwango vya mshahara kweli! Maana hizo scale zako sijui ni za wapi. Anyway, kushindanisha viwango vya mshahara ni upuuzi.
 
Hapo mwalimu anazidiwa kidogo na kada za Afya na Engineering.

Lakini taaluma nyingine zote kama Acccountancy, sociology, Mchumi, Maafisa Maendeleo, Kilimo, HR, Afisa Utumishi, WEO/VEO, sheria wote kwa walimu wanasubiri.

Mishahara ya walimu siyo midogo.

Walimu wanachojua ni kujiliza liza kama mbweha tu.
Kama hiyo ndo mishahara mnayolipwa wasomi wa Tz mbona hakuna hata anayegusa mshahara wangu wa ulinzi, alafu mnatudharau
 
Viwango Vya Mshahara Wa Walimu 2021/2022 | Teachers Salary Scale Range
New Government Salary Scales: Approved

  • TGTS B1 = 419,000/- and TGTS C1 = 530,000/-​
  • TGTS D1 = 716,000/- and TGTS E1 = 940,000/-​
  • TGTS F1 = 1,235,000/- and TGTS G1 = 1,600,000/-​
  • TGTS H1 = 2,091,000/- and TGTS I = 2,810,000/-​
B1 = Basic 419,000
  • Cwt = 8,390.​
  • Pension = 20,950.​
  • Income = 46,090.​
  • Insur = 12,570​
  • Take home = 331,000​
C1 = Basic 530,000
  • Cwt = 10,600.​
  • Pension = 26,500.​
  • Income = 58,300.​
  • Insurance = 15,900​
  • Take home = 418,700​
D1= Basic 716,000
  • Cwt = 14,320.​
  • Pension = 35,800.​
  • Income = 78,760.​
  • Insurance = 21,400​
  • Take home = 565,640​
E1 = Basic 940,000
  • Cwt = 18,800.​
  • Pension = 47,000.​
  • Income = 103,400.​
  • Insurance = 28,200​
  • Take home = 742,600​
F1 = Basic 1,235,000
  • Cwt = 24,700.​
  • Pension = 61,750.​
  • Income = 135,850.​
  • Insurance = 37,050​
  • Take home = 975,650.
Kazi ni kwako ndugu mwalimu
Kwani ulitaka walipwaje!??hebu weka mshahara wa fani nyingine kama.wahasibu,human resources, uone ,hats polis magereza uhamiaji uone
 
bila kuweka kada zingine kama kilimo, maendeleo ya jamii polisi magereza huuuzi wako utaonekana ni baada kuona una chance ndoo ya kuajiriwa kama mwl
 
Umeleta ya nini hapa kiongozi si ungeishia NMB ATM machine ukasepa kwa Mangi ukaclear madeni ili uanze upya kukopa. Au visheti na ubuyu havijauzika leoimi
Mimi ndio nimeleta huu UZI?

Wewe Ni mpumbavu. Na tunajua mabwabwa Kama nyie hamjawahi kupenda Watumishi kwasababu mnaishi kwa WIVU na CHUKI.

Bora wao wanakopesheka kwa mangi, na wewe nenda kakope.

Unadhani kukopesheka Ni makalio kila mtu ana sifa za kukopesheka.
 
Back
Top Bottom