Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,289
- 46,624
Viwanja ni vya CCM...na unajua tena mambo ya CCM..kwanza hivi ni vya kutaifishwa..upumbavu mtupu.
Au timu zingeteneze viwanja vyake maana hivi vya ccm hata vikiwekwa nyasi bandia bado vina matumizi mengi sana..itakuwa ni kupoteza tu muda.
Bodi ya ligi iache kulala..ligi inakuwa kwa kasi (ushawishi wise) huku viwanja vinaendelea kuwa utopolo.
Au timu zingeteneze viwanja vyake maana hivi vya ccm hata vikiwekwa nyasi bandia bado vina matumizi mengi sana..itakuwa ni kupoteza tu muda.
Bodi ya ligi iache kulala..ligi inakuwa kwa kasi (ushawishi wise) huku viwanja vinaendelea kuwa utopolo.