secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Ni karibu na UDOM mkuu si unajua tena......Mkuu mambo ni mazuri kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni karibu na UDOM mkuu si unajua tena......Mkuu mambo ni mazuri kweli
Dodoma sina experience nayo mkuu, kumbeNi karibu na UDOM mkuu si unajua tena......
Ni karibu na yudom, hivyo kama wewe ni mtu wa totoz pale panakufaaDodoma sina experience nayo mkuu, kumbe
Karibu mkuu.Dodoma sina experience nayo mkuu, kumbe
Hahahaha totoz watashusha spiritually energy yangu 😂Ni karibu na yudom, hivyo kama wewe ni mtu wa totoz pale panakufaa
Unaogopa nini wakati mshana jr yupo.Hahahaha totoz watashusha spiritually energy yangu 😂
Hahahaha mm anipe kupata pesa bhn! Hiyo najua kubalance energy 😂Unaogopa nini wakati mshana jr yupo.
Karibu sana
Bilashaka.Kazi ni kipimo cha UTU
Sawa Mkuu!Tutakuja Bado vipo?Wewe mkazi wa Dodoma au popote ulipo, kama umekuwa ukiota kumiliki kiwanja Dodoma, sasa ndoto yako inaweza kutimia! Tunakupa fursa ya kipekee ya kumiliki kiwanja kwa bei nafuu na chenye thamani. Wekeza leo kwa faida ya sasa na baadaye.
Viwanja Vinavyopatikana:
1. Kiwanja Karibu na Hospitali ya Benjamin Mkapa:
Ukubwa: Sqm 453
Umbali kutoka Hospitali ya Benjamin Mkapa: Mita 70 tu
Huduma: Maji na umeme vipo jirani
Ziada: Kina surveyor form
Bei: Milioni 6 tu!
2. Kiwanja Karibu na Ring Road na Hospitali ya Benjamin Mkapa:
Ukubwa: Sqm 798.3
Eneo: Karibu na Ring Road, pia karibu na Hospitali ya Benjamin Mkapa
Huduma: Maji na umeme vipo jirani
Ziada: Kina surveyor form
Bei: Milioni 6.2 tu!
Usikose Fursa Hii!
Wasiliana nasi leo kwa maelezo zaidi na huduma:
Simu: 0779 017 650
Wahi sasa, viwanja ni vichache!