Plot4Sale Viwanja Mbweni beach

Plot4Sale Viwanja Mbweni beach

DalaliBinamu

Member
Joined
Feb 19, 2025
Posts
21
Reaction score
4
Viwanja vipo Vingi ukubwa tofautitofauti.
400 Sqm - Tshs 6.5 Milioni

Contact _ 0716442950 | 0687614981
 

Attachments

  • Screenshot_20250303_145425_Instagram.jpg
    Screenshot_20250303_145425_Instagram.jpg
    121 KB · Views: 1
Af salasini napata cha ukubwa gani boss?
 
Tazama Google Map
 

Attachments

  • Screenshot_20250303_175332_Maps.jpg
    Screenshot_20250303_175332_Maps.jpg
    343.3 KB · Views: 1
Je vina HATI YA WIZARANI?
KAZI ni kipimo cha utu
Hivyo havina hati ya wizara, Maudhiano Serikali ya Mtaa.
Mwenyekiti wa Mtaa ni Mtu safi anaaminika, alafu hapo kuna viwanja vingi vya mmiliki mmoja kwaiyo hamna longolongo biashara imenyooka
 
Square meter 400 ni eneo dogo kwa kujenga nyumba ya chini labda ujenge ghorofa. Wizara ilipiga marufuku upimaji wa viwanja chini ya square meter 600 kwa maeneo ya pembezoni.
 
Viwanja vipo zaidi ya 15, Ukubwa tofautitofauti vipo vyenye zaidi ya 1000 sqm, Utachagua wewe kulingana na uwezo wako
Square meter 400 ni eneo dogo kwa kujenga nyumba ya chini labda ujenge ghorofa. Wizara ilipiga marufuku upimaji wa viwanja chini ya square meter 600 kwa maeneo ya pembezoni.
 
kwa mbweni na hizo bei mnunuzi uende ukiwa timamu kweli kweli vinginevyo usijesema hukuonywa.
 
Back
Top Bottom