Begumisa Kanyabiango
Member
- Sep 27, 2019
- 17
- 7
- Thread starter
-
- #21
Mbezi kimara eneo linaitwa Kwembe, 25*25 malipo ya awali
Kampuni ya MAKAZI SOLUTION LTD inayohusika na upimaji,urasimishaji pamoja na uuzaji wa viwanja inakutangazia kuwa viwanja vinapatikana kwa mkopo wa kuanzia mwaka mmoja na nusu
Viwanja vyetu vina ukubwa wa kuanzia square metres 400 na kuendelea na kila square metre moja inauzwa kwa sh.8500
Tuna viwanja maeneo ya Kigamboni,Mvuti,Mbezi ya kimara eneo la Kwembe nk
Kwa mawasiliano piga namba 0658107756View attachment 1218020View attachment 1218021View attachment 1218022View attachment 1218023
Hati ya nini? Unataka kuipeleka benki?Nyinyi jamaa viwanja mnavyuza hamna hata hati...its pathetic...kampuni nyingi hz zinazouza ardhi mnafanya biashara kihuni huni sana
Sent from my SM-A510F using JamiiForums mobile app