Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kinondoni Mabwepande

Plot4Sale Viwanja vinauzwa Kinondoni Mabwepande

Ni vizuri sana unaposema ni mita za mraba 1500 ni bora ukasema upana ni mita ngapi na urefu ni mita ngapi. Hii itasaidia maana wengine wanapenda viwanja vipana sana kuliko virefu na wengine wanapenda viwanja virefu kuliko vipana.

Ni ushauri tu!!
 
Mil 100?? Hicho kiwanja kina hatimiliki

Sir dreamcheaser
 
KIWANJA KINAUZWA SALASALA AFRIKANA.

MAELEZO.
Ni kiwanja kikubwa kizuri kinachofaa kwa ujenzi wa nyumba binafsi au appartments.

UKUBWA
Sqm 1500

MAHALI
Sala sala afrikana

UMBALI
mita 100 kutoka barabarani
Kilomita 2 kutoka mbezi afrikana

BEI
Tsh milion 60
(Mazungumzo yapo)
Njoo na ofa yako

MAWASILIANO
calls&whatsap
0673540985
0765532858
Au fika ofisini Lufungira,mwenge katika jengo la SAVEI PLAZA ground floor nyuma ya calabash pub
IMG_20200416_091122_670.jpg
IMG_20200416_091122_679.jpg
IMG_20200411_192352_507.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maeneo yaliyopimwa kwa ajili ya viwanda yanaunzwa kinondoni mabwepande mtaa wa milocheni C. Ni maeneo makubwa na mazuri sana.

Yote yana kubwa wa zaidi ya sqm 11,000 sawa na zaidi ya ekari 3 kila moja. Yapo maeneo 9 ya ukubwa huo huo. Bei ni maelewano lakini sqm1=18000.

Kwa melezo zaidi:
Simu & whatsapp: 0673540985, 0765532858

Email; info@dalalimsomi.co.tz
Website: www.dalalimsomi.co.tz
Au fika ofisini Lufungira, mwenge katika jengo la SAVEI PLAZA groundfloor.

IMG-20200406-WA0001.jpg

Screenshot_20200415-153459_Drive.jpg

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KIWANJA CHENYE HATI KINAUZWA.

MAELEZO.
Ni kiwanja kizuri kilichopangwa na kupimwa vizuri kabisa.

UKUBWA
Sqm 1972

LOCATION
Ubungo kibangu
(Karibu na kanisa la roma kibangu)

MATUMIZI
Panafaa kwa matumizi ya makazi,appartmets,hotel,kanisa,msikiti au uwekezaji
wowote.

NYARAKA
Hati miliki ya kisheria ipo

BEI
Starting price
Tsh milion 80
(Mazungumzo yapo)

Kwa maelezo zaidi na kutembelea site Dm

MAWASILIANO
Calls&whatsapp
0673540985
0765532858
Email: info@dalalimsomi.co.tz
Website: www.dalalimsomi.co.tz
Instagram @dalalimsomitz
Jamiiforums&facebook /dalalimsomi
Au fika ofisi katika jengo la SAVEI PLAZA groundfloor Lufunga,Mwenge nyuma ya calabash pub
Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

Adjustments.jpg

f89e0db1-9267-47a0-8753-0a5c613fc9f0.jpg

ec0a28e0-16de-472f-a5ab-3d94a1774bbc.jpg
 
NYUMBA INAUZWA MBEZI KWA YUSUPH KARIBU NA STAND MPYA.

MAELEZO.
Ni nyumba ya vyumba saba(vitano ni masters).

UKUBWA WA ENEO
Sqm 625

LOCATION
Mbezi kwa Yusuph
Mtaa wa kwa Yusuph

UMBALI
Kilomita 1 kutoka Morogoro road

MATUMIZI
Makazi au upangishaji au unaweza kuweka lodge au hostel.

KWA SASA INAWAPANGAJI

BEI
Milion 90 tu
(Mazungumzo yapo pia)

MAWASILIANO
Calls&whatsapp
0672826826
0744336336
0673540985
Email: info@dalalimsomi.co.tz
Au fika ofisini lufungira,Mwenge katika ghorofa ya SAVEI PLAZA groundfloor.
IMG_1470.jpg

IMG_1465.jpg

IMG_1464.jpg

IMG_1463.jpg

IMG_1462.jpg

IMG_1461.jpg

IMG_1460.jpg

IMG_1459.jpg

IMG_1458.jpg
 
GHOROFA LINAUZWA MSASANI

MAELEZO
Ni ghorofa lenye appartments 13 na zote zina wapangaji.

UKUBWA
Corner plot ya sqm525

NYARAKA ZA UMILIKI
Hati miliki ya kisheria

MAHALI ILIPO
Msasani kimweru avenue
Opposite ya capetown fish market

BEI
Dollar milion 3.5 kama bei kianzio
Hii ni kwa mujibu wa ripoti ya uthamini 2013
(MAZUNGUMZO YAPO NJOO NA BEI YAKO)

NOTE; kuoneshwa site ni bure kabisa muda wowote gharama zote atalipa muuzaji tu.
MAZUNGUNZO YA BEI UTAZUNGUMZA NA MMILIKI MOJA KWA MOJA.

Kwa maelezo zaidi Dm au
Follow us on Instagram @dalalimsomitz
Facebook, JamiiForums ,youtube/DALALIMSOMI
Calls&whatsapp
0744336336
0672826826
Email: info@dalalimsomi.co.tz
Website: www.dalalimsomi.co.tz
Au fika ofisini lufungira,Mwenge katika jengo la SAVEI PLAZA groundfloor.

IMG_2706.jpg

IMG_2705.jpg

IMG_2704.jpg

IMG_2701.jpg

IMG_2702.jpg

IMG_2703.jpg
 
Hiìii hiii Dollar 3.5 m hiyo ilikua valuation ya 2013 enzi za JK. Kilichopanda thamani nini hapo sasa? Tafuta Valuer mpya huyo wa enzi za JK aliwapiga
 
Kwa bei hiyo sahau enzi za madalali kupiga hela kwa mgongo wa wanunuzi ziliiisha siku nyingiiii, by the way sasa maisha yako Dodoma hata biashara , Kwa uchumi huu wa katikati kabisa wa chini anzia hata na Mil kadhaa hizo Bil mtazisikia kwa Dokta Shika tu R.I.P i rest my case
 
Back
Top Bottom