Kwa bei hiyo sahau enzi za madalali kupiga hela kwa mgongo wa wanunuzi ziliiisha siku nyingiiii, by the way sasa maisha yako Dodoma hata biashara , Kwa uchumi huu wa katikati kabisa wa chini anzia hata na Mil kadhaa hizo Bil mtazisikia kwa Dokta Shika tu R.I.P i rest my case