Plot4Sale Viwanja vya bei rahisi Kigamboni karibu na bahari

Plot4Sale Viwanja vya bei rahisi Kigamboni karibu na bahari

Shida ni nini wew mtu wa njombe...

Naona siku hiz umekuwa chawa rasmi wa Samia[emoji23]


Njoo ununue kiwanja huku Dar toka huko ubaridini Njombe
Mimi sio samaki wa kuishi Baharini.. Kwenye michanga humo nitapanda miti na kulima?

Njombe huwezi nitoa.

Naachaje kuwa Chawa wa SSH ikiwa ametupunguzia ushuru kwenye Mazao biashara yetu ya Mazao ya misitu?
 
Duuh,hukawii kukuta kibao cha unaingia Rufii
Km 45 si mchezo,kuna siku nilikuwa naenda huko kufanya utalii,kanyaga sn mafuta alafu barabara nyeupe ingawa ukipita mjimwema Kwa mbele Tu hapo lami inaisha unakula vumbi .Baada ya kutembea sn Nikafika kijiji fulani nikauliza hapa wapi nikaambiwa hapa kimbij,nikauliza tena buyuni ni karibu nikajibiwa bado sn[emoji3]..Nikaishia hapo hapo kimbiji nikala ugali mgahawani na kupiga misele kadhaa nikarudi

Siku nyingine nilirudi tena rasmi Buyuni.Ni pazuri Kwa uwekezaji wa baadae.Hata mbagala zamani kulikuwa shamba na Ile kambi ya jeshi ilikuwa mwisho wa mji lkn Leo ipo katikati mji umefika Hadi chamazi huko
 
Mimi sio samaki wa kuishi Baharini.. Kwenye michanga humo nitapanda miti na kulima?

Njombe huwezi nitoa.

Naachaje kuwa Chawa wa SSH ikiwa ametupunguzia ushuru kwenye Mazao biashara yetu ya Mazao ya misitu?
Husishangae jioni unajifungia ndani na jiko la mkaa...mwishowe ufe kwa ukosefu wa hewa..

Njoo ule upepo huku...

Viwanja million 2 tu
 
Km 45 si mchezo,kuna siku nilikuwa naenda huko kufanya utalii,kanyaga sn mafuta alafu barabara nyeupe ingawa ukipita mjimwema Kwa mbele Tu hapo lami inaisha unakula vumbi .Baada ya kutembea sn Nikafika kijijini fulani nikaumiza hapa wapi nikaambiwa hapa kimbij,nikauliza tena buyuni ni karibu nikajibiwa bado sn[emoji3]..Nikaishia hapo hapo kimbiji nikala ugali mgahawani na kupiga misele kadhaa nikarudi

Siku nyingine nilirudi tena rasmi.Ni pazuri Kwa uwekezaji wa baadae.Hata mbagala zamani kulikuwa shamba na Ile kambi ya jeshi ilikuwa mwisho wa mji lkn Leo ipo katikati mji umefika Hadi chamazi huko
Kabisa ni pazuri kwa uwekezaji wa muda mrefu...

Sasa ukinunua kiwanja million mbili sasa hiv...baadae patachangamka utauza hata milion 30 baadae...

Vijana tuwekeze sasa...
 
Mnaojenga Kigamboni, miaka ishiri ijayo mtalia.
Kigamboni ni tambarare, ardhi ikisha jaa nyumba, maji yakashindwa kuzama ardhini, sasa dhahama ya mafuriko ndio itawakumba.
Fuateni agizo la waziri wa ardhi. Safety ya Kigamboni iko kwenye kumilikisha wakazi viwanja vya low density.
Pia kwa sasa wizara iangalie uwezekano wa kupiga marufuku nyumba za Dar kuwekewa paving blocks.
Paving blocks zinablock maji ya mvua yasizame ardhini hivyo kusababisha mafuriko ya mara kwa mara Dar.
Kama mtu anaweka paving, basi asiweke eneo linalozidi 30sq meter kwa ajili ya maegesho ya gari. Eneo linalobaki lipandwe nyasi.
 
Mnaojenga Kigamboni, miaka ishiri ijayo mtalia.
Kigamboni ni tambarare, ardhi ikisha jaa nyumba, maji yakashindwa kuzama ardhini, sasa dhahama ya mafuriko ndio itawakumba.
Fuateni agizo la waziri wa ardhi. Safety ya Kigamboni iko kwenye kumilikisha wakazi viwanja vya low density.
Pia kwa sasa wizara iangalie uwezekano wa kupiga marufuku nyumba za Dar kuwekewa paving blocks.
Paving blocks zinablock maji ya mvua yasizame ardhini hivyo kusababisha mafuriko ya mara kwa mara Dar.
Kama mtu anaweka paving, basi asiweke eneo linalozidi 30sq meter kwa ajili ya maegesho ya gari. Eneo linalobaki lipandwe nyasi.
Kama ndo hiv basi Dar yote itapotea baada ya miaka 20...watu wa makongo juu labda ndo watasurvive..
 
Kama ndo hiv basi Dar yote itapotea baada ya miaka 20...watu wa makongo juu labda ndo watasurvive..
Kigamboni kinachowasaidia until now, ni ile ardhi ya kichanga inayonyonya maji kwa upesi. Njoo Mbweni sasa. Mbweni kuna mwamba chini, kama changarawe flani. Kwa hiyo ardhi hainyonyi maji kwa haraka ndio maana kila siku mafuriko hayaishi.
 
Kama ndo hiv basi Dar yote itapotea baada ya miaka 20...watu wa makongo juu labda ndo watasurvive..
Dar yote haiwezi kupotea, ila mito ndio inazidi kutanuka. Embu ona mto Segerea. Pita kule seminary. Wakati huo nakaa Tabata ule mto ulikuwa ni mwembamba ungeweza kuuvuka hata kwa kuruka. Sasa hivi mto umetanuka hata daraja 'huwezi kujenga tena'. Wakati wa masika Segerea na Staki shari huwa 'nchi mbili tofauti'.
 
Km 45 si mchezo,kuna siku nilikuwa naenda huko kufanya utalii,kanyaga sn mafuta alafu barabara nyeupe ingawa ukipita mjimwema Kwa mbele Tu hapo lami inaisha unakula vumbi .Baada ya kutembea sn Nikafika kijijini fulani nikaumiza hapa wapi nikaambiwa hapa kimbij,nikauliza tena buyuni ni karibu nikajibiwa bado sn[emoji3]..Nikaishia hapo hapo kimbiji nikala ugali mgahawani na kupiga misele kadhaa nikarudi

Siku nyingine nilirudi tena rasmi.Ni pazuri Kwa uwekezaji wa baadae.Hata mbagala zamani kulikuwa shamba na Ile kambi ya jeshi ilikuwa mwisho wa mji lkn Leo ipo katikati mji umefika Hadi chamazi huko
Yap,kama una mbumba unakinunua halafu unasikilizia tu
 
Dar yote haiwezi kupotea, ila mito ndio inazidi kutanuka. Embu ona mto Segerea. Pita kule seminary. Wakati huo nakaa Tabata ule mto ulikuwa ni mwembamba ungeweza kuuvuka hata kwa kuruka. Sasa hivi mto umetanuka hata daraja 'huwezi kujenga tena'. Wakati wa masika Segerea na Staki shari huwa 'nchi mbili tofauti'.
Kimsingi tutunze mazingira...

Haya yote yanatokea kwa sababu ya uharibifu wa mazingira
 
Dar yote haiwezi kupotea, ila mito ndio inazidi kutanuka. Embu ona mto Segerea. Pita kule seminary. Wakati huo nakaa Tabata ule mto ulikuwa ni mwembamba ungeweza kuuvuka hata kwa kuruka. Sasa hivi mto umetanuka hata daraja 'huwezi kujenga tena'. Wakati wa masika Segerea na Staki shari huwa 'nchi mbili tofauti'.
Daraja litajengwa, inashindikana vipi?
 
Dar yote haiwezi kupotea, ila mito ndio inazidi kutanuka. Embu ona mto Segerea. Pita kule seminary. Wakati huo nakaa Tabata ule mto ulikuwa ni mwembamba ungeweza kuuvuka hata kwa kuruka. Sasa hivi mto umetanuka hata daraja 'huwezi kujenga tena'. Wakati wa masika Segerea na Staki shari huwa 'nchi mbili tofauti'.
Kweli mito inatanuka sana!!!!Kuna mto upo kati ya msewe na chuo kikuuu zamani haukuwa hivi ulivyo kipindi Niko ndogo nasoma
 
Back
Top Bottom