Plot4Sale Viwanja vya bei rahisi Kigamboni karibu na bahari

Plot4Sale Viwanja vya bei rahisi Kigamboni karibu na bahari

Huyu fala kumbe yuko Njombe huko [emoji23][emoji23][emoji23] wanamwita Chawa Mwandamizi wa Sa-1OO
Mtu mfupi mweusi wa njombe...

Anaonaga njombe ni Switzerland kumbe ni tandale iliyochangamka...

Anachukia kanda ya ziwa..alitumbuliwa vyeti feki so hampendi magufuli...mtu aliyejifia kwa amani[emoji23]

Na sasa ni official chawa wa Mama ..
 
Mtu mfupi mweusi wa njombe...

Anaonaga njombe ni Switzerland kumbe ni tandale iliyochangamka...

Anachukia kanda ya ziwa..alitumbuliwa vyeti feki so hampendi magufuli...mtu aliyejifia kwa amani[emoji23]

Na sasa ni official chawa wa Mama ..
Hahahahah jamaa ana chuki sana na Magufuli kumbe ni cheti feki United 😂😂😂!!!
Yani anasifia kila jambo linalomuhusu sa1OO kajivika uchawa. Kifara toka Ludewa kinajitutumua sana humu
 
Hahahahah jamaa ana chuki sana na Magufuli kumbe ni cheti feki United [emoji23][emoji23][emoji23]!!!
Yani anasifia kila jambo linalomuhusu sa1OO kajivika uchawa. Kifara toka Ludewa kinajitutumua sana humu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...

Vip kiwanja huchukui mkuu
 
Kuto
Bahati nzr nafahamika sana hapa jf...ukitapeliwa tena nianzishie uzi..

Wew piga simu tu 0620406081 ...ukiona miyeyusho ndo ukate tamaa..


Usikate tamaa haraka hivyo..
Kutoka Ferry hadi hapa Buyuni ni muda gani? Ni umbali gani?
 
Sisi viwanja vyetu ni mradi...na tuna database ya viwanja vyote vilivyouzwa...

Ramani pia zipo na tumepima viwanja wenyew..
Sasa mtu akimuuzia mwingine hiyo itakuwa ajabu kwa muuzaji na aliyeuziwaView attachment 2286798
Kupima viwanja siyo issue, si ni kuja na yale mamashine tu?

Mmewalipa pesa zao wanakijiji wenye mashamba yao? Je hiyo ramani imeshaingizwa wizara ya ardhi? Kuna mengi watu hawajui kwenye hizi biashara za real estate.

Yule jamaa Gombo hapo Puna alipima viwanja bila kumalizana na wenye mashamba yao kilinuka siku moja.

Shida ya hizi biashara hao mabosi wenu wanaomiliki hizi kampuni ni full magumashi na ndio wanaonufaika nyinyi mnatumika tu hupati lolote la maana.
 
Kupima viwanja siyo issue, si ni kuja na yale mamashine tu?

Mmewalipa pesa zao wanakijiji wenye mashamba yao? Je hiyo ramani imeshaingizwa wizara ya ardhi? Kuna mengi watu hawajui kwenye hizi biashara za real estate.

Yule jamaa Gombo hapo Puna alipima viwanja bila kumalizana na wenye mashamba yao kilinuka siku moja.

Shida ya hizi biashara hao mabosi wenu wanaomiliki hizi kampuni ni full magumashi na ndio wanaonufaika nyinyi mnatumika tu hupati lolote la maana.
Nitaweka survey plan hapa muda si mrefu
 
Km 45 si mchezo,kuna siku nilikuwa naenda huko kufanya utalii,kanyaga sn mafuta alafu barabara nyeupe ingawa ukipita mjimwema Kwa mbele Tu hapo lami inaisha unakula vumbi .Baada ya kutembea sn Nikafika kijiji fulani nikauliza hapa wapi nikaambiwa hapa kimbij,nikauliza tena buyuni ni karibu nikajibiwa bado sn[emoji3]..Nikaishia hapo hapo kimbiji nikala ugali mgahawani na kupiga misele kadhaa nikarudi

Siku nyingine nilirudi tena rasmi Buyuni.Ni pazuri Kwa uwekezaji wa baadae.Hata mbagala zamani kulikuwa shamba na Ile kambi ya jeshi ilikuwa mwisho wa mji lkn Leo ipo katikati mji umefika Hadi chamazi huko
Mbagala iko katikati ya mji kumbe , Sawa.
 
Back
Top Bottom