Plot4Sale Viwanja vya bei rahisi Kigamboni karibu na bahari

Plot4Sale Viwanja vya bei rahisi Kigamboni karibu na bahari

Aisee wadau...kuna viwanja vimepimwa, viko tambarare karibu na bahari maeneo ya Buyuni centre kigamboni..
Viwanja vipo kuanzia 420sqm hadi 700sqm na bei ni 2,000,000tsh hadi 2,500,000tsh...

Nicheck kupitia number hii 0620406081.View attachment 2286299View attachment 2286300View attachment 2286301
Maeneo au viwanja vya karibu na Bahari ni hatari sana kwa kuishi. Haya ni maeneo ya kuweka sehemu za starehe au burudani tu, ambapo watu huja kwa muda tu na kuondoka. Majanga makubwa hutokea sehemu hizo. Vimbunga na mambo ya kitamaduni. Achana kabisa na plot za hivi kama lengo lako ni kuishi. Utakuja kushukuru baada ya miaka saba kuanzia leo
 
Maeneo au viwanja vya karibu na Bahari ni hatari sana kwa kuishi. Haya ni maeneo ya kuweka sehemu za starehe au burudani tu, ambapo watu huja kwa muda tu na kuondoka. Majanga makubwa hutokea sehemu hizo. Vimbunga na mambo ya kitamaduni. Achana kabisa na plot za hivi kama lengo lako ni kuishi. Utakuja kushukuru baada ya miaka saba kuanzia leo
Mbona watu masaki, oysterbay, mbezi beach hadi ununio wanaishi vzr tu..
 
Kupima viwanja siyo issue, si ni kuja na yale mamashine tu?

Mmewalipa pesa zao wanakijiji wenye mashamba yao? Je hiyo ramani imeshaingizwa wizara ya ardhi? Kuna mengi watu hawajui kwenye hizi biashara za real estate.

Yule jamaa Gombo hapo Puna alipima viwanja bila kumalizana na wenye mashamba yao kilinuka siku moja.

Shida ya hizi biashara hao mabosi wenu wanaomiliki hizi kampuni ni full magumashi na ndio wanaonufaika nyinyi mnatumika tu hupati lolote la maana.
Kwa mara ya kwanza nalike post ya Matola
 
The how part, the methodology is a trade secret. We kula findings tu...
So far, ramani yote ya Dar 'iko kwenye kiganja changu'!
Nimefanya kazi ya sales kwa mda mrefu Dar. Nazijua kona zote za jiji!
Ulichofanya hapa ni kujisifu Tu lkn haujajibu swali kuhusu kigamboni kuwa na mafuriko

Kabla ya kuongelea miaka 20 ijayo ya kuzama kigamboni na kaji ya mafuriko,Maeneo yaliyojengeka tangu miaka ya 80 km Geza ulole yaliwahi lini kukumbwa na mafuriko ?
 
Mnaojenga Kigamboni, miaka ishiri ijayo mtalia.
Kigamboni ni tambarare, ardhi ikisha jaa nyumba, maji yakashindwa kuzama ardhini, sasa dhahama ya mafuriko ndio itawakumba.
Fuateni agizo la waziri wa ardhi. Safety ya Kigamboni iko kwenye kumilikisha wakazi viwanja vya low density.
Pia kwa sasa wizara iangalie uwezekano wa kupiga marufuku nyumba za Dar kuwekewa paving blocks.
Paving blocks zinablock maji ya mvua yasizame ardhini hivyo kusababisha mafuriko ya mara kwa mara Dar.
Kama mtu anaweka paving, basi asiweke eneo linalozidi 30sq meter kwa ajili ya maegesho ya gari. Eneo linalobaki lipandwe nyasi.
Wewe nadhani unaweza kuomba serikali ipige marufuku watu kula chakula kwani wanachafua vyombo! Suluhisho la tatizo unalosema ni drainage system zilizojengwa kwa utaalam. Tanzania drainage systems zinaonekana kama jambo la ziada na lisilo na umuhimu ndiyo maana.
 
Back
Top Bottom