Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Mkuu siko njema ningechukua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...
Vip kiwanja huchukui mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu siko njema ningechukua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]...
Vip kiwanja huchukui mkuu
Mbona hiyo namba jina halitokei Instanbul?Bahati nzr nafahamika sana hapa jf...ukitapeliwa tena nianzishie uzi..
Wew piga simu tu 0620406081 ...ukiona miyeyusho ndo ukate tamaa..
Usikate tamaa haraka hivyo..
Badili tabia uwe IntrovertMkuu siko njema ningechukua
Sasa nikiwa introvert ndio ntanunua Kigamboni au😂Badili tabia uwe Introvert
Ndio utakuwa vizuri.... afu utanunua Kiwanja Kigamboni... hata kwa kutapeliwaSasa nikiwa introvert ndio ntanunua Kigamboni au😂
Sio vizuri kujisifia mtandaoni kuwa una hela kwahio busara huwa zinatumika zaidiAu unaniangusha...maextrovet wana hela muda wote
🤣🤣🤣Duuh,hukawii kukuta kibao cha unaingia Rufii
The how part, the methodology is a trade secret. We kula findings tu...Huu utafiti umeufanyia wapi mkuu? Na lini?
Sehemu yeyote yenye ya mchanga ni ngumu sn kuwa na mafuriko maana maji yanazama chini mojakwa moja mvua inaponyesha. Ningekuelewa point yako km ardhi ya kigamboni na eneo la wilaya ya mkuranga ingekuwa ya mfinyanzi maana maji hayaingii chini( hutuama baada ya mvua kunyesha)
Kuna kitu labda unatakiwa ujue;kigamboni ni moja Kati ya miji mikongwe dsm.hata Baba wa taifa alishawahi kukimbizwa kigamboni kujificha alipotaka kupinduliwa. Enzi hizo..
Yaani to make the story short namaanisha hivi;kingamboni zipo shemu za uswahilini km keko nyingi Tu,achana na miji mipya ya kisasa iliyopangiwa km kibada.Sehemu za uswahilini Kama Tungi haizjawahi kuwa na mafuriko miaka na miaka (ingawa madimbwi yanakuwepo baada ya mvua maana ni sehemu isiyopagiliwa haina mitaro)..Kama upo ktk utafiti bado maeneo Tungi hadi ferry na mikadi beach na Geza ulole ambayo yameshajaa tangu miaka ya 80s na almost ni km slum yafanye hayo kuwa benchmark yako
Nipe connection mkuu🤭Pia Kuna nyumba ya ghorofa tatu sehemu inauzwa mil 7
Ifike sehemu muwe mnaheshima 😆😆😆😆
1000sqrm pesa ngapi?Sio mbali na bahari..kwa hiyo kuna upepoView attachment 2286334
FreshiBasi utanicheck tuongee
Kuna dei moja mwaka 2016 jamaa yangu aliuziwa kiwanja huko kigamboni ila alipewa ramani tu akalipia, siku moja akaniambia twende tukaone kiwanja, nlikuwa na gx110 tuliweka lita40 kwenda na kurudi Kimanzichana tuliiacha mbaali sana, nikamwambia "Oi mwana hapa tunatoboa KIBITI 🤣🤣🤣🤣"Duuh,hukawii kukuta kibao cha unaingia Rufii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] lakin huku buyuni mbona kuna watu kabisa...Kuna dei moja mwaka 2016 jamaa yangu aliuziwa kiwanja huko kigamboni ila alipewa ramani tu akalipia, siku moja akaniambia twende tukaone kiwanja, nlikuwa na gx110 tuliweka lita40 kwenda na kurudi Kimanzichana tuliiacha mbaali sana, nikamwambia "Oi mwana hapa tunatoboa KIBITI [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]"
Tukafika kwenye kiwanja MAFIA mnaiona palee