viwanja vya Dodoma & Arusha vijengwe kwa AFCON

viwanja vya Dodoma & Arusha vijengwe kwa AFCON

Yesu Anakuja

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
12,675
Reaction score
25,924
Naishauri serikali ijenge viwanja hivi haraka iwezekanavyo, kwa ajili ya kugombania michezo ya AFCON 2027. Kenya wanajenga viwanja vyao vizuri sana na kuna uwezekano michezo mingi ikachezwa kule kama hatutachangamka. Dodoma wajenge uwanja hata wa watu 30,000 tu, na Arusha 30,000. tukimaliza hivyo tutakua na viwanja bora 4, yaani;

1. Kwa Mkapa capacity ya 60,000

2. Uhuru capacity?

3. Dodoma capacity 30,000

4. Arusha Capacity 30,000 plus advantage ya utalii.

Mungu ibariki Tanzania.
 
Naishauri serikali ijenge viwanja hivi haraka iwezekanavyo, kwa ajili ya kugombania michezo ya AFCON 2027. Kenya wanajenga viwanja vyao vizuri sana na kuna uwezekano michezo mingi ikachezwa kule kama hatutachangamka. Dodoma wajenge uwanja hata wa watu 30,000 tu, na Arusha 30,000. tukimaliza hivyo tutakua na viwanja bora 4, yaani;

1. Kwa Mkapa capacity ya 60,000

2. Uhuru capacity?

3. Dodoma capacity 30,000

4. Arusha Capacity 30,000 plus advantage ya utalii.

Mungu ibariki Tanzania.
Ccm kirumba inapotezewa sana but it’s one of the old and best stedium.
 
Ccm kirumba inapotezewa sana but it’s one of the old and best stedium.
yaani pale kirumba ni kuongezea tu maboresho, hata hizo bilion 30 wameboreshea kwa mkapa ilikuwa inatosha.
 
Kabla ya kushauri uwe unafuatilia mkuu,

Serikali ilishasema, kwa Tz AFCON itachezwa Arusha, Zenji na Dar,

Na uwanja wa Amaan ushabomolewa upo unajengwa upya,
Dodoma na Arusha viwanja vipya vya watu 30k vinajengwa, na hio alisema Samia toka Simba Day na juzi akakazia
 
Binafsi sishauri Dodoma ujengwe uwanja wa MASHABIKI/ watazamaji.Elfu therathini.
30000 tu ,...

ILITAKIWA wajengw Angalau uwanja wa watu Elfu 60,000.
 
uwanja wa CCM kirumba nadhani ni chaguo zuri kuuboresha
 
Binafsi sishauri Dodoma ujengwe uwanja wa MASHABIKI/ watazamaji.Elfu therathini.
30000 tu ,...

ILITAKIWA wajengw Angalau uwanja wa watu Elfu 60,000.
Dodoma Jamhuri tu huwa hawaijazi, kuwapelekea uwanja wa 60k ni bora hizo hela nyingine ukajenge uwanja Mwanza au Mbeya
 
Wewe ni naibu waziri wa michezo?! Maana alileta hilo ombi ikulu kwa mheshimiwa Rais miezi michache iliyopita. Kwa miaka inavyokimbia sidhani kama jambo litakamilika kwa haraka kama inavyotarajiwa 🤔
 
Back
Top Bottom