Plot4Sale Viwanja vya makazi kwa bei nafuu

Plot4Sale Viwanja vya makazi kwa bei nafuu

Uko sahihi, Kwa mujibu wa sheria ya Mipango miji ya mwaka 2018, hatuna kiwanja cha Square meter 200. Hapo kinachozalishwa ni Planned Squatter,

Wazo lao la Mradi ni zuri lakini wajitahidi kuzingatia Sheria na Miongozo ya Upangaji Miji.
Mkuu karibu kutembelea mradi wetu wa Forodhani
Huwezi kununua sqm 200 ktk block ya sqm 400 au sqm800


Kila mtaa una viwanja vyake na location yake

Karibu sana

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Hawa ni matapeli
Mkuu kitu kama akijakupendeza wewe ni vizuri kuacha tu

Mradi wetu unatambulika na serikali na katika vijij tunaonzisha miradi hii huwa ni chanzo cha mapato ktk serikali za kijiji wanaotoa HATI na pia ni chanzo cha mapato ktk halmshauri ktk utaratibu wa hatimiliki

Mradi wetu wa OBEY VILLAGE Phase one 2019 tumekata ekari 900 za makazi
Muda huu Watanzania wanazaliana na huduma muhimu serikali imewasogezea ukizingatia tunatenga maeneo ya ibada, michezo, masoko na eneo la Halmashauri kuwaletea miradi wananchi wake
Huo UTAPELI wewe umeuona wapi mkuu??
Screenshot_20230527-112138_Instagram.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Kwa mtu asiyejua vipimo akiambiwa ft 40x50 atajua kiwanja ni kikubwa kumbe ni kidogo hata nyumba ya maana haiingii
Mkuu unambiwa vipi? Wakati na wewe upo saiti na unaona kwa macho yako mawili?

Kama ni kidogo unachukua kikubwa chake or unarudi tu nyumbani [emoji5]

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu karibu kutembelea mradi wetu wa Forodhani
Huwezi kununua sqm 200 ktk block ya sqm 400 au sqm800


Kila mtaa una viwanja vyake na location yake

Karibu sana

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Hoja yangu ni Kwamba kwa mujibu wa Sheria ya Mipango Miji ya mwaka 2018, Hakuna kiwanja cha Square Meter 200, Hivyo viwanja inabidi uvikute kwenye Makazi holela yasiyopangwa, Huwezi panga eneo halafu ukaweka kiwanja cha Square meter 200.

Sina shida na Lengo zima la Mradi, na mimi sikumoja nitakuja kuwatembelea kwa ajili ya kujifunza na ikibidi kujitwalia kiwanja Jirani na Jiji la Dar es Salaam.
 
WAJANJA WOTE WEEKEND TUNAZITUMIA KUTEMBELEA NA KUWEKEZA KATIKA ARDHI

Kipindi cha MVUA [emoji2414][emoji2414]
Ndio Kipindi KIZURI kukagua MAENEO YA MAKAZI

SIE TUPO SAITI MAPEMA SANAAA

VIWANJA VYA MAKAZI KWA BEI NAFUU
FORODHANI CITY KISEMVULE
Screenshot_20230528-095200_Instagram.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
0754-553380
FORODHANI SMART CITY


inakuletea OFFER Kabambe ya viwanja vya makazi kwa bei nafuu, Wahi mapema,
BEI SASA NI MILIONI MOJA NA LAKI TATU (1300000) TU . Ni Viwanja vizuri sana VIMEPIMWA,
UKUBWA kwa kila kiwanja ni Futi 50 X 40 mil 1.3, futi 80 X 50 (SQM 400)milion 2.6, futi 100 X 80 (SQM 800)milion 5.2.
Viwanja vipo kisemvule mbele kidogo ya mbagala.

Vimezungukwa na huduma muhimu jirani, Umeme upo jirani, Maji yapo, Eneo la
Shule limetengwa, Eneo la Stendi limetengwa Eneo la kituo cha afya limetengwa, Eneo la Soko n.k Mji ni wa kisasa zaidi

USAFIRI NI UHAKIKA , kuna daladala za kutoka Gerezani hadi Kisemvule, Tandika hadi Kisemvule, Temeke hadi Kisemvule, kivukoni hadi kisemvule n.k

FIKA KISEMVULE piga namba.0754-553380 utapelekwa mpaka kwenye mradi wetu bure. Njoo ulipie kiwanja chako, KWA AWAMU TUNAPOKEA .

USAFIRI NI BUREEE NA KUNUNUA HADI URIDHIKE MWENYEWE.
MAWASILIANO..[emoji116] 0754-553380

AU TEMBELEA PAGE YETU
Viwanja_pwani
Viwanja_pwani
Viwanja_pwani
forodhani_smart_citytz_1709468807395848.jpg
 
STUKA UJANJA NI ARDHI

KAMILISHA NDOTO YAKO

FORODHANI SMART CITY

UNAMILIKI ARDHI YAKO KWA BEI NAFUU

TUWASILIANE 0754553380
forodhani_smart_citytz_1709468807396514.jpg
 
Bei za viwanja 👇
LIPIA TARATIBU
Mawasiliano 0754553380

👉 2,600,000/ = futi 80×50 (mita 24/15) Sqm 400.
👉5, 200,000/ = futi 100×80 (mita 30/24) Sqm 800.
👉7, 800,000/= futi 150 X 80 (mita 45/24) Sqm 1200.
👉10, 400,000/= Futi 200 X 80 (mita 60/24) Sqm 1600
 

Attachments

  • d64f0946ca2f4fb6970c2775d3609746.jpg
    d64f0946ca2f4fb6970c2775d3609746.jpg
    57.7 KB · Views: 4
VIWANJA BADO VIPO TUWASILIANE
0754553380
 

Attachments

  • 2da1a9b092884d678135a685acfd0256.jpg
    2da1a9b092884d678135a685acfd0256.jpg
    45.7 KB · Views: 3
  • 3206d9fe70ea4ad6891e1026e2aa34ae.jpg
    3206d9fe70ea4ad6891e1026e2aa34ae.jpg
    59.7 KB · Views: 5
0754-553380
FORODHANI SMART CITY


inakuletea OFFER Kabambe ya viwanja vya makazi kwa bei nafuu, Wahi mapema,
BEI SASA NI MILIONI MOJA NA LAKI TATU (1300000) TU . Ni Viwanja vizuri sana VIMEPIMWA,
UKUBWA kwa kila kiwanja ni Futi 50 X 40 mil 1.3, futi 80 X 50 (SQM 400)milion 2.6, futi 100 X 80 (SQM 800)milion 5.2.
Viwanja vipo kisemvule mbele kidogo ya mbagala.

Vimezungukwa na huduma muhimu jirani, Umeme upo jirani, Maji yapo, Eneo la
Shule limetengwa, Eneo la Stendi limetengwa Eneo la kituo cha afya limetengwa, Eneo la Soko n.k Mji ni wa kisasa zaidi

USAFIRI NI UHAKIKA , kuna daladala za kutoka Gerezani hadi Kisemvule, Tandika hadi Kisemvule, Temeke hadi Kisemvule, kivukoni hadi kisemvule n.k

FIKA KISEMVULE piga namba.0754-553380 utapelekwa mpaka kwenye mradi wetu bure. Njoo ulipie kiwanja chako, KWA AWAMU TUNAPOKEA .

USAFIRI NI BUREEE NA KUNUNUA HADI URIDHIKE MWENYEWE.
MAWASILIANO..[emoji116] 0754-553380

AU TEMBELEA PAGE YETU
Viwanja_pwani
Viwanja_pwani
Viwanja_pwaniView attachment 2923077
Sawa sawa tunavihitaji ila pesa hakuna
 
Eneo la makazi lenye ukubwa wa futi 50 × 40 ni milion 1 na laki tatu za Kitanzania

Unalipia nusu yake yanii 650000/= unapata mkataba wa malipo ya awali after unaweza kulipia Pole Pole 650000/= iliyobaki ndani ya miezi 4

Na ukichuka double ya 50 × 40 mara mbili inakuwa ni 2600000/= utalipia asilimia 50% yake pia then unaendelea Taratibu ndani ya miezi 4

Unaweza kunipigia au kufika offisni kwetu kisemvule kwa maelezo zaidi KUPELEKWA SAITI NI BURE kwa usafiri wa kampuni

Karibu SANA 0754553380

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
mkuu ivi kuna viwanja chini ya sqm 400 vinaweza pimwa kweli yaani foot 40 kwa 50 ni sqm 180 yaan 15M kwa 12M sheria inasemaje kupima viwanja vya sqm 180
 
Hoja yangu ni Kwamba kwa mujibu wa Sheria ya Mipango Miji ya mwaka 2018, Hakuna kiwanja cha Square Meter 200, Hivyo viwanja inabidi uvikute kwenye Makazi holela yasiyopangwa, Huwezi panga eneo halafu ukaweka kiwanja cha Square meter 200.

Sina shida na Lengo zima la Mradi, na mimi sikumoja nitakuja kuwatembelea kwa ajili ya kujifunza na ikibidi kujitwalia kiwanja Jirani na Jiji la Dar es Salaam.
ukiona mradi una foot 40 kwa 50 ambazo ni sqm 180 yaan chini ua 400 kuna mashaka apo ivyo viwanja haviwezi kupimwa
 
Back
Top Bottom