Viwanja vya maonyesho ya biashara sabasaba vya Mwalimu Nyerere, visiwekewe sanamu la Magufuli, ni kuchanganya Magufuli na Nyerere

Viwanja vya maonyesho ya biashara sabasaba vya Mwalimu Nyerere, visiwekewe sanamu la Magufuli, ni kuchanganya Magufuli na Nyerere

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Viwanja vinaitwa vya mwalimu Nyerere, kwa nini unaweka sanamu Magufuli. Magufuli atafutiwe viwanja vingine huko Nanenane Mbeya au Dodoma.

Hivyo viwanja vya sabasaba vibaki kwa jina la Kambarage.

Viwanja hivyo ni vya wafanyabiashara, hawa watu wameumizwa sana na Magufuli , sanamu hili kuwekwa pale ni kuwakebehi na kuwaumiza. Huyu mtu kaua biashara nyingi, hoteli zikageuzwa hostel, wafanyabuashara wakafungwa jela, wakakimbia nchi,wakafunga biashara!

Hapana, hilo sanamu lipelekwe hata Burigi hifadhini au uwanja was ndege chatu au sumbawanga,katavi au kigoma ambako hakuna masanamu ya viongozi
 
Ila uzuri ni kua hio kitu haijengwi mkuu
Mpaka sasa hivi hakuna sehemu serikali imesema itajenga hio kitu
 
Viwanja vinaitwa vya mwalimu Nyerere, kwa nini unaweka sanamu LA JPM? JPM atafutiwe viwanja vingine huko Nanenane Mbeya au Dodoma. Hivyo viwanja vya sabasaba vibaki kwa jina la Kambarage.

Viwanja hivyo ni vya wafanyabiashara, hawa watu wameumizwa sana na JPM, sanamu hili kuwekwa pale ni kuwakebehi na kuwaumiza. Huyu mtu kaua biashara nyingi, hoteli zikageuzwa hostel, wafanyabuashara wakafungwa jela, wakakimbia nchi,wakafunga biashara!

Hapana, hilo sanamu lipelekwe hata Burigi hifadhini au uwanja was ndege chatu au sumbawanga,katavi au kigoma ambako hakuna masanamu ya viongozi
2016 TANTRADE waliwakilisha mpango mzuri sana wa kuboresha viwanja vya Sabasaba lakini mwendazake aliwakatalia tena kwa ukali akawambia wajengee viwanda hizo hela za maboresho.

Sasa amekufa naona wanataka kurejesha mpango wa maboresho ila waweke sanamu la aliyepinga hayo maboresho. Sijui ni kujipendekeza au ni nn. Akili zetu tunazijua wenyewe.
 
Viwanja vinaitwa vya mwalimu Nyerere, kwa nini unaweka sanamu LA JPM? JPM atafutiwe viwanja vingine huko Nanenane Mbeya au Dodoma. Hivyo viwanja vya sabasaba vibaki kwa jina la Kambarage.

Viwanja hivyo ni vya wafanyabiashara, hawa watu wameumizwa sana na JPM, sanamu hili kuwekwa pale ni kuwakebehi na kuwaumiza. Huyu mtu kaua biashara nyingi, hoteli zikageuzwa hostel, wafanyabuashara wakafungwa jela, wakakimbia nchi,wakafunga biashara!

Hapana, hilo sanamu lipelekwe hata Burigi hifadhini au uwanja was ndege chatu au sumbawanga,katavi au kigoma ambako hakuna masanamu ya viongozi
Napendekeza liwekwe pale Mirembe kama kumbukumbu maalum sana!
 
Viwanja vinaitwa vya mwalimu Nyerere, kwa nini unaweka sanamu LA JPM? JPM atafutiwe viwanja vingine huko Nanenane Mbeya au Dodoma. Hivyo viwanja vya sabasaba vibaki kwa jina la Kambarage. Viwanja hivyo ni vya wafanyabiashara, hawa watu wameumizwa sana na JPM, sanamu hili kuwekwa pale ni kuwakebehi na kuwaumiza. Huyu mtu kaua biashara nyingi, hoteli zikageuzwa hostel, wafanyabuashara wakafungwa jela, wakakimbia nchi,wakafunga biashara! Hapana, hilo sanamu lipelekwe hata Burigi hifadhini au uwanja was ndege chatu au sumbawanga,katavi au kigoma ambako hakuna masanamu ya viongozi
Viwanja vinaitwa vya mwalimu Nyerere, kwa nini unaweka sanamu LA JPM? JPM atafutiwe viwanja vingine huko Nanenane Mbeya au Dodoma. Hivyo viwanja vya sabasaba vibaki kwa jina la Kambarage.

Viwanja hivyo ni vya wafanyabiashara, hawa watu wameumizwa sana na JPM, sanamu hili kuwekwa pale ni kuwakebehi na kuwaumiza. Huyu mtu kaua biashara nyingi, hoteli zikageuzwa hostel, wafanyabuashara wakafungwa jela, wakakimbia nchi,wakafunga biashara!

Hapana, hilo sanamu lipelekwe hata Burigi hifadhini au uwanja was ndege chatu au sumbawanga,katavi au kigoma ambako hakuna masanamu ya viongozi
Liwekwe chato Nje ya kaburi lake
 
Viwanja vinaitwa vya mwalimu Nyerere, kwa nini unaweka sanamu LA JPM? JPM atafutiwe viwanja vingine huko Nanenane Mbeya au Dodoma. Hivyo viwanja vya sabasaba vibaki kwa jina la Kambarage.

Viwanja hivyo ni vya wafanyabiashara, hawa watu wameumizwa sana na JPM, sanamu hili kuwekwa pale ni kuwakebehi na kuwaumiza. Huyu mtu kaua biashara nyingi, hoteli zikageuzwa hostel, wafanyabuashara wakafungwa jela, wakakimbia nchi,wakafunga biashara!

Hapana, hilo sanamu lipelekwe hata Burigi hifadhini au uwanja was ndege chatu au sumbawanga,katavi au kigoma ambako hakuna masanamu ya viongozi
Yaani hilo sanamu lazima niliibe
 
Viwanja vinaitwa vya mwalimu Nyerere, kwa nini unaweka sanamu LA JPM? JPM atafutiwe viwanja vingine huko Nanenane Mbeya au Dodoma. Hivyo viwanja vya sabasaba vibaki kwa jina la Kambarage.

Viwanja hivyo ni vya wafanyabiashara, hawa watu wameumizwa sana na JPM, sanamu hili kuwekwa pale ni kuwakebehi na kuwaumiza. Huyu mtu kaua biashara nyingi, hoteli zikageuzwa hostel, wafanyabuashara wakafungwa jela, wakakimbia nchi,wakafunga biashara!

Hapana, hilo sanamu lipelekwe hata Burigi hifadhini au uwanja was ndege chatu au sumbawanga,katavi au kigoma ambako hakuna masanamu ya viongozi
WAZO zuri mkuu ila kabla ya yote,TUNATAKA KATIBA MPYA
 
Masanamu yote ya dhalimu mwendazake yakawekwe kwenye kaburi lake kule chato.

Viwanja vinaitwa vya mwalimu Nyerere, kwa nini unaweka sanamu LA JPM? JPM atafutiwe viwanja vingine huko Nanenane Mbeya au Dodoma. Hivyo viwanja vya sabasaba vibaki kwa jina la Kambarage.

Viwanja hivyo ni vya wafanyabiashara, hawa watu wameumizwa sana na JPM, sanamu hili kuwekwa pale ni kuwakebehi na kuwaumiza. Huyu mtu kaua biashara nyingi, hoteli zikageuzwa hostel, wafanyabuashara wakafungwa jela, wakakimbia nchi,wakafunga biashara!

Hapana, hilo sanamu lipelekwe hata Burigi hifadhini au uwanja was ndege chatu au sumbawanga,katavi au kigoma ambako hakuna masanamu ya viongozi
 
Back
Top Bottom