Viwanja vya ndege vyalipuliwa huko Ukraine

Viwanja vya ndege vyalipuliwa huko Ukraine

Hivi broo, kama mwizi anafukuzwa huko na kwa bahati mbaya au nzuri akachukua uelekeo wa nyumbani kwako lakini akadakwa kabla hajaweza kuingia hapo kwako, wewe utahusishwaje na

Ulaya inaisaidia Ukraine Silaha kama ambavyo Iran na Korea zinavyoisaida Urusi Silaha. Vita inapiganywa baina ya yan Ukrainbe na Urusi, ingawa Urusi sasa hivi pia inasaidiwa na wapiganaji kutoka India


Putin ni mtu aliyekaa madarakani kwa miaka zaidi ya 25 akiwa na mawazo ya Cxold war siku zote akitegenmea USSR itarudi tena bvadala ya kuangalia maisha yaliyoko mbele ya dunia ya leo.ara anajaribi kuirudisha dunia katika Cold war
Ofcourse lengo ni greater russia ila kwa dunia ya sasa ni ngumu sana anachojaribu kiukweli
 
Makombora zaidi ya 20 yamepiga mji wa Lviv na Stryi na kulipuwa uwanja wa ndege za kivita na kulipua air defence Kambi za mafunzo , maghala ya silaha na visima vya mafuta kwa Sasa mji unawaka moto ili kuweza kuwachoma wanamgambo wa Ukraine walijificha kwenye mapango

[[emoji919] Telegram channel "Legitimate": It turns out that more than 20 missile strikes were carried out only in the city of Stryi in the Lviv region. It burns strongly, it can be seen for kilometers.
According to the data, the strikes were carried out:
1. for warehouses and hangars of fuel and lubricants.
2. For the airfield and air defense, which stands a little outside the city, protects an important transshipment base or some "workshops" for the production of "something".
3. For energy/gas infrastructure
4. There was a training center near the airfield. Over the past month, a lot of people have been brought in, taken away (perhaps there is a training center / training ground).
Locals report that there are a lot of ambulances in the city.]
Telegram channel "Legitimate": It turns out that more than 20 missile strikes were carried out only in the city of Stryi in the Lviv region. It burns strongly, it can be seen for kilometers.
According to the data, the strikes were carried out:
1. for warehouses and hangars of fuel and lubricants.
2. For the airfield and air defense, which stands a little outside the city, protects an important transshipment base or some "workshops" for the production of "something".
3. For energy/gas infrastructure
4. There was a training center near the airfield. Over the past month, a lot of people have been brought in, taken away (perhaps there is a training center / training ground).
Locals report that there are a lot of ambulances in the city.

Victor vicktop55, [3/24/24, 9:13 AM]
[Posted by victor]
[[emoji327] Video]
Hii habar yako inapatikana telegram tu[emoji16]...kuiona mpaka admin akuunge mamaeee

Nakukumbusha tu mwamba zele kashafanya yake huko ngalawa 2 zimeenda[emoji16]

 
Hii habar yako inapatikana telegram tu[emoji16]...kuiona mpaka admin akuunge mamaeee

Nakukumbusha tu mwamba zele kashafanya yake huko ngalawa 2 zimeenda[emoji16]

Vita ni kupigana.
HAKUNA kitu chenye thamani Kama Ardhi. Ukipiga meli yake anafidia kwa Mkoa mmoja. Ukiua Askari wake anateka Kata,
 
Back
Top Bottom