Viwanja vya ndege vyalipuliwa huko Ukraine

Hivi broo, kama mwizi anafukuzwa huko na kwa bahati mbaya au nzuri akachukua uelekeo wa nyumbani kwako lakini akadakwa kabla hajaweza kuingia hapo kwako, wewe utahusishwaje na

Ofcourse lengo ni greater russia ila kwa dunia ya sasa ni ngumu sana anachojaribu kiukweli
 
Hii habar yako inapatikana telegram tu[emoji16]...kuiona mpaka admin akuunge mamaeee

Nakukumbusha tu mwamba zele kashafanya yake huko ngalawa 2 zimeenda[emoji16]

 
Vita ni kupigana.
HAKUNA kitu chenye thamani Kama Ardhi. Ukipiga meli yake anafidia kwa Mkoa mmoja. Ukiua Askari wake anateka Kata,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…