asante kwa muongozoni wewe tu na hela yako utachagua uende havoc, 1245, samaki samaki, wavuvi kitambaa small planet au lubumbash kuna lango la jiji pia
kuulizia mpaka malipo?Viwanja vipo, utalipia tangazo?
Na kidimbwi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni wewe tu na hela yako utachagua uende havoc, 1245, samaki samaki, wavuvi kitambaa small planet au lubumbash kuna lango la jiji pia
Noma sana hakuna kiwanja haukijui hapa Dar viwanja vyote umeshafikani wewe tu na hela yako utachagua uende havoc, 1245, samaki samaki, wavuvi kitambaa small planet au lubumbash kuna lango la jiji pia
Ametangaza nini?Viwanja vipo, utalipia tangazo?
😂😂😂tuliaNoma sana hakuna kiwanja haukijui hapa Dar viwanja vyote umeshafika
nilisahau na gentlemen boadroomNa kidimbwi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
asante mkuuLubumbashi ni dampo, asiende
kuna tofauti ya hela na maokoto?una hela aka maokoto wew? sio unaombwa hela unadai umenyanyaswa kijinsia[emoji1]
usije Tabata, nimekushika mkono, utalikoga U.T.I ukilikosa gono 🤣wakuu
Nimekusanya nguvu kidogo nipo njiani kuja jiji la Chalamila
Huku Mbeya nimezoea kuburudika kwa bia na watoto wenye mizigo ya haja hapa mbeya pazuri yaani tunakesha amna kama popo full watoto mziki na bia unajistarehesha na pesa zako
Sasa nakuja huko, naombeni mnipe kiwanja kitakachonipa burudani zaidi ya hizi nilizoziacha Mbeya
hilo tu, kondom zipo mkuuu
usije Tabata, nimekushika mkono, utalikoga U.T.I ukilikosa gono 🤣
sasa huu ni ufujajiUna laki 8 ya kutumia masaa 5?