Franchesco1346
Member
- Jul 26, 2022
- 35
- 12
- Thread starter
-
- #21
Ndio lakini sisi Miradi yetu haipo huko Ambapo serikali ya Zanzibar ilipopewa maeneo yao.Uko Bagamoyo si ndio Serikal ya Mapinduz Zanzibar wana ardhi yao
Ndo ikiisha watalibeba au watawaachia wenye chogo!Uko Bagamoyo si ndio Serikal ya Mapinduz Zanzibar wana ardhi yao
GUYZ SELIKALI YA MAPINDUZI HAIMILIKI BAGAMOYO YOTE INAMILIKI MAKURUNGE TU NA NI ENEO TU SIO MAKURUNGE YOTENdo ikiisha watalibeba au watawaachia wenye chogo!
Bagamoyo Kuna utapeli mwingi Sana kesi za ardhi haijawai kuisha
Dah, Bei ya Moto true true is not ska
kaka usiogope bei iyoo unaweza kulipia Taratibu taratibu
Duh; hiyo logo yenu noma sana ikitazamwa kwa haraka.Asante kwa kuwasiliana na Bagamoyo Affordable Plots. Habari za wakati huu ndugu, sisi ni wauzaji wa viwanja vilivyopangwa na kupimwa kisheria, karibu upate kumiliki kiwanja/viwanja kwa bei nafuu sana.
Tuna miradi mizuri iliyopo maeneo ya kimkakati katika Bagamoyo yetu ya Bandari; Viwanja vyote vimepimwa, Kuna huduma zote za kijamii. Kampuni ina viwanja maeneo yafuatayo;
Tupigie +255742749886
- Kerege 16000/= per sqm
- Kitopeni 12000/= per sqm
- Mataya 8000/= per sqm
- Kingani Beach 15000/= per sqm
- Kaole Beach 13000/= per sqm
- Makurunge (Saadan road) 5000/= per sqm
- Kiwangwa 5000/= per sqmBei ni sawa na bure kulingana na ubora wa kiwanja unachokitaka. Siku za kwenda site ni Jumatatu mpaka Jumapili. Tafadhali tujulishe jinsi tunaweza kukusaidia. Karibu sana
Kuna nyumba mapinga shule inauzwa,mtaa uzaramoniMna viwanja Mapinga?
Ni mita 800 tu boss wangu 0742749886Mradi upo kilometer ngapi kutoka baharin apo kingai beach?