LadyRed
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 9,636
- 11,483
Ngoja apitishe akate kisimi afu ndo ataelewa hahahchagua moja hapo ndo utumie.. vinapatikana mlimani mall
![]()
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja apitishe akate kisimi afu ndo ataelewa hahahchagua moja hapo ndo utumie.. vinapatikana mlimani mall
![]()
Hongera,..hope pako vizuri, bora ukatae waxing kwa aibu ya mtu atakaekuhudumia saloon kuliko kukataa js bcz haina mwonekano mzuri, utakuwa hujitendei haki kuendelea kuishi na K Ina sura mbovuKuchunguliana sasaa na kuchekana maana mmm maumbile haya mengne tuna sura siju za mnyana gani na iwe na mapeeleee na imebabukaaa na jotooo ,mibano ya nguo za ndani ntathubutu sasaa mii kwenda kuzianika mwangani wanigeuzeegeuuzeeeee watakavyo kama chapati kweliii! na si hosp kwenye uzazi au opereshen?. Hata nikichomwa sindano ya nusu kaputi nikiamkaa mi naona aibu banaaa... Hii maana ya sehem za siri iko wapi? sasa naona mnakazana kuutwa kuiporomosha kiwango mnoo na kuwa public sector for every1. Nanyoa mwenyeweeee
Kweeeli mauti sasa imeingia mpk sufuriani kwa bibii.
Veet ni kwa ajili ya K??Creme ya Veet-Aloevera. Inapatikana kwenye maduka ya vipodozi
Iwe na sura nzr au mbaya ndio yangu ila kuianuka adharani ndio mbaya zaidi kuliko hii K tamu niliyonayoHongera,..hope pako vizuri, bora ukatae waxing kwa aibu ya mtu atakaekuhudumia saloon kuliko kukataa js bcz haina mwonekano mzuri, utakuwa hujitendei haki kuendelea kuishi na K Ina sura mbovu
Harafu baadae huo muwasho wa magic powder ukamsaidie Kaukuna?Tumia Magic Powder
HIZO MASHINE NDIO NINAZOTUMIA KUJINYOA MAVUZI UNAWEKA BETRI LAKO LA 2000/=TU UNATUMIA MIEZI 2chagua moja hapo ndo utumie.. vinapatikana mlimani mall
![]()
Hahahahha sitaki kutenda dhambi ya kukuvutia picha tehMmh hii hata kama mi ndo ningekuwa nalipwa siendi ng'oo
Hahaaaaa mna mambo nyie wa dada duuh, ujue nilikuwa sijui hii waxing inafanyikaje, sasa leo nimeangali youtube mmh mna mioyo aiseeeHahahahha sitaki kutenda dhambi ya kukuvutia picha teh
Aiseeeee hi dunia yaenda kuisha wazungu watuharibia wake zetuHeheheeee KikulachoChako kama unasuta.....kwakweli kupanuana kisa kwa bibi kuwe soft sio mpango. Umenena vyema.