usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] haa haaa atajuta kuzaliwa na kutaman afeeNgoja apitishe akate kisimi afu ndo ataelewa hahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] haa haaa atajuta kuzaliwa na kutaman afeeNgoja apitishe akate kisimi afu ndo ataelewa hahah
Dunia yaaangamia....mmh wadada wa siku hizi wana roho ngumu!, yani mimi ndio naweza funga macho kwa aibu badala yenu?!
#yesunjootu!
hii sayari imeshaisha!
Hahaha mtuwacheee tuuHahaaaaa mna mambo nyie wa dada duuh, ujue nilikuwa sijui hii waxing inafanyikaje, sasa leo nimeangali youtube mmh mna mioyo aiseee
inategemea kama ukiwa unafanya mapenzi kila siku hata mavuzi yanakua hayaotiHabari wakuu,
Tupeane uzoefu kuhusu vinyoleo bora kwa sehemu zetu za siri ambazo hazikati na kuacha madonda na hatimaye mapele.
Pia ambavyo viko vizuri kunyoa nywele zetu upande ule wa uwani bila matatizo huko huwa kunanipa shida sana.
Binafsi huwa natumia viwembe vya Gilette au Laser II zilizokaa kama T.
Haya bwana sanuwaneni tu huko wenyeweHahaha mtuwacheee tuu
Hahaa eti sanuwaneni tuHaya bwana sanuwaneni tu huko wenyewe
BTW za kanisani? najua hukosagi kwa church siku kama ya leo
Duh Pole leo kumbe hukwendaHahaa eti sanuwaneni tu
Leo nimeshindwa kwenda my kaka mwee
Ahsante mwayaDuh Pole leo kumbe hukwenda
Nilikuwa sijui waxing ni nini.
Mhh. Angalia hapa
Mpk kwenye puchuchuu?Creme ya Veet-Aloevera. Inapatikana kwenye maduka ya vipodozi
[emoji13] [emoji13]Asa huyo anaefanyiwa hivyo ni maiti au shoga?
[emoji13] [emoji13]Kuchunguliana sasaa na kuchekana maana mmm maumbile haya mengne tuna sura siju za mnyana gani na iwe na mapeeleee na imebabukaaa na jotooo ,mibano ya nguo za ndani ntathubutu sasaa mii kwenda kuzianika mwangani wanigeuzeegeuuzeeeee watakavyo kama chapati kweliii! na si hosp kwenye uzazi au opereshen?. Hata nikichomwa sindano ya nusu kaputi nikiamkaa mi naona aibu banaaa... Hii maana ya sehem za siri iko wapi? sasa naona mnakazana kuutwa kuiporomosha kiwango mnoo na kuwa public sector for every1. Nanyoa mwenyeweeee
Kweeeli mauti sasa imeingia mpk sufuriani kwa bibii.
ina madhara baadae, kwani unataka mavzi gani yasiote tena? mknd au km?natumia veet,ila kuna mtu aliniambia kuna kitu kinaitwa laser hair removal,eti hazioti tena,ni kweli au?