Viwembe au shaver nzuri za kunyoa nywele sehemu za siri

Hongera,..hope pako vizuri, bora ukatae waxing kwa aibu ya mtu atakaekuhudumia saloon kuliko kukataa js bcz haina mwonekano mzuri, utakuwa hujitendei haki kuendelea kuishi na K Ina sura mbovu
 
mbuzi na kuku nkupe uzoefu wangu kidogo juu ya waxing ukipenda haya,ukiona ngumu basii kata na Gillette mama
Inabidi u maintain usafi wa hali ya juu kwny K na mwili kwa ujumla, actually uwe unachukua kioo unajitizama maendeleo ya K yako,keep it dry na paka mafuta sometimes,I prefer Vaseline, treat any infection or itch right away, nk nk
Huko saloon utasanzua nguo ndo upate huduma hahahahha hapa KikulachoChako atanitoa mbiooo nirudi kwa mume anifanyie,ts painful mwanzoni but ngozi ikizoea inapungua, watatoa mbele, hapo kati na nyuma kwny mstari wa t**ko
Utafutwa/kujifuta with warm water,then vaa rudi home oga,huwa napaka Vaseline kdogo to care for the tender skin na kuvaa cotton underwear only
Well kazi ni kwako,but ts one of the best things that I ever chose,I loved my body except K,with waxing I love my whole self na sinaga aibu ht mbele ya my Man au checkup hospital
Well utasemwa sana sijui heshima sijui vitu gani, ur life ur choices, kwani unaenda fanya mapenzi huko??sanasana huna haja ya kujitangaza unawax enjoy ur benefits mana Africa utawaweza basii
Mi hapa nmeongea coz ni Jf,uraiani huko hata me huwa nawashangaa sana wanaowax,how do they do that...hahahhahaha
 
Mbona ni zoez la dk 5 tu na unakuwa fresh kwann uende kuonesha uchi wako kwa watu...
 
Ladies Wana mambo sana, wanaume tupo simple sana kwenye hii life, except kwa wale man.. Women
 
Ivi kufanya waxing ndo kufanyaje
 
Nilikuwa sijui waxing ni nini.

Mhh. Angalia hapa
 
....mmh wadada wa siku hizi wana roho ngumu!, yani mimi ndio naweza funga macho kwa aibu badala yenu?!
#yesunjootu!
hii sayari imeshaisha!
 
Mm nipo tayar kufany hiyo kaz,nitafute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…