Viwembe au shaver nzuri za kunyoa nywele sehemu za siri

JIVU NI SAFI SANA UNACHUKUA UNAPAKA KWENYE MAVU..ZI THEN UNAANZA KUVUTA YAANI WE ACHA TU KWANZA INACHUKUA TIME KUOTA TENA NI SAFI SANA JARIBU NA UTAFURAHI
 
....mmh wadada wa siku hizi wana roho ngumu!, yani mimi ndio naweza funga macho kwa aibu badala yenu?!
#yesunjootu!
hii sayari imeshaisha!
Dunia yaaangamia
 
inategemea kama ukiwa unafanya mapenzi kila siku hata mavuzi yanakua hayaoti
 
Aiseee ajira nyingi duniani.... Hivi ndio shingapi tena kwa pesa madafu za kitz
 
[emoji13] [emoji13]
 
Kuna cream wanapaka then wanapitisha mashine kama unanyoa ndevu nzuri nimeisahau jina
 
natumia veet,ila kuna mtu aliniambia kuna kitu kinaitwa laser hair removal,eti hazioti tena,ni kweli au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…