Ina maana CCM wanaogopa hata kuandaa mamluki azuge kama vile anashindana na JPM?
Wanaogopa hata mamluki anaweza kumshinda mzee kwenye mkutano mkuu![emoji24]
Bashiru ashasema kuwa wakiwa wagombea wengi kunakuwa na wanao tumiwa na mabeberu
Mwenyekiti mbona kafanya makubwa sana, tuna ndege zetu, tumeanza ujenzi wa reli ya kisasa, tumefanikiwa kuzuia sauti za wapinzani, n.k. unafikiri ni rahisi kupigwa chini?If truth be said Membe anapiga chini mwenyekiti mapema tuu.Ku prempt aibu lazima kumzui kuchukua fomu kwa gharama yeyeto ile.
Haya ndio mawazo na akili za wanaCCM, yaani hata ukiwa kwenye majukumu ya kikazi kama balozi nje ya nchi unakuwa huna haki ya kugombea urais.Halafu hii ya mtu kutangaza kugombea U-rais akiwa yuko nje ya nchi imekaaje? Ifike mahali tuweke kipengele kwenye Katiba kwamba mtu atatangaza kugombe U-rais akiwa ndani ya nchi, na kana atafanya hivyo akiwa nje ya nchi uchukuliwe kuwa ni uhaini! Na pia aruhusiwe kugombea akiwa tu amekuwa ndani ya nchi kwa kipindi kisichopungua miezi sita (6), kabla ya tarehe ya uchaguzi mkuu. Hii itasaidia kwa sababu kuna mtu anaweza akaondoka nchini akaenda akakaa huko nje halafu anarudi nchini miezi mitatu kabla ya uchaguzi, nia kuja kuvuruga uchaguzi tu halafu ukiissha anaondoka tena. Kwa hiyo mbali na kuwa raia wa JMT, anatakiwa pia awe amekuwepo nchini physically, angalau miezi sita kabla ya tarehe ya uchaguzi mkuu!
Hivi kwa mfano kwa mataifa makubwa kama Marekani, mtu anaweza akatangaza kugombea U-rais wa Marekani akiwa nje ya Marekani, kisa tu ni raia wa Marekani?
Balozi zetu zote nje ya JMT ni sehemu ya JMT. Balozi zote za nchi marafiki zilizoko ndani ya JMT siyo sehemu ya JMT bali ni sehemu ya nchi hizo. Wewe hapo ulipo sasa hivi ukienda Ubalozi tuseme wa Uingereza, kipindi chote utakachokuwa ndani ya Ubalozi huo, utakuwa uko chini ya mamlaka ya Uingereza na si Tanzania. Ubalozi wa Uingereza si sehemu ya JMTHaya ndio mawazo na akili za wanaCCM, yaani hata ukiwa kwenye majukumu ya kikazi kama balozi nje ya nchi unakuwa huna haki ya kugombea urais.
Huwezi kunishawishi nikawa chama kimoja na mtu mwenye mawazo kama haya.
Hatutaki vibaraka wa mabeberuKwani mwaogopa nini?
Mnamuogopa sana huyu mwamba wa Kusini.
Hatutaki vibaraka wa mabeberu
Mabilion ya LibyaUshahidi?
ππππππ Kwa sababu mnajua fika kwamba dikteta has nothing in his upstairs as compared to Membe. Atapigwa MWELEKA MKUBWA arudi chato akafuge sungura. πππππ
Mabilion ya Libya
Sababu hakuna mwingine anayetia nia zaidi yake huko baraMtoa mada unahisi kwanini Membe tu ndo atangazwe huko kati ya wote wenye nia na waliochukua form?
Mkuu huwa nafuatilia sana post zako napenda unavyowekaga source na kutoa acknowledgement. Napenda sana hiki unachofanya nimeona nikupe pongezi leo ulitakiwa upewe tuzo ya Intellectual property advocate!!https://www.bloomberg.com βΊ t...
Africa Political News, Tanzania: Challenger to John Magufuli - Bloomberg
1 day ago Β· A former foreign minister wants to challenge Tanzania's incumbent leader, John Magufuli, for the ruling party's nomination for
Source : video courtesy of : Lindi Yetu TV
Upo sawa kabisa, hongera kwa jibu zuri!! Vipi kama nipo nje na nafanya kazi UN au shirika lingine lolote.Balozi zetu zote nje ya JMT ni sehemu ya JMT. Balozi zote za nchi marafiki zilizoko ndani ya JMT siyo sehemu ya JMT bali ni sehemu ya nchi hizo. Wewe hapo ulipo sasa hivi ukienda Ubalozi tuseme wa Uingereza, kipindi chote utakachokuwa ndani ya Ubalozi huo, utakuwa uko chini ya mamlaka ya Uingereza na si Tanzania. Ubalozi wa Uingereza si sehemu ya JMT
Kwa case hiyo, unakuwa uko nje ya nchi kwa ridhaa ya JMT, na kwa majukumu yanayoeleweka na Serikali ya JMT. Kumbuka kuwa sheria ikishapitishwa, lazima piaa iwe na provisions za exceptions. Kumbuka pia kuwa mwingine anaweza akawa ni mgonjwa yuko nje kimatibabu. Kwa hiyo hii itawahusu wale tu wasiokuwa na sababu za msingi za kuendelea kukaa nje ya Nchi. Mtu kwa mfano ameshafukuzwa hadi Ubunge kwa utoro Bungeni, bado tena ana-qualify kugombea Urais na anatangaza nia akiwa nje ya Nchi!Upo sawa kabisa, hongera kwa jibu zuri!! Vipi kama nipo nje na nafanya kazi UN au shirika lingine lolote.
Mnamuogopa sana huyu mwamba wa Kusini.
huoni ndo kuudhihirishia ulimwengu udikteta unaozungumziwa kuhusu serikali ya jpmHata akitangazwa na CNN au Fox news hatutampa form