prosper cliff
JF-Expert Member
- Jan 19, 2017
- 661
- 695
ZanzibarKuna huyo kimbelembele, bashiru mchumia tumbo, hata kubali maswala ya halmashauri kuu ya kitaifa, Kuna clip anasema jeshi liingilie Kati watu kuchukua form Zanzibar, haiwezekani form ziwe 12
Hivi CCM siku hiz inabadili gia angani kwa kutoa fomu kwa wagombea wasiokuwa wanachama wake. Hivi CCM kweli imekosa wagombea wenye sifa hadi itoe fomu kwa mgombea asiyekuwa mwanachamaHabari ya Membe kuhusu uwanachama wake na kuchukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM imetangwazwa kupitia vituo vya televisions kama VoA,BBC na Al Jazeera.Nilichukulia poa sana swala lake kumbe ni habari kubwa sana.Natoa rai kwa CCM kutoa fomu ili Membe achukue baadae si mnamkata hofu ya nini?Angalau CCM itaonekana wamefuata misingi ya demokrasia kuliko kuonekane kuna ubabe unafanyika kwa baadhi ya viongozi kwa maslahi yao
Hivi zanzibar hakuna waumini wa kanisa la mzee show show gwajima boy ili nao wajitokeze kuchukua fomu za urais ?
Nahisi upstair kumeyumbaVoA waongelea watia nia wa Urais kupitia CCM Bara na CCM Visiwani
Hahahah... ni kweli ata police wetu hawajawahi kumkaba MTU(mzungu) Kwa kutumia goti mpaka akafa...Usilinganishe siasa za USA na hivi viinimacho vyetu.
Lazima mtataga tu safari hii
Yule Dem wa Mbu netHata akitangazwa na CNN au Fox news hatutampa form
Trump anasemaje kuhusu Membe?Kuna huyo kimbelembele, bashiru mchumia tumbo, hata kubali maswala ya halmashauri kuu ya kitaifa, Kuna clip anasema jeshi liingilie Kati watu kuchukua form Zanzibar, haiwezekani form ziwe 12
Ni kweli ila walitaka kumuua lisu Mungu akamkingia akakataa it wa God vs the unknownHahahah... ni kweli ata police wetu hawajawahi kumkaba MTU(mzungu) Kwa kutumia goti mpaka akafa...
🤣🤣🤣🤣 kitu kinagonga kinarudiMembe anakutisha eeeh? , unahofia familia yako itaishije Membe akipita [emoji3]
Unaweza kuweka clip ya lissu kama Ile ya Goti inayotrend all over the world... Tafadhali ili twende sawaNi kweli ila walitaka kumuua lisu Mungu akamkingia akakataa it wa God vs the unknown
Utaratibu ni katiba,slkasome katiba ya ccm ndio uandike.Ccm inautaratibu wake
Hahaaaa,mkuu huo siyo utaratibu rasmiKama form si atengeneze tu stationary kwani hajui ilivyo? Halafu ajaze, au hao VOA, BBC NA Aljazeera wa copy ilivyo wamjazishe.
Shida iko wapi?
Mnajaza sever bure, lMkuu huoni kwamba huo ni ubabe?
Ni aibu sana kwa wapinzani kumtegemea Membe sasa hivi!..Chama Cha mabombadier, masgr, mafyover, mastiglers kinaogopa kutoa fomu, tuliwaambia hayo ma project yenu hayawezi kumbeba mtu wenu,
Ona Sasa pigo takatifu linakuja kuwasambaratisha
🤣🤣🤣🤣 hata akifatiwa na ikulu ya marekani, hatujaliHata akitangazwa na CNN au Fox news hatutampa form