Uchaguzi 2020 VoA, BBC na Al Jazeera watangaza habari za Membe juu ya Uanachama wake na nia yake ya kugombea Urais kwa kupitia tiketi ya CCM

Uchaguzi 2020 VoA, BBC na Al Jazeera watangaza habari za Membe juu ya Uanachama wake na nia yake ya kugombea Urais kwa kupitia tiketi ya CCM

Kuna huyo kimbelembele, bashiru mchumia tumbo, hata kubali maswala ya halmashauri kuu ya kitaifa, Kuna clip anasema jeshi liingilie Kati watu kuchukua form Zanzibar, haiwezekani form ziwe 12
Zanzibar
IMG-20200622-WA0064.jpeg
 
...Mnogeshaji uchaguzi ameonesha nia haya sasa mdundiko ndio unataka noga...maswali yakujiuliza ni Je ccm bara kuna democrasia? Je ni kweli JPM ataki upinzani ndani ya chama? Je chama kinaendeshwa kwa tamaduni au katiba? Je lolote laweza tokea kuanzia sasa mpaka kipindi cha uchaguzi?
 
June 22, 2020
Washington

VoA waongelea watia nia wa Urais kupitia CCM Bara na CCM Visiwani

Bernard Membe asema kama katiba ingefuatwa ndani ya CCM watia nia nafasi ya Urais wasinge pungua 6 au 7 na kunogesha demokrasia ndani ya CCM ili kupata aliye bora kupeperusha bendera ya CCM 2020


Source: Sauti ya Amerika VoA
 
Habari ya Membe kuhusu uwanachama wake na kuchukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM imetangwazwa kupitia vituo vya televisions kama VoA,BBC na Al Jazeera.Nilichukulia poa sana swala lake kumbe ni habari kubwa sana.Natoa rai kwa CCM kutoa fomu ili Membe achukue baadae si mnamkata hofu ya nini?Angalau CCM itaonekana wamefuata misingi ya demokrasia kuliko kuonekane kuna ubabe unafanyika kwa baadhi ya viongozi kwa maslahi yao
Hivi CCM siku hiz inabadili gia angani kwa kutoa fomu kwa wagombea wasiokuwa wanachama wake. Hivi CCM kweli imekosa wagombea wenye sifa hadi itoe fomu kwa mgombea asiyekuwa mwanachama
 
Kuna huyo kimbelembele, bashiru mchumia tumbo, hata kubali maswala ya halmashauri kuu ya kitaifa, Kuna clip anasema jeshi liingilie Kati watu kuchukua form Zanzibar, haiwezekani form ziwe 12
Trump anasemaje kuhusu Membe?
 
Ni kweli ila walitaka kumuua lisu Mungu akamkingia akakataa it wa God vs the unknown
Unaweza kuweka clip ya lissu kama Ile ya Goti inayotrend all over the world... Tafadhali ili twende sawa
 
Kama form si atengeneze tu stationary kwani hajui ilivyo? Halafu ajaze, au hao VOA, BBC NA Aljazeera wa copy ilivyo wamjazishe.
Shida iko wapi?
Hahaaaa,mkuu huo siyo utaratibu rasmi
 
Chama Cha mabombadier, masgr, mafyover, mastiglers kinaogopa kutoa fomu, tuliwaambia hayo ma project yenu hayawezi kumbeba mtu wenu,

Ona Sasa pigo takatifu linakuja kuwasambaratisha
Ni aibu sana kwa wapinzani kumtegemea Membe sasa hivi!..

Yani sasa hivi mmetelekeza hata Lisu sasa mnaimba Membe tu
 
Back
Top Bottom