Uchaguzi 2020 VoA, BBC na Al Jazeera watangaza habari za Membe juu ya Uanachama wake na nia yake ya kugombea Urais kwa kupitia tiketi ya CCM

Uchaguzi 2020 VoA, BBC na Al Jazeera watangaza habari za Membe juu ya Uanachama wake na nia yake ya kugombea Urais kwa kupitia tiketi ya CCM

CCM Mpya wapagawa kwa hofu kuu Membe kujitokeza kudai haki ya kikatiba



Washindwa kujibu hoja za kada Bernard Membe kuhusu mchakato mzima wa demokrasia ndani ya CCM Mpya na uhuru wa Tume ya Uchaguzi kuelekea October 2020 ambapo Bernard Membe ameonesha nia ya kutaka akubaliwe kuchukua fomu ashindane na wanaCCM ndani ya chama kuteuliwa kupeperusha bendera ya CCM katika uchaguzi wa Urais unaohusisha demokrasia ya vyama vingi.
 
Habari ya Membe kuhusu uwanachama wake na kuchukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM imetangwazwa kupitia vituo vya televisions kama VoA,BBC na Al Jazeera.Nilichukulia poa sana swala lake kumbe ni habari kubwa sana.Natoa rai kwa CCM kutoa fomu ili Membe achukue baadae si mnamkata hofu ya nini?Angalau CCM itaonekana wamefuata misingi ya demokrasia kuliko kuonekane kuna ubabe unafanyika kwa baadhi ya viongozi kwa maslahi yao
aaah vipi tena unawashitua bana?

waache wamnyime kugombea ili walikoroge machoni pa wadau wa maendeleo afu waipate fresh....
 
Habari ya Membe kuhusu uwanachama wake na kuchukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM imetangwazwa kupitia vituo vya televisions kama VoA,BBC na Al Jazeera.Nilichukulia poa sana swala lake kumbe ni habari kubwa sana.Natoa rai kwa CCM kutoa fomu ili Membe achukue baadae si mnamkata hofu ya nini?Angalau CCM itaonekana wamefuata misingi ya demokrasia kuliko kuonekane kuna ubabe unafanyika kwa baadhi ya viongozi kwa maslahi yao
Si mwanachama wao
 
Kama form si atengeneze tu stationary kwani hajui ilivyo? Halafu ajaze, au hao VOA, BBC NA Aljazeera wa copy ilivyo wamjazishe.
Shida iko wapi?
 
Bashiru ashasema kuwa wakiwa wagombea wengi kunakuwa na wanao tumiwa na mabeberu
Habari ya Membe kuhusu uwanachama wake na kuchukua fomu ya kugombea urais kwa tiketi ya CCM imetangwazwa kupitia vituo vya televisions kama VoA,BBC na Al Jazeera.Nilichukulia poa sana swala lake kumbe ni habari kubwa sana.Natoa rai kwa CCM kutoa fomu ili Membe achukue baadae si mnamkata hofu ya nini?Angalau CCM itaonekana wamefuata misingi ya demokrasia kuliko kuonekane kuna ubabe unafanyika kwa baadhi ya viongozi kwa maslahi yao
 
Mkuu tafadhali tupatie hiyo clip
Kuna huyo kimbelembele, bashiru mchumia tumbo, hata kubali maswala ya halmashauri kuu ya kitaifa, Kuna clip anasema jeshi liingilie Kati watu kuchukua form Zanzibar, haiwezekani form ziwe 12
 
Mabeberu na membe bwana!! Kwani mpaka ccm tu? Utaratibu wa ccm sianaujua?
Membe urais nihabari ya zilipendwa!
5yrs magufuri
15 yrs kabudi
Menbe atakuwa kishachoka.
 
CCM sio NEC...wao wanatoa form Kwa wanachama wao wenye sifa..ata USA wenyewe pamoja na madudu ya Trump..hakuna Republican yeyote aliyechukua form kugombea..same thing Kwa kipindi cha Obama's second term...wakifanya CCM inakua nongwa!!???
Acha uongo
 
Back
Top Bottom