Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu nilichoandika wachana na mimi binafsi.We hamna kitu zaidi udini kumekujaa, uchambuzi wako uko biased, ovyo kabisa
Kuna namna ya kutumia hizo maliasili ila sio kwa namna ambayo imefanyika hapo.Hiyo ndiyo faida ya kuwa na maliasili, au ulitaka uchumi unao uukalie?
Hela ya Uchaguzi.Mbona hujataja matumizi ya mkopo wa Tanzania kama ulivyotaja kwa Ethiopia ?
Kwani uliambiwa wameuziwa hayo madini au uliambiwa wamepewa bure?Kuna namna ya kutumia hizo maliasili ila sio kwa namna ambayo imefanyika hapo.
Piga mahesabu uone nani atayenufaika zaidi hapo kati ya Tanzania na Korea.
Hizo rare earth minerals watazochimba Korea kwa huo muda zina surpass hiyo $2.5 billions.
Kafuatilie thamani ya hayo madini halafu uone jinsi tutavyopigwa sana hapo na kukwanguliwa.
Wacheni uongo, hakuna chochote kilichouzwa na yeyote.Madhara ya Muungano ndiyo hayo sasa., Mzanzibari anauza Mali za Tanganyika na kuacha za kwao Zanzibar.
Hii ndiyo hofu kubwa. Huyu hana simile hata kidogo na wala hana uchungu wowote na nchi hii.Kama zile ndoto za kubakia madarakani mpaka 2030 zitatimia; aisee nchi yote itakuwa imeuzwa kwa watu wenye pesa na matapeli wa kalamu.
Bibi mbona unajivuruga ama kujichanganya?Kwani uliambiwa wameuziwa hayo madini au uliambiwa wamepewa bure?
Usijichanganye. Kwani SoutgbJirea ba Tanzania wameanza leo kukopeshana au wameanza leo kufanya biashara?
Bandari na NgorongoroWacheni uongo, hakuna chochote kilichouzwa na yeyote.
Mbona zipo na zinafanya kazi.Bandari na Ngorongoro
Bila. Mjerumani kukugawa ili achote mali vizuri, saa hizi wewe ni Mzenji halisia.Na yoyte hayo hi Tanganyika, kwao Zeji hapana.
Na mitanganyika imelala tu!
Akili kubwa tu wanapata hizo.Ile Phd haikutolewa Bure.
Wapi kilipouzwa?Kwahiyo kioande kingine Cha nchi kimeuzwa!! Eee Mola fanye jambo tupumzike na haya mateso