VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini

VoA: Tanzania imepokea mkopo kutoka kwa Korea Kusini na kutoa sehemu ya bahari na madini

Kwani uliambiwa wameuziwa hayo madini au uliambiwa wamepewa bure?

Usijichanganye. Kwani SoutgbJirea ba Tanzania wameanza leo kukopeshana au wameanza leo kufanya biashara?

Nafikiri mleta mada ameleta kwa namna ambayo siyo sahihi.

Ninachoamini ni kuwa tumechukua mkopo kwa njia ya kawaida, yaani mkopo wenye riba. Mkopo hautakuwa na uhusiano wowote na rasilimali za nchi.

Halafu kumekuwa na makubaliano kuwa makapuni ya South Korea yaje kuwekeze kwenye sekta ya madini, ikimaanisha watakuja kufanya utafiti na wakiyapata hayo madini, watachimba kwa taratibu za kawaida kama kwa wachimbaji wengine ambao nchi zao hazijaipatia mkopo au zimetupatia mikopo. Wakikosa au wakiona sheria ni za hovyo, wataondoka. Lakini deni litabakia pale pale.

Ukweli ni kuwa hakuna mradi wowote wa madini ambao unaweza kusema kuwa Serikali i.efanya utafiti ikapata deposit ambayo resource yake imekuwa defined. Hivyo makapuni ya South Korea yakikubali kuja, yatalazimika kwanza kuwekeza kwenye utafiti, shughuli ambayo ina more than 90% possibility ya kupoteza hela yako.
 
Tanzania na Ethiopia zimesaini mikataba kadhaa na Korea Kusini kwa ajili ya kupata mikopo ya mabilioni ya dola kwa ajili ya maendeleo.

Mikopo hiyo itaiwezesha Korea Kusini kupata fursa ya kuchimba madini muhimu katika nchi za Afrika.

Korea Kusini imeandaa kongamano na viongozi 30 wa nchi za Afrika, ikiwemo Tanzania na Ethiopia.

Kongamano linafanyika wiki hii

Tanzaia imesema kwamba itakopa dola bilioni 2.5 kutoka kwa Korea Kusini katika muda wa miaka mitano ijayo. Mkopo huo utalipwa katika muda wa miaka 5.

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan vile vile amesaini mkataba utakaoiruhusu Korea Kusini kutumia bahari yake na madini yanayotumika katika teknolojia ya nishati safi kama Nickel, Lithium na Graphite.

Ethiopia nayo imesaini mkopo wa dola bilioni 1 utakaolipwa katika kipindi cha miaka minne kwa ajili ya ujenzi wa miundo mbinu, sayansi na teknolojia, afya na maendeleo ya mijini.

PIA SOMA
- Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51

Voice of Afrika
New scramble for Africa...
 
Kuna namna ya kutumia hizo maliasili ila sio kwa namna ambayo imefanyika hapo.
Piga mahesabu uone nani atayenufaika zaidi hapo kati ya Tanzania na Korea.
Hizo rare earth minerals watazochimba Korea kwa huo muda zina surpass hiyo $2.5 billions.
Kafuatilie thamani ya hayo madini halafu uone jinsi tutavyopigwa sana hapo na kukwanguliwa.
Kwa muda wa miaka 5 watakuwa wamevuna 5 times ya mkopo wao kwa Tanzania hapo bado tunapaswa kulipa mkopo tena 😭🙌
 
Tanzania na Ethiopia zimesaini mikataba kadhaa na Korea Kusini kwa ajili ya kupata mikopo ya mabilioni ya dola kwa ajili ya maendeleo.

Mikopo hiyo itaiwezesha Korea Kusini kupata fursa ya kuchimba madini muhimu katika nchi za Afrika.

Korea Kusini imeandaa kongamano na viongozi 30 wa nchi za Afrika, ikiwemo Tanzania na Ethiopia.

Kongamano linafanyika wiki hii

Tanzaia imesema kwamba itakopa dola bilioni 2.5 kutoka kwa Korea Kusini katika muda wa miaka mitano ijayo. Mkopo huo utalipwa katika muda wa miaka 5.

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan hivile vile amesaini mkataba utakaoiruhusu Korea Kusini kutumia bahari yake na madini yanayotumika katika teknolojia ya nishati safi kama Nickel, Lithium na Graphite.

Ethiopia nayo imesaini mkopo wa dola bilioni 1 utakaolipwa katika kipindi cha miaka minne kwa ajili ya ujenzi wa miundo mbinu, sayansi na teknolojia, afya na maendeleo ya mijini.

PIA SOMA
- Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51

Voice of Afrika
Hivi Samia anania ya kugombea Tena uchaguzi hapo mbeleni?

Mbona nikama Hana nia kabisa au labda hii nyagi ina niendesha hakili?
 
Tanzaia imesema kwamba itakopa dola bilioni 2.5 kutoka kwa Korea Kusini katika muda wa miaka mitano ijayo. Mkopo huo utalipwa katika muda wa miaka 5.


PIA SOMA
- Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51

Voice of Afrika
Hiki kipengere sijakielewa mimi ama? Yaani tutalipa baada ya kumaliza hiyo miaka 5 ya mkopo au tunakopa huku tunalipa within those 5 years?
Alafu tunalipa mkopo huku jamaa wakiendelea kuchimba madini Ka kuhorse eneo letu la habari?😳 Hivi hizi ni akili au matope? Kwamba tulikuwa na shida Sana na mkopo wenye sharti humu kama hili kweli?
These Koreans are going to benefit twice due to this loan contract kwanza mkopo lazima uliowe pili hayo madini watakayochimba kwa hiyo miaka 5 watarudisha fedha zao zaidi ya mkopo waliotoka kwa Tanzania. Je wananchi wameambiwa matumizi ya huo mkopo au ndio utatumika kufinance uchaguzi?😩😥
Ewe Tanzania yangu dah😭😭
 
Hiki kipengere sijakielewa mimi ama? Yaani tutalipa baada ya kumaliza hiyo miaka 5 ya mkopo au tunakopa huku tunalipa within those 5 years?
Alafu tunalipa mkopo huku jamaa wakiendelea kuchimba madini Ka kuhorse eneo letu la habari?😳 Hivi hizi ni akili au matope? Kwamba tulikuwa na shida Sana na mkopo wenye sharti humu kama hili kweli?
These Koreans are going to benefit twice due to this loan contract kwanza mkopo lazima uliowe pili hayo madini watakayochimba kwa hiyo miaka 5 watarudisha fedha zao zaidi ya mkopo waliotoka kwa Tanzania. Je wananchi wameambiwa matumizi ya huo mkopo au ndio utatumika kufinance uchaguzi?😩😥
Ewe Tanzania yangu dah😭😭
Mkopo utalipwa ndani ya miaka mitano pamoja na riba yake.
Ila kuhusu ruhusa ya kuchimba madini taarifa bado inakanganya kama uchimbaji ni sehemu ya makubaliano ya mkopo ama laah.
Ila kama ni sehemu ya makubaliano ya mkopo basi tumenyonywa sana.
 
Mkopo utalipwa ndani ya miaka mitano pamoja na riba yake.
Ila kuhusu ruhusa ya kuchimba madini taarifa bado inakanganya kama uchimbaji ni sehemu ya makubaliano ya mkopo ama laah.
Ila kama ni sehemu ya makubaliano ya mkopo basi tumenyonywa sana.
uchimbaji madini ni sehemu ya ile phd,
umesahau phd ya india ndio hii Adan kapewa berth moja pale bandarini?
 
Mkopo utalipwa ndani ya miaka mitano pamoja na riba yake.
Ila kuhusu ruhusa ya kuchimba madini taarifa bado inakanganya kama uchimbaji ni sehemu ya makubaliano ya mkopo ama laah.
Ila kama ni sehemu ya makubaliano ya mkopo basi tumenyonywa sana.
Tatizo habari tumeisikia kutoka vyombo vya nje. Serikali inapaswa kuliweka wazi hili ili wananchi waelewe madhumuni makuu ya huo mkopo na uchimbaji wa hayo madini kama sehemu ya uwekezaji wa nchi ya Korea Tanzania au ni sharti la kupata huo mkopo wa matrilioni
 
Tanzania na Ethiopia zimesaini mikataba kadhaa na Korea Kusini kwa ajili ya kupata mikopo ya mabilioni ya dola kwa ajili ya maendeleo.

Mikopo hiyo itaiwezesha Korea Kusini kupata fursa ya kuchimba madini muhimu katika nchi za Afrika.

Korea Kusini imeandaa kongamano na viongozi 30 wa nchi za Afrika, ikiwemo Tanzania na Ethiopia.

Kongamano linafanyika wiki hii

Tanzaia imesema kwamba itakopa dola bilioni 2.5 kutoka kwa Korea Kusini katika muda wa miaka mitano ijayo. Mkopo huo utalipwa katika muda wa miaka 5.

Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan vile vile amesaini mkataba utakaoiruhusu Korea Kusini kutumia bahari yake na madini yanayotumika katika teknolojia ya nishati safi kama Nickel, Lithium na Graphite.

Ethiopia nayo imesaini mkopo wa dola bilioni 1 utakaolipwa katika kipindi cha miaka minne kwa ajili ya ujenzi wa miundo mbinu, sayansi na teknolojia, afya na maendeleo ya mijini.

PIA SOMA
- Ziara ya Rais Samia Korea Kusini atasaini Mkopo wa Tsh. Trilioni 6.51

Voice of America
Elime yake ndogo sana kwenye utendaji
 
Tatizo habari tumeisikia kutoka vyombo vya nje. Serikali inapaswa kuliweka wazi hili ili wananchi waelewe madhumuni makuu ya huo mkopo na uchimbaji wa hayo madini kama sehemu ya uwekezaji wa nchi ya Korea Tanzania au ni sharti la kupata huo mkopo wa matrilioni
Na kwa taarifa yako hivyo vyombo vya nje ndivyo vilivyo sahihi kuliko hao waongo wa ndani ya nchi wanao tudanganya kila siku tangu uhuru.
 
Tatizo habari tumeisikia kutoka vyombo vya nje. Serikali inapaswa kuliweka wazi hili ili wananchi waelewe madhumuni makuu ya huo mkopo na uchimbaji wa hayo madini kama sehemu ya uwekezaji wa nchi ya Korea Tanzania au ni sharti la kupata huo mkopo wa matrilioni
Huo mkopo kwa tetesi inasemekana wanataka kuiboresha Muhimbili.
Japo ni pesa nyingi sana kuirekebisha Muhimbili kwa matrilioni.
Ila kwa fikra zangu sidhani kama hizi pesa kuna la maana litafanyika.
 
Na kwa taarifa yako hivyo vyombo vya nje ndivyo vilivyo sahihi kuliko hao waongo wa ndani ya nchi wanao tudanganya kila siku tangu uhuru.
Hahaha wacha warudi tuone watakuwa na ngonjera gani kwa watanzania. Na hili lazima tuliulizie maana tuliambiwa hazina imejaa, alipoingia mama tukaambiwa hakuna kitu hazina, wakaanza kodi zisizoeleweka chini ya Mwiguru baada ya kupiga kelele wakazifuta sasa naona wamehamia kwenye makontena toka freight charge ya dola 3000 mpaka 9000 si jambo la masihara. Nchi yenyewe inategemea importation hapo hapo mnawabana waagizaji bidhaa toka nje. Hivi ni kweli wizara ya fedha imeshindwa kubuni vyanzo vyengine vya mapato mpaka kuwakaba waagizaji bidhaa toka nje? Kwamba don't they know economic consequences ya ongezeko la freight charge kweli?
Oh Tanzania yangu😭🙌
 
Back
Top Bottom