Bora hata wange'boost kwa kutoa mikopo yenye riba nafuu, ku'subsidize kikokotoo, mishahara na kandarasi za ndani ili hela ishuke kwa wananchi, ku'stimulate uchumi
Magari is mad NONSENSE
Huu ni uchifu mangungo haiwezekani kwamba eti mtu akupe mkopo halafu na pia akusaidie eti kujenga bandari huo ni uwongo waweke hadharani huo mkataba tuusome