ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Huko Burkina Faso Hali inazidi kuwa tete Kwa bwana mdogo Rais Captain Ibrahim Traore ambae kwa Sasa anaishi Kwa kujificha ficha akihofia usalama wake.
Hali hii inajiri kuliwa na taarifa za Wanajeshi wengi wapatao 80-120 kuuwawa n wanamgambo wa jihadi hukunikidaiwa kwamba usalama wa Nchi hiyo unazidi kudorora na kwamba Baadhi ya kambi za Jeshi zimeasi kiasi ya kupelekea Rais Traore kutokomea kusikojulikana akihofia kuuwawa na kupinduliwa so anavuta mda Ili aweze kujadiliana na wanajeshi wanaodaiwa kiasi.
Washirika wa bwana Traore kina Wagner na Mali wanajaribu kumsaidia kadiri inavyowezekana Ili kuokoa jahazi.👇👇
---
Hii ni taarifa ya RFI ambayo tunakutangazia Jumanne hii, Juni 18. Kati ya wanajeshi 80 na 120 wa Mali na mamluki wa kundi la Wagner kutoka Urusi wamewasili Ouagadougou katika siku za hivi karibuni. Hali ni ya wasiwasi nchini Burkina Faso tangu shambulio la Mansila siku ya Jumanne iliyopita Juni 11. Kiasi kwamba kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokuwa kimeopangwa kufanyika siku ya Jumatano, Juni 19 asubuhi hakikufanyika tena.
Wakati wa shambulio la Mansila siku ya Jumanne Juni 11, zaidi ya askari mia moja wa Burkina Faso waliuawa na wengine kuchukuliwa mateka na wanajihadi wa JNIM (Kundi la linlodi kutetea Uislamu na Waislamu, lenye uhusiano na al-Qaeda). Kuhusu suala hili, mamlaka ya mpito ya Burkina Faso bado haijatoa tamko lolote na, baada ya mauaji haya, baadhi ya wanajeshi wameonyesha hasira yao.
Siku ya Jumatano ya wiki iliyopita, bomu lilirushwa katika makao makuu ya televisheni ya taifa. Chanzo cha tukio hilo kimeendelea kushangaza hadi leo. Kuhusu rais wa mpito, Kapteni Ibrahim Traoré, alionekana kwa kwa muda mchache siku ya Jumapili wakati wa swala ya Eid il Adha (Tabaski), bila kuzungumza. Hali ambayo inachochea tu maswali juu ya hali yake. Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokuwa kimeopangwa kufanyika Jumatano Juni 19 kwa hivyo hakikufanyika.
Kikao hiki kilipaswa kuongozwa, kama kila Jumatano asubuhi, na rais wa mpito, Kapteni Ibrahim Traoré. Lakini kikao cha Baraza la Mawaziri hakikufanyika. Hakuna taarifa rasmi, lakini chanzo katika ofisi ya rais wa Burkina Faso kinabaini kwamba kikao cha Baraza la Mawaziri kwa hakika lkimeahirishwa hadi kesho, Alhamisi, bila kutoa maelezo zaidi.
Ibrahim Traoré haojaonekana tangu wiki moja sasa
Kufutwa kwa kikao hiki au kuahirishwa hakutashindwa kuzua maswali kuhusu hali ya Kapteni Ibrahim Traoré, ambaye yuko kimya na hajaonekana tangu wiki moja sasa, na kuhusu kile ambacho kwa sasa kiko hatarini kwa mkuu wa mamlaka.
Siku ya Jumanne, Juni 18, katika taarifa kwa vyombo vya habari, jeshi la Burkina Faso kwa vyovyote vile lilitaka kuhakikisha: uvumi ambao umeripotiwa, tangu wiki iliyopita, "uvumi na uasi katika baadhi ya kambi za jeshi," kulingana na makao makuu ya jeshi, "havina msingi na vinapotosha”.
Mali imetuma wanajeshi 80 hadi 120 wa Mali na mamluki wa kundi la Wagner kutoka Urusi huko Ouagadougou kumsaidia rais wa mpito. Je, iddi hii ya wanajeshi na washirika wao wa Wagner zinahakikisha kwamba Kapteni Ibrahim Traoré anasalia madarakani? Je, ni suala la kuandaa aina ya "marekebisho ya mpito", kama baada ya mapinduzi ya pili ya kijeshi nchini Mali mnamo mwezi Mei 2021?
Katika makala iliyochapishwa alasiri ya leo, Gazeti la Le Monde linasema, kwa mujibu wa "duru za kuaminika", kwamba Ibrahim Traoré kwa sasa "amejificha" na kwamba "mazungumzo kati ya wanajeshi yanaendelea ili kuamua juu ya mustakabali wa utawala".
Chanzo: https://www.rfi.fr/sw/afrika/20240619-burkina-faso-kikao-cha-baraza-la-mawaziri-chaahirishwa-ibrahim-traoré-akimbilia-mafichoni?utm_medium=social&utm_campaign=x&utm_source=shorty&utm_slink=rfi.my/AhxU
My Take
Huyu dogo wa maigizo na kibaraka wa Russia hana miaka Mingi,alidhani yeye ni malaika? Mda utaleta majibu.
New updates
View: https://www.instagram.com/p/C8goXnIofbo/?igsh=cjI2NnJneHcyejUz
Hali hii inajiri kuliwa na taarifa za Wanajeshi wengi wapatao 80-120 kuuwawa n wanamgambo wa jihadi hukunikidaiwa kwamba usalama wa Nchi hiyo unazidi kudorora na kwamba Baadhi ya kambi za Jeshi zimeasi kiasi ya kupelekea Rais Traore kutokomea kusikojulikana akihofia kuuwawa na kupinduliwa so anavuta mda Ili aweze kujadiliana na wanajeshi wanaodaiwa kiasi.
Washirika wa bwana Traore kina Wagner na Mali wanajaribu kumsaidia kadiri inavyowezekana Ili kuokoa jahazi.👇👇
---
Hii ni taarifa ya RFI ambayo tunakutangazia Jumanne hii, Juni 18. Kati ya wanajeshi 80 na 120 wa Mali na mamluki wa kundi la Wagner kutoka Urusi wamewasili Ouagadougou katika siku za hivi karibuni. Hali ni ya wasiwasi nchini Burkina Faso tangu shambulio la Mansila siku ya Jumanne iliyopita Juni 11. Kiasi kwamba kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokuwa kimeopangwa kufanyika siku ya Jumatano, Juni 19 asubuhi hakikufanyika tena.
Wakati wa shambulio la Mansila siku ya Jumanne Juni 11, zaidi ya askari mia moja wa Burkina Faso waliuawa na wengine kuchukuliwa mateka na wanajihadi wa JNIM (Kundi la linlodi kutetea Uislamu na Waislamu, lenye uhusiano na al-Qaeda). Kuhusu suala hili, mamlaka ya mpito ya Burkina Faso bado haijatoa tamko lolote na, baada ya mauaji haya, baadhi ya wanajeshi wameonyesha hasira yao.
Siku ya Jumatano ya wiki iliyopita, bomu lilirushwa katika makao makuu ya televisheni ya taifa. Chanzo cha tukio hilo kimeendelea kushangaza hadi leo. Kuhusu rais wa mpito, Kapteni Ibrahim Traoré, alionekana kwa kwa muda mchache siku ya Jumapili wakati wa swala ya Eid il Adha (Tabaski), bila kuzungumza. Hali ambayo inachochea tu maswali juu ya hali yake. Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokuwa kimeopangwa kufanyika Jumatano Juni 19 kwa hivyo hakikufanyika.
Kikao hiki kilipaswa kuongozwa, kama kila Jumatano asubuhi, na rais wa mpito, Kapteni Ibrahim Traoré. Lakini kikao cha Baraza la Mawaziri hakikufanyika. Hakuna taarifa rasmi, lakini chanzo katika ofisi ya rais wa Burkina Faso kinabaini kwamba kikao cha Baraza la Mawaziri kwa hakika lkimeahirishwa hadi kesho, Alhamisi, bila kutoa maelezo zaidi.
Ibrahim Traoré haojaonekana tangu wiki moja sasa
Kufutwa kwa kikao hiki au kuahirishwa hakutashindwa kuzua maswali kuhusu hali ya Kapteni Ibrahim Traoré, ambaye yuko kimya na hajaonekana tangu wiki moja sasa, na kuhusu kile ambacho kwa sasa kiko hatarini kwa mkuu wa mamlaka.
Siku ya Jumanne, Juni 18, katika taarifa kwa vyombo vya habari, jeshi la Burkina Faso kwa vyovyote vile lilitaka kuhakikisha: uvumi ambao umeripotiwa, tangu wiki iliyopita, "uvumi na uasi katika baadhi ya kambi za jeshi," kulingana na makao makuu ya jeshi, "havina msingi na vinapotosha”.
Mali imetuma wanajeshi 80 hadi 120 wa Mali na mamluki wa kundi la Wagner kutoka Urusi huko Ouagadougou kumsaidia rais wa mpito. Je, iddi hii ya wanajeshi na washirika wao wa Wagner zinahakikisha kwamba Kapteni Ibrahim Traoré anasalia madarakani? Je, ni suala la kuandaa aina ya "marekebisho ya mpito", kama baada ya mapinduzi ya pili ya kijeshi nchini Mali mnamo mwezi Mei 2021?
Katika makala iliyochapishwa alasiri ya leo, Gazeti la Le Monde linasema, kwa mujibu wa "duru za kuaminika", kwamba Ibrahim Traoré kwa sasa "amejificha" na kwamba "mazungumzo kati ya wanajeshi yanaendelea ili kuamua juu ya mustakabali wa utawala".
Chanzo: https://www.rfi.fr/sw/afrika/20240619-burkina-faso-kikao-cha-baraza-la-mawaziri-chaahirishwa-ibrahim-traoré-akimbilia-mafichoni?utm_medium=social&utm_campaign=x&utm_source=shorty&utm_slink=rfi.my/AhxU
My Take
Huyu dogo wa maigizo na kibaraka wa Russia hana miaka Mingi,alidhani yeye ni malaika? Mda utaleta majibu.
New updates
View: https://www.instagram.com/p/C8goXnIofbo/?igsh=cjI2NnJneHcyejUz