Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Captain anapompa amri General ndio shida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyerere au Kawawa walikuwa na umri gani wakati wanaongoza Tanganyika?Ukiwekwa na Jeshi madarakani ujiandae wakati wo wote kuondolewa na Jeshi.
Harafu mimi kwangu namwona Traure ni kijana mdogo ambaye hayuko matured enough kuongoza nchi.
Kikwete hakuwa General na aliwapa Amri akina General Mwamunyange na General Waitara.Captain anapompa amri General ndio shida
Huko BurkinaFaso Hali inazidi kuwa tete Kwa bwana mdogo Rais Captain Ibrahim Traore ambae Kwa Sasa anaishi Kwa kujificha ficha akihofia usalama wake.
Hali hii inajiri kuliwa na taarifa za Wanajeshi wengi wapatao 80-120 kuuwawa n wanamgambo wa jihadi hukunikidaiwa kwamba usalama wa Nchi hiyo unazidi kudorora na kwamba Baadhi ya kambi za Jeshi zimeasi kiasi ya kupelekea Rais Traore kutokomea kusikojulikana akihofia kuuwawa na kupinduliwa so anavuta mda Ili aweze kujadiliana na wanajeshi wanaodaiwa kiasi.
Washirika wa bwana Traore kina Wagner na Mali wanajaribu kumsaidia kadiri inavyowezekana Ili kuokoa jahazi.👇👇
View: https://twitter.com/RFI_Sw/status/1803462068676509878?t=Ak1iSnfqTtFvdh4QgoyZsA&s=19
My Take
Huyu dogo wa maigizo na kibaraka wa Russia hana miaka Mingi,alidhani yeye ni malaika? Mda utaleta majibu.
Kabisakuna wachache wanataka kuiba mali wanaona traore anawazibia njia
Kujionesha Kiongozi Bora mtu wa watu 😁😁Dogo anamaigizo gani mkuu huoni hayo mambo marekani ndo anatuletea waafrika kila siku Ugaidi... kafanya kosa gani yeye
Huko BurkinaFaso Hali inazidi kuwa tete Kwa bwana mdogo Rais Captain Ibrahim Traore ambae Kwa Sasa anaishi Kwa kujificha ficha akihofia usalama wake.
Hali hii inajiri kuliwa na taarifa za Wanajeshi wengi wapatao 80-120 kuuwawa n wanamgambo wa jihadi hukunikidaiwa kwamba usalama wa Nchi hiyo unazidi kudorora na kwamba Baadhi ya kambi za Jeshi zimeasi kiasi ya kupelekea Rais Traore kutokomea kusikojulikana akihofia kuuwawa na kupinduliwa so anavuta mda Ili aweze kujadiliana na wanajeshi wanaodaiwa kiasi.
Washirika wa bwana Traore kina Wagner na Mali wanajaribu kumsaidia kadiri inavyowezekana Ili kuokoa jahazi.👇👇
View: https://twitter.com/RFI_Sw/status/1803462068676509878?t=Ak1iSnfqTtFvdh4QgoyZsA&s=19
My Take
Huyu dogo wa maigizo na kibaraka wa Russia hana miaka Mingi,alidhani yeye ni malaika? Mda utaleta majibu.
Kikwete hakupindua nchi wewe na hakuingia kama mwanajeshi piaKikwete hakuwa General na aliwapa Amri akina General Mwamunyange na General Waitara.
"Harafu"❌Ukiwekwa na Jeshi madarakani ujiandae wakati wo wote kuondolewa na Jeshi.
Harafu mimi kwangu namwona Traure ni kijana mdogo ambaye hayuko matured enough kuongoza nchi.
Kweli kabisa wahuni wchache wanataka kuidumbukiza nchi kwenye dimbwi la umwagikaji wa Damu zisizo na hatia.kuna wachache wanataka kuiba mali wanaona traore anawazibia njia
Wagner na Russia ni vya kwenu?Kwakweli sijajua kwanini unasema Dogo wa maigizo, hivi ni lini Afrika tutapenda vyakwetu? huoni kwamba unatukosea waafrika wenzako? nafikiri ingalikuwa vyema kutafuta njia ya kutafuta ya jinsi ya kutatua matatizo yetu wenyewe? Kumpindua sio suluhisho bali kutafuta njia ya kutatua tatizo kwa kukubaliana wote kwa pamoja ndio njia njema. Tujipende na kulipenda bara letu.
Hii inathibitisha nani mmiliki magaidi wanaojivika uislamAtavuna alichopanda
Colonel Gaddaf alikuwana umri wa miaka 27 mwaka 1969 wakati anapindua nchi.Kikwete hakupindua nchi wewe na hakuingia kama mwanajeshi pia
Yuko wapi Sasa 😂😂Colonel Gaddaf alikuwana umri wa miaka 27 mwaka 1969 wakati anapindua nchi.
Aliwapa Amri generals kwa miaka mingi sana na walitii.
Hapo tatizo wakoloni wa zamani wanataka vibaraka waendelee kula rasilimali za nchi husika.
Hao sio wetu lakini lengo hapa ni mtawala wa kwetu Afrika mkuu.Wagner na Russia ni vya kwenu?
Basi ni mbinu zao hizo na wameona hawatakiwi tena Wafaransa barani AfricaColonel Gaddaf alikuwana umri wa miaka 27 mwaka 1969 wakati anapindua nchi.
Aliwapa Amri generals kwa miaka mingi sana na walitii.
Hapo tatizo wakoloni wa zamani wanataka vibaraka waendelee kula rasilimali za nchi husika.
Sijui hata nani tumwamini ktk hizi tawala za Afrika.Colonel Gaddaf alikuwana umri wa miaka 27 mwaka 1969 wakati anapindua nchi.
Aliwapa Amri generals kwa miaka mingi sana na walitii.
Hapo tatizo wakoloni wa zamani wanataka vibaraka waendelee kula rasilimali za nchi husika.
Huyatazami mambo kwa upana wake,Mali,Burkina Faso,niger nk wametimua mabeberu,huko Kuna uranium,gas,mafuta,dhahabu,Mali mwanzo walipowatimua wafaransa,mfaransa akawapa silaha watuareg,wakateka nchi kubakiza huko Bamako,Mali akamrudisha mfaransa,tuareg wakapotezwa na nchi yao mpya ya az zawad,Sasa hizo nchi zimemkumbatia mrusi,ghafla magaidi wa kijihadi Wana nguvuSio kweli
Hiyo habari aliyeanza kuivumisha ni Al Jazeera chombo cha habari kinachofadhiliwa na Iran
Burikina Faso Kuna magaidi ambao wanafadhiliwa na Irani vile vikundi vya waislamu wenye siasa Kali .Raisi Traore kapata silaha za kisasa Toka Urusi na China Kawaua kibao na kuteka maeneo ya migodi ya dhahabu waliyokuwa wakiyakalia
Vita ilipokuwa Kali Uingereza na Iran na ufaransa walimuomba wakae meza moja na waasi wajadili kumaliza vita.Traore akagoma akasema hao ni wavamizi hatuwezi jadiliana nao kuwa tunachagua utumwa wa Namna Gani chini Yao
Hiyo migodi ya dhahabu ndio imekuwa ikitumika kuuza dhahabu uingereza,ufaransa na Irani na pesa zake kutumika kufadhili vita zao za kigaidi ndani ya Burkina Faso ,Nigeria ,nk ikiwemo kugharimia Hamas nk
Sasa Traore kateka hayo maeneo kayakalia wanachoendesha ni propaganda
Nchi zote zinazopakana na Burkina Faso zimewazingira magaidi wanafanya operation ya pamoja Kwa mpigo ili wasitorokee nchi nyingine
Na huyu jamaa aliwatimua wazungu nchini kwake sidhani kama watamwacha salama kwakweli duh!Basi ni mbinu zao hizo na wameona hawatakiwi tena Wafaransa barani Africa