VOA: Zaidi ya Wanajeshi 80 wa Burkina Faso wauawa na Wanajihadi. Rais Traore akimbia Ikulu na kujificha ikihofiwa Uasi wa Jeshi

VOA: Zaidi ya Wanajeshi 80 wa Burkina Faso wauawa na Wanajihadi. Rais Traore akimbia Ikulu na kujificha ikihofiwa Uasi wa Jeshi

Inasikitisha sana kuona kauli kama hii inatolewa na Mwafrika mwenzetu! Siku zote huwa naona Mwafrika ni mtu wa ovyo kabisa, ndio maana anaona mzungu ni bora kuliko yeye.
Ukitaka kujua jinsi Mwafrika alivyo wa ovyo fikiria yafuatayo,
1.Mtu mweusi kutoa mkataba wa Bandari kwa mweupe wakati angeweza kutoa kwa mweusi mwenzie na kusababisha mzunguko wa fedha kubaki ndani ya nchi.
2. Mtu mweusi kuruhusu mweusi mwenzie anyanyasike na mtu mweupe ndani ya nchi yake huku akiangalia tu.
3.Mtu mweusi kumuondoa mweusi mwenzie kwenye ardhi ya asili na kumpa mtu mweupe kwa thamani ya vipande kadhaa vya fedha.
Mambo ni mengi, muda ndio mchache.
Sasa unavyosikitika kusoma kauli ya ChoiceVariable kwa madai kwamba anamuona mzungu ni bora kuliko yeye, kwani unadjani ukiukataa ukweli ndiyo wewe utakuwa bora?
Wabukinabe wenyewe wamevunja mahisiano na West wameenda kujiweka upsnde wa Russia, au Russia siyo Wazungu?
 
Huyatazami mambo kwa upana wake,Mali,Burkina Faso,niger nk wametimua mabeberu,huko Kuna uranium,gas,mafuta,dhahabu,Mali mwanzo walipowatimua wafaransa,mfaransa akawapa silaha watuareg,wakateka nchi kubakiza huko Bamako,Mali akamrudisha mfaransa,tuareg wakapotezwa na nchi yao mpya ya az zawad,Sasa hizo nchi zimemkumbatia mrusi,ghafla magaidi wa kijihadi Wana nguvu
Acha kabisa ni kudunguana tu yote hii ni kwaajili ya mali iliyopo ardhini. Watu wana kufa na kuangamia kwa manufaa ya mabeberu.
 
Na huyu jamaa aliwatimua wazungu nchini kwake sidhani kama watamwacha salama kwakweli duh!
Wana hila sana hawa
Na wanaangalia maslahi yao tu
Watamuweka kibaraka wao hata kama hataonyesha yuko upande wao
 
Kwakweli sijajua kwanini unasema Dogo wa maigizo, hivi ni lini Afrika tutapenda vyakwetu? huoni kwamba unatukosea waafrika wenzako? nafikiri ingalikuwa vyema kutafuta njia ya kutafuta ya jinsi ya kutatua matatizo yetu wenyewe? Kumpindua sio suluhisho bali kutafuta njia ya kutatua tatizo kwa kukubaliana wote kwa pamoja ndio njia njema. Tujipende na kulipenda bara letu.
Mkubwa ngozi nyeusi wanafki sanaaaaa kaa nao mbali alikuwepo Magu hapa alitukanwa mpaka amekuja mam kizimkazi wale wale wanasema bora Magu achana nao kabisa hawa
 
Wana hila sana hawa
Na wanaangalia maslahi yao tu
Watamuweka kibaraka wao hata kama hataonyesha yuko upande wao
Kabisa na wtayaponda yote aliyo wafanyia wananchi wake hata kama yalikuwa na manufaa kiasi gani, kwakweli uwezo wa kujiamulia sisi ni mdogo sana maana bei na thamani ya mali tulizo nazo zinapangwa na wakubwa huko juu sisi tunabakia watazamaji na wasikilizaji wa kusibiria amri toka kwao. Nikikumbuka Tumbaku ya Zimbabwe ilivyokuwa na thamani kwa masoko ya nnje duh!
 
Burkina fasso ni kama Ilivyo Sudan, the county is so big and multi ethnic... Only Tanzania Ndio hili jambo limewezekana kwa Africa.
 
Sio kweli
Hiyo habari aliyeanza kuivumisha ni Al Jazeera chombo cha habari kinachofadhiliwa na Iran
Burikina Faso Kuna magaidi ambao wanafadhiliwa na Irani vile vikundi vya waislamu wenye siasa Kali .Raisi Traore kapata silaha za kisasa Toka Urusi na China Kawaua kibao na kuteka maeneo ya migodi ya dhahabu waliyokuwa wakiyakalia

Vita ilipokuwa Kali Uingereza na Iran na ufaransa walimuomba wakae meza moja na waasi wajadili kumaliza vita.Traore akagoma akasema hao ni wavamizi hatuwezi jadiliana nao kuwa tunachagua utumwa wa Namna Gani chini Yao

Hiyo migodi ya dhahabu ndio imekuwa ikitumika kuuza dhahabu uingereza,ufaransa na Irani na pesa zake kutumika kufadhili vita zao za kigaidi ndani ya Burkina Faso ,Nigeria ,nk ikiwemo kugharimia Hamas nk

Sasa Traore kateka hayo maeneo kayakalia wanachoendesha ni propaganda

Nchi zote zinazopakana na Burkina Faso zimewazingira magaidi wanafanya operation ya pamoja Kwa mpigo ili wasitorokee nchi nyingine
Well said
 
Unashangaa Unasemaje Kwa Tanzania ambapi unakuta Raisi raja hajawahi kanyaga hata mgambo lakini ndie amiri jeshi mkuu anaamrisha hadi magenerali WA Jeshi sembuse huyo captain
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Rais kuwa Amiri jeshi na mapinduzi boss
Mbona mifano miwili tofauti
Wa kwetu hajui lolote kuhusu amri za kijeshi ila tuna mkuu wa majeshi ndio maana alipokufa Rais, mkuu wa majeshi ndio alisimamia zoezi na sio mwingine
Haya mawili ni tofauti kabisa
 
Kabisa na wtayaponda yote aliyo wafanyia wananchi wake hata kama yalikuwa na manufaa kiasi gani, kwakweli uwezo wa kujiamulia sisi ni mdogo sana maana bei na thamani ya mali tulizo nazo zinapangwa na wakubwa huko juu sisi tunabakia watazamaji na wasikilizaji wa kusibiria amri toka kwao. Nikikumbuka Tumbaku ya Zimbabwe ilivyokuwa na thamani kwa masoko ya nnje duh!
Ni kweli mkuu kama sakata la sukari pia kwetu
Lingekuwa kubwa na vurugu ila kwa Ujamaa wetu hatuna la kufanya
Ubepari mbaya sana
 
ugaidi ni swala mtambuka,US alibamizwa na magaidi ndani ya New York City september 11.
Nchi za west Africa mapinduzi ni zimwi linalowaandama kwa muda mrefu sana.
 
Sio kweli
Hiyo habari aliyeanza kuivumisha ni Al Jazeera chombo cha habari kinachofadhiliwa na Iran
Burikina Faso Kuna magaidi ambao wanafadhiliwa na Irani vile vikundi vya waislamu wenye siasa Kali .Raisi Traore kapata silaha za kisasa Toka Urusi na China Kawaua kibao na kuteka maeneo ya migodi ya dhahabu waliyokuwa wakiyakalia

Vita ilipokuwa Kali Uingereza na Iran na ufaransa walimuomba wakae meza moja na waasi wajadili kumaliza vita.Traore akagoma akasema hao ni wavamizi hatuwezi jadiliana nao kuwa tunachagua utumwa wa Namna Gani chini Yao

Hiyo migodi ya dhahabu ndio imekuwa ikitumika kuuza dhahabu uingereza,ufaransa na Irani na pesa zake kutumika kufadhili vita zao za kigaidi ndani ya Burkina Faso ,Nigeria ,nk ikiwemo kugharimia Hamas nk

Sasa Traore kateka hayo maeneo kayakalia wanachoendesha ni propaganda

Nchi zote zinazopakana na Burkina Faso zimewazingira magaidi wanafanya operation ya pamoja Kwa mpigo ili wasitorokee nchi nyingine
Nimeogopa sana mtu mjinga kama wewe ukikutana na wasiojua na unaongea kwa kujiamini kabisa.

1. Kusema kuna vikundi vinafadhiliwa na Iran, huu uongo mkubwa, hao jihadist ni suni na wana mlengo tofauti na Iran

2. Kuiweka iran na uingeraza et wananunua madini wote ni uongo.
3. Chombo cha habari cha iran ni press tv, aljazeera kinamilikiwa na Qatar.

nyie ndio wajinga mliozeeka mlojaa chuki af mwajiona manajua. Pumbaf kabisa
 
Si ndiyo tukajazwa kwenye ujamaa na umasikini uliotopea
Gaddaf alikuwa miaka 27 aliwaletea ujamaa na umasikini walibya?
Kuna nchi tofauti na South Africa(SA) ilikuwa na maendeleo kuliko Libya?
SA yenyewe wananchi wake hawakupata huduma za kijamii wote kama wa Libya.
China na Russia walikuwa wajamaa walipataje maendeleo hadi walikuja kuwajengea vyuo, reli, n.k. Sisi ilikuwaje ukatudhuru ujamaa peke yetu?
Sababu ya uvivu wetu na kukafuta sababu za kujitetea uzembe wetu Kama hizi zako. Lame excuses!!!
 
Gaddaf alikuwa miaka 27 aliwaletea ujamaa na umasikini walibya?
Kuna nchi tofauti na South Africa(SA) ilikuwa na maendeleo kuliko Libya?
SA yenyewe wananchi wake hawakupata huduma za kijamii wote kama wa Libya.
China na Russia walikuwa wajamaa walipataje maendeleo hadi walikuja kuwajengea vyuo, reli, n.k. Sisi ilikuwaje ukatudhuru ujamaa peke yetu?
Sababu ya uvivu wetu na kukafuta sababu za kujitetea uzembe wetu Kama hizi zako. Lame excuses!!!
Ujamaa ni chachu ya umasikini,unaviza jitihada na kuficha wavivu kwenye kundi la wengi, ujamaa unazuwia ubunifu,vijiji vya ujamaa vya Nyerere viliirudisha jamii nyuma kimaendeleo,ikapunguza hata uzalishaji wa chakula,hivi tukiwauliza wafia ujamaa,lengo la ujamaa lilikua ni nini,mnaweza kusema!?..china imepiga hatua kipindi gani,Cha ujamaa au baada ya Deng kufanya reforms na kuachana na taboos za kijamaa?!..Afrika kusini haiwezi kuwa mfano wa kutetea ujamaa,na sababu ni dhahiri,na hata wakati huo wa ubaguzi,bado walikua mbele sawa tu au zaidi ya nchi za ulaya hata kisayansi na tech
 
Back
Top Bottom