Nawapongeza Vodacom kwa internet ya kasiiiiiii dah! "Vodacom, Kazi ni Kwako!"Imekuweje mbadilishe vifurushi ghafla tena bila taarifa? Hivi Watanzania mmewaona ni matajiri sana au matahira kiasi cha kufanya mnabadilisha vifurushi hovyo,fikiria kifurushi cha wiki moja chenye GB 17 cost yake ilikuwa elfu kumi na tano,sasa hv mmepunguza mpaka gb 12 kwa bei ile ile, kibaya zaidi mmelimit muda wa matumizi kwa masaa kadhaa kama siyo wizi na utapeli ni nini?
Naomba kujua mamlaka zinazohusika mnalijua hili na mmenyamaza au kila mmoja apambane na hali yake?
Hii haikubaliki kwa kweli laini yenu naitupa na natangaza rasmi kuwa balozi mzuri wa kuelezea maovu mnayoyafanya.
View attachment 1648674View attachment 1648676
Halafu data za vodacom zinaisha haraka balaa.Imekuweje mbadilishe vifurushi ghafla tena bila taarifa? Hivi Watanzania mmewaona ni matajiri sana au matahira kiasi cha kufanya mnabadilisha vifurushi hovyo,fikiria kifurushi cha wiki moja chenye GB 17 cost yake ilikuwa elfu kumi na tano,sasa hv mmepunguza mpaka gb 12 kwa bei ile ile, kibaya zaidi mmelimit muda wa matumizi kwa masaa kadhaa kama siyo wizi na utapeli ni nini?
Naomba kujua mamlaka zinazohusika mnalijua hili na mmenyamaza au kila mmoja apambane na hali yake?
Hii haikubaliki kwa kweli laini yenu naitupa na natangaza rasmi kuwa balozi mzuri wa kuelezea maovu mnayoyafanya.
View attachment 1648674View attachment 1648676
Mimi line ya voda ni ya kupokelea calls tu labda na kutuma sms.Imekuweje mbadilishe vifurushi ghafla tena bila taarifa? Hivi Watanzania mmewaona ni matajiri sana au matahira kiasi cha kufanya mnabadilisha vifurushi hovyo,fikiria kifurushi cha wiki moja chenye GB 17 cost yake ilikuwa elfu kumi na tano,sasa hv mmepunguza mpaka gb 12 kwa bei ile ile, kibaya zaidi mmelimit muda wa matumizi kwa masaa kadhaa kama siyo wizi na utapeli ni nini?
Naomba kujua mamlaka zinazohusika mnalijua hili na mmenyamaza au kila mmoja apambane na hali yake?
Hii haikubaliki kwa kweli laini yenu naitupa na natangaza rasmi kuwa balozi mzuri wa kuelezea maovu mnayoyafanya.
View attachment 1648674View attachment 1648676
Mamlaka zinazohusika mmelala hamfanyi kazi zenu inavyotakiwa,mnamfanya rais kutumia nguvu kubwa kwa ujinga wa wachache mlioamua kulala kwa makusudi na kula mishahara ya bure
Tigo ni makafiri shwaini kabisanjoo tigo
Makampuni ya simu sio wauzaji wa mabango. wao kuingia ubia tuKuna watu bado mnatumia voda kwenye mibando na midakika!!???[emoji849]
Huo ni mtandao wa mihamala tu.....kurusha na kupokea pesa bhanaa
Penda unapopendwa, achana na Slayqueen huyo atakuua πππImekuweje mbadilishe vifurushi ghafla tena bila taarifa? Hivi Watanzania mmewaona ni matajiri sana au matahira kiasi cha kufanya mnabadilisha vifurushi hovyo,fikiria kifurushi cha wiki moja chenye GB 17 cost yake ilikuwa elfu kumi na tano,sasa hv mmepunguza mpaka gb 12 kwa bei ile ile, kibaya zaidi mmelimit muda wa matumizi kwa masaa kadhaa kama siyo wizi na utapeli ni nini?
Naomba kujua mamlaka zinazohusika mnalijua hili na mmenyamaza au kila mmoja apambane na hali yake?
Hii haikubaliki kwa kweli laini yenu naitupa na natangaza rasmi kuwa balozi mzuri wa kuelezea maovu mnayoyafanya.
View attachment 1648674View attachment 1648676
Nawapongeza pia waendelee kuwanyoosha wapuuzi πππ!!! Kupanga ni kuchagua bana, ukikubali kuolewa sharti kulala bila chupi! Usiite watu wasumbufuπππNawapongeza Vodacom kwa internet ya kasiiiiiii dah! "Vodacom, Kazi ni Kwako!"
Baada ya Sisiemu anafuatia Vodacom. Maendeleo hayana vyama
π π π π π π pumbavukikubali kuolewa sharti kulala bila chupi!
Kwani mtandao ni Voda pekee si muhame wazee π€£π€£π€£ nyie ndio mnawaendekeza hao wapuuziHalafu data za vodacom zinaisha haraka balaa.
Jana nimeunga kifurushi cha gb 7 lengo kinivushe wiki cha ajabu baada ya masaa kama 6 nacheck salio zimebak 3.2gb, wakati tigo 7 gb natumia kwa wik 2
Sasa mtu analia lia kama vile ni lazima kuwa na Line ya Voda bana, Voda sio kitambulisho cha NiDAπ π π π π π pumbav
Watapigwa watachakaaπππKuna watu bado mnatumia voda kwenye mibando na midakika!!???[emoji849]
Huo ni mtandao wa mihamala tu.....kurusha na kupokea pesa bhanaa
Mkuu mtandao gani huu na menyu yke naombaPenda unapopendwa, achana na Slayqueen huyo atakuua [emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1648806
View attachment 1648807
Mtandao gan huoNawapongeza pia waendelee kuwanyoosha wapuuzi [emoji23][emoji23][emoji23]!!! Kupanga ni kuchagua bana, ukikubali kuolewa sharti kulala bila chupi! Usiite watu wasumbufu[emoji23][emoji23][emoji23]