OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Msalimie Aunt JackSasa mtu analia lia kama vile ni lazima kuwa na Line ya Voda bana, Voda sio kitambulisho cha NiDA
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msalimie Aunt JackSasa mtu analia lia kama vile ni lazima kuwa na Line ya Voda bana, Voda sio kitambulisho cha NiDA
Hio ni Zantel 4G babaa!Mkuu mtandao gani huu na menyu yke naomba
Zimefika mkuu😁
Sasa baki huko huko, usituchoshe na drama. Internet za bongo inategemea ulipo. Kuna mahali Tigo iko fasta kama MwangaInternet yao iko slow sana
Kabisa mzee babaKwani mtandao ni Voda pekee si muhame wazee 🤣🤣🤣 nyie ndio mnawaendekeza hao wapuuzi
Mkuu mimi voda kifurushi cha mwez wananipa gb7 na sio 10 na zina kata balaaa narudi zangu tiGo.Penda unapopendwa, achana na Slayqueen huyo atakuua 😂😂😂
View attachment 1648806
View attachment 1648807
Tigo na Voda ni mtu na Binamu yake. Nilipohangaika sana na hii mitandao nilihamia Airtel sikuipenda ilikuwa slow sana, kisha nikaenda Halotel nikapata furaha kwa mda flani wakatubadilikia napo...nilopojaribu Zantel nilipata pumziko la nafsi sasa. Naelekea mwaka wa 3 sasa offer hazibadiliki hovyo na vifurushi vinauzwa kwa uaminifu. Havichakachuliwi yani sio unauziwa 1GB ya kiini macho kumbe umepewa 500MB kwa uhalisia.Mkuu mimi voda kifurushi cha mwez wananipa gb7 na sio 10 na zina kata balaaa narudi zangu tiGo.
Dah! MAmbo ndo hayo wacha niende zantelTigo na Voda ni mtu na Binamu yake. Nilipohangaika sana na hii mitandao nilihamia Airtel sikuipenda ilikuwa slow sana, kisha nikaenda Halotel nikapata furaha kwa mda flani wakatubadilikia napo...nilopojaribu Zantel nilipata pumziko la nafsi sasa. Naelekea mwaka wa 3 sasa offer hazibadiliki hovyo na vifurushi vinauzwa kwa uaminifu. Havichakachuliwi yani sio unauziwa 1GB ya kiini macho kumbe umepewa 500MB kwa uhalisia.
To prove that, tunaweza play content kwa youtube wote tukiwa na 1GB ila utashangaa ww MB zimekata mimi zangu bado zipo.😂😂😂!!! Nina uhakika huwez angalia movie ukaimaliza kwa 1GB ila mie namaliza bila stress.
Nakuhakikishia utakuja na mrejesho kuwa siku zote ulikuwa wapi? Zantel ni sawa na kumpata demu bikra miongoni mwa ma Slayqueen 😂😂😂!Dah! MAmbo ndo hayo wacha niende zantel
Hio ni Zantel TZ.Mtandao gan huo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Hivi kuna watu bado mnakomaa na voda mimi kitambo natumia huu mtandao kupokea tu bando nanunua kupitia halopesa
Penda unapopendwa, achana na Slayqueen huyo atakuua [emoji23][emoji23][emoji23]
View attachment 1648806
View attachment 1648807
Tigo na Voda ni mtu na Binamu yake. Nilipohangaika sana na hii mitandao nilihamia Airtel sikuipenda ilikuwa slow sana, kisha nikaenda Halotel nikapata furaha kwa mda flani wakatubadilikia napo...nilopojaribu Zantel nilipata pumziko la nafsi sasa. Naelekea mwaka wa 3 sasa offer hazibadiliki hovyo na vifurushi vinauzwa kwa uaminifu. Havichakachuliwi yani sio unauziwa 1GB ya kiini macho kumbe umepewa 500MB kwa uhalisia.
To prove that, tunaweza play content kwa youtube wote tukiwa na 1GB ila utashangaa ww MB zimekata mimi zangu bado zipo.[emoji23][emoji23][emoji23]!!! Nina uhakika huwez angalia movie ukaimaliza kwa 1GB ila mie namaliza bila stress.
Si ma freelancer wapo mtaani, ukiwachek wale wauza line vijiweni wanazoSasa kwa dar sisi wa ubungo mbez kimara tutapata wapi line za zantel?
Inategemea speed ya intaneti. Tigo na Airtel lazima upige revolutions za kutosha kabla ya kupakua ama kufungua media yako. Sasa hasara iko wapi???Halafu data za vodacom zinaisha haraka balaa.
Jana nimeunga kifurushi cha gb 7 lengo kinivushe wiki cha ajabu baada ya masaa kama 6 nacheck salio zimebak 3.2gb, wakati tigo 7 gb natumia kwa wik 2
Hapana kwa hili nakataa mkuu spid haitofautian sana ukizingatia tigo nina tumia 4G na voda natumia lain ya 3G. Ila cha kushangaza 7gb za tigo nimetumia kwa siku 14 ila hiz za voda ndani ya masaa takriban 6 tu nimetumia Gb 3.9 na wakati matumiz yalikuwa ya kawaida kama siku zote.Inategemea speed ya intaneti. Tigo na Airtel lazima upige revolutions za kutosha kabla ya kupakua ama kufungua media yako. Sasa hasara iko wapi???
Basi jaribu kufanya research ya kutosha isiwe to insidenti ya siku moja ukaleta hitismisho. Unaweza kuwa ulichofanyia data za Tigo na Vodacom ni tofauti, kuna pia background applications, updates huwa zinakula Mbs balaa. Nachojua Tigo & Airtel ni VERY SLOW. Vodacom ndo Sisiemu aiseee. Sijajaribu Halotel na Zantel labda nitashawishika kwa maelezo kidogo ya ExtrovertHapana kwa hili nakataa mkuu spid haitofautian sana ukizingatia tigo nina tumia 4G na voda natumia lain ya 3G. Ila cha kushangaza 7gb za tigo nimetumia kwa siku 14 ila hiz za voda ndani ya masaa takriban 6 tu nimetumia Gb 3.9 na wakati matumiz yalikuwa ya kawaida kama siku zote.
Vodacom ni "AZAM TV" wa kwenye Simu,Imekuweje mbadilishe vifurushi ghafla tena bila taarifa? Hivi Watanzania mmewaona ni matajiri sana au matahira kiasi cha kufanya mnabadilisha vifurushi hovyo,fikiria kifurushi cha wiki moja chenye GB 17 cost yake ilikuwa elfu kumi na tano,sasa hv mmepunguza mpaka gb 12 kwa bei ile ile, kibaya zaidi mmelimit muda wa matumizi kwa masaa kadhaa kama siyo wizi na utapeli ni nini?
Naomba kujua mamlaka zinazohusika mnalijua hili na mmenyamaza au kila mmoja apambane na hali yake?
Hii haikubaliki kwa kweli laini yenu naitupa na natangaza rasmi kuwa balozi mzuri wa kuelezea maovu mnayoyafanya.
View attachment 1648674View attachment 1648676